Haina maajabu zaidi ya kuwa iko juu juu tu so kwa wale wa Bonyokwa inafika vizuri nyumbani bila kukongoroka uvunguni. Economy yake nafikiri pia ni nzuri kiasi around 11.5Km/lExtrovert mkuu naona pia nissan dualis inatake over huku mtaani , maunyama yake ni yepi?
nafikiri tukiandika gari 5 zinazopendwa (zinazouzika) tanzania Premio haitakuwepoSababu ya kupendwa hizi gari ni nin hasa??
Amina!Mungu atakubariki IPO siku utamiliki yakwako.
Itakuwa anazungumzia Mkoa wa Kagera. Kila baada ya gari moja inayofuata ni Premio.Premio toleo gani? Na zinapendwa vipi mbona hazipo nyingi kama Ist, Vitz na Crown au unazungumzia nchi gani!
Upo sahihiSio kwamba zinapendwa sema masikini wanazikimbilia ukweli ni kwamba tunapenda ma Range Rover, V8, Ford Mustang sema ni vile mapangu pa kavu wapo wengi
Changamoto zake ni zipi????Haina maajabu zaidi ya kuwa iko juu juu tu so kwa wale wa Bonyokwa inafika vizuri nyumbani bila kukongoroka uvunguni. Economy yake nafikiri pia ni nzuri kiasi around 11.5Km/l
Being a Nissan spare parts ni aghaliChangamoto zake ni zipi????
Alafu Nissan utengenezaji wake huwa haitaki Ramli za chini ya MwembeBeing a Nissan spare parts ni aghali
nissan inapenda care za slay queen wa kijerumani😂Alafu Nissan utengenezaji wake huwa haitaki Ramli za chini ya Mwembe
acheni niliwekewa bondi premio old model kutoka ARUSHA TO MONDOLI niliweka wese majengo ya chini lita 5 kufika duka bovu yamekata ikabidi nichungulie chini labda tank limemetoboka.narudi nikaweka lita 5 Mondoli kufika tembo clube imekata..nikaachananayo nikaendelea kutumia kimeo changu grandPremio Old Model
Ukifika
Muleba, Misenyi, Karagwe, NgarA
Huko Ndiyo Taix, Wanasema Inanusa Unleaded
Kabisaanissan inapenda care za slay queen wa kijerumani😂
Gari mbovu hiyo.acheni niliwekewa bondi premio old model kutoka ARUSHA TO MONDOLI niliweka wese majengo ya chini lita 5 kufika duka bovu yamekata ikabidi nichungulie chini labda tank limemetoboka.narudi nikaweka lita 5 Mondoli kufika tembo clube imekata..nikaachananayo nikaendelea kutumia kimeo changu grand
Njoo inbox mkuuMi mwenyewe naitaka sana hii gari.
Bajeti yangu ni 12,000,000/=
Hiyo gari yako huenda mbovu, mimi niliweka mafuta ya elfu 50 nimetoka nayo dar mpaka moro na yakabaki ya kupigia misele mtaani.acheni niliwekewa bondi premio old model kutoka ARUSHA TO MONDOLI niliweka wese majengo ya chini lita 5 kufika duka bovu yamekata ikabidi nichungulie chini labda tank limemetoboka.narudi nikaweka lita 5 Mondoli kufika tembo clube imekata..nikaachananayo nikaendelea kutumia kimeo changu grand
Elfu 50 hii hii ya kitanzania au ya Kenya ?Hiyo gari yako huenda mbovu, mimi niliweka mafuta ya elfu 50 nimetoka nayo dar mpaka moro na yakabaki ya kupigia misele mtaani.
Hio sio premio ni mkoroshoacheni niliwekewa bondi premio old model kutoka ARUSHA TO MONDOLI niliweka wese majengo ya chini lita 5 kufika duka bovu yamekata ikabidi nichungulie chini labda tank limemetoboka.narudi nikaweka lita 5 Mondoli kufika tembo clube imekata..nikaachananayo nikaendelea kutumia kimeo changu grand
Mkuu unadhani masihara? Tanzania shilings.Elfu 50 hii hii ya kitanzania au ya Kenya ?
Gari ya 17m unachukuliwa serious na nan bana ww[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Premio ndio chuma nachomiliki nilikivuta kwa 17M, japo ndo gari yangu ya kwanza ila kiukweli sijawahi kujuta.
Ndani ipo very sexy hata mke wako akiingia humo ndugu yangu hachomoki, mafuta ya kunusa tu.. pia premio ina hadhi yake hata ukipark sehemu wanakuchukulia seriously tofauti ukiwa na Ist.
Asikwambie mtu mkuu, Premio tamu.
mkuu mm yangu haijawah kufika apo na ni namba E au umeangalia figure za mitandaoni, mm inatembea 11.5km/l in highway 1500cc kama kuna mtu ana data ambazo ni practical aseme kwa upande wake inatembea km ngp kwa litaPremio ni 16.5km/l ndio inafanya watu waikimbilie hio gari pili iko spacious ndani.