Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Haina maajabu zaidi ya kuwa iko juu juu tu so kwa wale wa Bonyokwa inafika vizuri nyumbani bila kukongoroka uvunguni. Economy yake nafikiri pia ni nzuri kiasi around 11.5Km/lExtrovert mkuu naona pia nissan dualis inatake over huku mtaani , maunyama yake ni yepi?