chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Ni nani alikwambia kuwa mimi nina akili? Mimi ni hamnazo haaaaswaaaaaa...Nilikuwa nakuona una akili kumbe hamnazo.
Ninatema pumba kwa sababu niliwahi kufanya sana kazi katika mashine ya kukobolea mahindiWe jamaa kuna muda unatema pumba sana.
MhhhUnafahamu ujira wa madereva wa magari makubwa?
Unafahamu kipato Cha madereva wa malori ukilinganisha na hao wanaopushu luxurious cars?
Be brave
Mbona katika kuvuka daraja la Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wanalipa kulingana na ukubwa wa gari na hakuna tozo za kufanana?Anayelipishwa fine ni dereva sio gari.
Ndio maana hata mahakamani huwa mtuhumiwa hupewa nafasi ya kujitetea baada ya kukutwa na hatia ili mahakami impunguzie adhabu. Wengi wao husema kwamba wana mke na watoto wanaowategemea hivyo mahakama pamoja na wazee wa baraza kuwa na huruma naoBasi hata mtu akifanya kosa la kukwepa kodi, aangaliwe umri wake kwenye kushughulikiwa.
Afande andika hoja yako basi acha kutapatapaAiseee.. ndio mmepagawa kias hichi?
Mkuu, hawana hoja hao jamaa ndio maana wanatukana na kukejeliVipi kuhusu bima kuisha kwa mwenye V8 na mwenye Vitz au bodaboda??
Anayegongwa na Lorry na anayegongwa na Bajaj zote zikiwa katika speed sawa, ni nani yupo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha?Athari za makosa hazijalishi ukubwa wa makosa mfano ajali.
Issue sio athari mkuu. Issue ni kwamba wote wanakuwa na kosa la uzembe. So uzembe ndo unapelekea penalt inayofanana.Anayegongwa na Lorry na anayegongwa na Bajaj zote zikiwa katika speed sawa, ni nani yupo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha?
Bajaj na Lorry zikigongana na IST kwa speed sawa na nyakati tofauti impact zake zitafanana?
Katika kuvuka daraja la Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wanalipa kulingana na ukubwa wa gari na kwanini hakuna tozo za kufanana?Issue sio athari mkuu. Issue ni kwamba wote wanakuwa na kosa la uzembe. So uzembe ndo unapelekea penalt inayofanana.
[emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]Hapo tufanye limepita hilo wazo lako.
Hivi unafahamu hizi gari rahisi zina risk kubwa zaidi kuliko hizo zingine boss. Upande wa safety.
Kwa haraka haraka magari haya ya walala hoi mengi yakipiga mzinga unaokota karatasi/uji kabisa.
Sasa kosa barabarani kwenye vyombo vya usafiri hivi si tungesema 100,000/= maana kiuhalisia tu mtu anakuwa kwenye risk zaidi.
Kuliko hawa wengine[emoji23][emoji23][emoji23]
Assuming magari yanaenda at same speed, wewe uko na ki corolla chako halafu ukagongwa na Vitz Vs kugongwa na Cruiser lenye ngao, will it be the same?
Okay...Hyo ni faini kwa dereva na sio gari MZEE,kule kwa nyerere au kwenye mizani wanaangalia uzito Wa chombo
Sawa mkuu, mimi huwa sikubaliani kabisa na hii dhana ya kulipa flat rate kwa makosa yote ya barabaranilabda ungesema kwa nini kusiwe na madaraja ya makosa barabarani na faini zake ILI kuendana na hiyo PAYE ukifanya kosa dogo ulipe faini kulingana na kosa husika kama ni dogo unalipa kidogo kama ni kubwa unalipa faini kubwa
Au sio MZEE infant,
Gari halifanyi makosa ya usalama barabarani. Dereva ndiye anayefanya hayo makosa. Kwa hiyo adhabu ni hiyo hiyo moja uwe unaendesha lori, Toyota Landcruiser, Bus, VW Polo, Mark II, n.k. Ikija kwenye kivuko, gari ndilo linalovukishwa. Hivyo ushuru utategemea uzito wa gari.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini tozo kwa makosa ya usalama barabarani zisishabihiane na ukubwa wa engine ya chombo (CC-Cubic Centimetres) kama ambavyo kodi ya PAYE inavyoshabihiana na ukubwa wa mshahara wa mtumishi?
(1) Kwanini gari kama IST pamoja na Landcruiser V8 yote yakitenda kosa moja la usalama barabarani kama vile overspeeding wanalipa tozo inayofanana ya 30,000/=?
(2) Mbona mfanyakazi anayepokea mshahara basic wa 1,500,000/= pamoja na mwingine anayepokea 300,000/= wanalipa viwango tofauti vya kodi ya PAYE?
(3) Katika kuvuka daraja la Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wanalipa kulingana na ukubwa wa gari na kwanini hakuna tozo za kufanana?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.