Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Mshahara wa mfsnyakazi wa BOT,TRA,hauwezi kuwa Sawa na mfsnyakazi wa halmashauri,
Ni bahati mbaya waalimu wanalipwa kiduchu,lakini Engineer anayesimqmia mifumo ya Teknohama,au umeme,au maji takq,mawasiliano,data centrers,huwezi kumlipa mshahara Sawa na Mwalimu wa sekondsr anayefundisha fizikia
 
Mshahara wa mfsnyakazi wa BOT,TRA,hauwezi kuwa Sawa na mfsnyakazi wa halmashauri,
Ni bahati mbaya waalimu wanalipwa kiduchu,lakini Engineer anayesimqmia mifumo ya Teknohama,au umeme,au maji takq,mawasiliano,data centrers,huwezi kumlipa mshahara Sawa na Mwalimu wa sekondsr anayefundisha fizikia
Unatoa ushauri gana Kwa walimu wanaolipwa pesa ya barmaid
 
ila mishahara ya Tanzania inatakiwa kufanyiwa review watu wote mna degree moja mfano accounts ya halmashauli analipwa kidogo wa TRA au Bot au TCRA anampita mara kumi hii sio sawa wakati nature ya kazi ni moja
Ushasema halmashauri, yani wewe ni local gvt huwez linganisha na waliopo central
 
Hivi waliosomeaga ualimu wa primary,socondary nani wanaume mlifikiria Nini saivi mnawaonea wivu wenzenu wamesomea vitu harder na walalipwa hardest were Kaa kwakutulia nyambafu .

Mxiuuu
Screenshot_20221205-140212.jpg
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Wivu huo
 
Back
Top Bottom