dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Nilipata ingia ile TPDC ya Lindi, mle ndani kama mbinguni
Yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
Yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wa mfsnyakazi wa BOT,TRA,hauwezi kuwa Sawa na mfsnyakazi wa halmashauri,Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Wahuni tu, wanajiona wao ndowanastahili kuliko wenginenilipata ingia ile tpdc ya lindi, mle ndani qmmmq kama mbinguni
yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
Unatoa ushauri gana Kwa walimu wanaolipwa pesa ya barmaidMshahara wa mfsnyakazi wa BOT,TRA,hauwezi kuwa Sawa na mfsnyakazi wa halmashauri,
Ni bahati mbaya waalimu wanalipwa kiduchu,lakini Engineer anayesimqmia mifumo ya Teknohama,au umeme,au maji takq,mawasiliano,data centrers,huwezi kumlipa mshahara Sawa na Mwalimu wa sekondsr anayefundisha fizikia
noma sanaWahuni tu, wanajiona wao ndowanastahili kuliko wengine
Ushasema halmashauri, yani wewe ni local gvt huwez linganisha na waliopo centralila mishahara ya Tanzania inatakiwa kufanyiwa review watu wote mna degree moja mfano accounts ya halmashauli analipwa kidogo wa TRA au Bot au TCRA anampita mara kumi hii sio sawa wakati nature ya kazi ni moja
sasa ndio review ifanyike kaka ni mtazamo wangu halafu hayo mashirika ukitaka kuamia wana mizengwe hatari kama mishahara wanatoa mifukoni mwaoUshasema halmashauri, yani wewe ni local gvt huwez linganisha na waliopo central
Wewe mtu ni mkorofi,Hhhahaha mwalimu analipwa laki Tatu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kama mbinguni ukimaanisha nini mkuu?nilipata ingia ile tpdc ya lindi, mle ndani qmmmq kama mbinguni
yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
Bro mpwayungu hii dharau sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa ya barmaid!!!!!Unatoa ushauri gn Kwa walimu wanaolipwa pesa ya barmaid
sorry sikutumia neno sahihi, ila pako vizuri sana kimazingira , kwa kila kitu aisee, majengo, msosi, etcKama mbinguni ukimaanisha nini mkuu?
halafu huyu jamaa mbona anawakataa sana walimu nini kimemkuta na walimu wake haoBro mpwayungu hii dharau sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa ya barmaid!!!!!
Ya wapi pale ngongo?nilipata ingia ile tpdc ya lindi, mle ndani qmmmq kama mbinguni
yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
hmm, ipo karibu na SomangaYa wapi pale ngongo?
Itakuwa na yeye mwalimu anatumia jukwaa kutaka mabadiliko maana kuacha kazi anaogopa .same to me kipindi jobless niliilaumu sana serikali now shavu kimyaaa hata kutetea vijana wenzangu mtihanihalafu huyu jamaa mbona anawakataa sana walimu nini kimemkuta na walimu wake hao
Wivu huoYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Ok.ngongo pale nadhani ni kituo tu cha taifa gas...hivi na songosongo kisiwani pale tpdc hawahusiki kuratibu ni mwekezaji pekee..au mambo ya gas huwa taasisi gani sio haohmm, ipo karib na Somanga