Huyo Ni dereva [emoji15]?nilipata ingia ile tpdc ya lindi, mle ndani qmmmq kama mbinguni
yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
yeah hao ndiyo wanaratibu , kidalali lakini, kuna uzi upo humu umechambua kwa kinaOk.ngongo pale nadhani ni kituo tu cha taifa gas...hivi na songosongo kisiwani pale tpdc hawahusiki kuratibu ni mwekezaji pekee..au mambo ya gas huwa taasisi gani sio hao
yes ni dereva, noma sana
Jamaa huwezagi kuandka mada zako bila kutaja walimuYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Sasa nitaje yupi kwenye mshahara wa mbuzi kama tichaJamaa huwezagi kuandka mada zako bila kutaja walimu
Siwezi kuwa abadaniItakuwa na yeye mwalimu anatumia jukwaa kutaka mabadiliko maana kuacha kazi anaogopa .same to me kipindi jobless niliilaumu sana serikali now shavu kimyaaa hata kutetea vijana wenzangu mtihani
Cc @mwifa
Mmmmh nyumba 15? Weee??nilipata ingia ile tpdc ya lindi, mle ndani qmmmq kama mbinguni
yule dereva anakunja 4m, ana nyumba si chini ya 15 Dar pekee
Upi yani nimwonee wivu mtu jitihada zakeWivu huo
hahahahahahahah umeua mwambaWenzenu wakati wanasoma vitu vigumu kama petroleum engineering e.tc mlikuwa mnawasema vibaya ati wanasoma kama wametumwa na kijiji.
Leo wanapokea pesa ndefu mnawaonea dongo
Sio Kwa viwango hiviFani ngumu na za trades zinastahili mishahara minono.
tuendelee kupambanaMmmmh nyumba 15? Weee??
Okay..sorry sikutumia neno sahihi, ila pako vizuri sana kimazingira , kwa kila kitu aisee, majengo, msosi, etc
mzee hawakuelewi hata kidogo, ule msosi wa mchana pekee niliogonga pale, unazidi 50k wallahiOkay..
Huko ukiwaambia nchi ngumu hawakuelewi..wanakuona umechanganyikiwa maana asali ni ya kutosha
Mashirika ya umma watu wanakula vinono. Mambo ya kawaida tu. Tuendelee kupambana katika harakati zetu za kimajinuni tuwafikie hakuna namnamzee hawakuelewi hata kidogo, ule msosi wa mchana pekee niliogonga pale, unazidi 50k wallahi
na hao jamaa daily wanakula ivyo
jamaa wapo kwenye bahari ya asali
asali ilikuwaje mzee ha haNilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako
Sawa Afisa wa TPDCsio lazima kuanzisha nyuzi JF kila siku,hakuna mashindano humu,non sense