Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Jamaa huwezagi kuandka mada zako bila kutaja walimu
 
Itakuwa na yeye mwalimu anatumia jukwaa kutaka mabadiliko maana kuacha kazi anaogopa .same to me kipindi jobless niliilaumu sana serikali now shavu kimyaaa hata kutetea vijana wenzangu mtihani

Cc @mwifa
Siwezi kuwa abadani
 
Kwani usihoji sehemu nyingine wapewe mishahara kama ya TPDC au na wewe unataka watu wanaoishi kama malaika waje waishi kama mashetani. Iyo mishahara ya TPDC ndo iwe scale kwa sector nyingine wajifunze kulipa watu vizuri.
 
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
 
mzee hawakuelewi hata kidogo, ule msosi wa mchana pekee niliogonga pale, unazidi 50k wallahi

na hao jamaa daily wanakula ivyo

jamaa wapo kwenye bahari ya asali
Mashirika ya umma watu wanakula vinono. Mambo ya kawaida tu. Tuendelee kupambana katika harakati zetu za kimajinuni tuwafikie hakuna namna
Tuwakatie denge kwenye mishe zetu
 
asali ilikuwaje mzee ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…