Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Lofer weDada Mpwayungu kuna haja gani ya kuniita lofer?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lofer weDada Mpwayungu kuna haja gani ya kuniita lofer?
🥱🥱🥱🥱Petroleum engineering ni ngumu kuliko civil
Kozi ngumu ni MD peke yake kibongobongo hapa, hao ndio walitakiwa walipwe hyo m5 inayosemwa kama ni kweli, ila ndo ivo miaka mitano chuo tuu wanalipwa 1.5 bado PAYE hapo ,Heslb nk , hatari sanaAcha2 wafurahie maisha watu wame solve maprobalility ya ajabu ww umesomea ktandan unataka mlingane mshahala
ww unaijua actuarial wwKozi ngumu ni MD peke yake kibongobongo hapa, hao ndio walitakiwa walipwe hyo m5 inayosemwa kama ni kweli, ila ndo ivo miaka mitano chuo tuu wanalipwa 1.5 bado PAYE hapo ,Heslb nk , hatari sana
Asali mkuuYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Dah hapo kwenye kusomea kitandani ilikuwa ni mimi kabisa 😆😂Acha2 wafurahie maisha watu wame solve maprobalility ya ajabu ww umesomea ktandan unataka mlingane mshahala
Taja kozi yoyote ila hakuna inayoifikia MD, maana haideal na vitu bali na watu, no room for mistakeww unaijua actuarial ww
Hawadhauliki kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yakeIla walimu wanadharaulika jamani 😂😂😂
Kwa kweli.tuendelee kupambana
You are fool indeed.Wenzenu wakati wanasoma vitu vigumu kama petroleum engineering e.tc mlikuwa mnawasema vibaya ati wanasoma kama wametumwa na kijiji.
Leo wanapokea pesa ndefu mnawaonea dongo
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
Petroleum Engineer, mwajiriwa wa TPDCRoho mbaya sio Mtaji. Unajua risk ya kukaa kwenye Mionzi. Tunateseka Sana brother acha Kusema tu mshahara tambua kwanza ugumu wa kazi tunayofanya. Halafu hiyo milioni tano ni ndogo Sana. Ya Kawaida mno ni kwa vile tu hauna.
lita gani hii hii ya chuo cha mifugo auNamba sita hapo wenye hela ni watu wa certificate na diploma imagine na degree yangu ya electric natumia harrier ambayo niliuziwa na shemeji yangu kwa milioni 8 (ni kama alinipa tu) ila kuna dogo wa operation Ana diploma Ana prado [emoji3]
So unaweza kupata kwenye mamlaka lkn bado ukawa njaa kali tu
Kuna jamaa anafanya kazi LITA Ana uhakika wa kukunja laki kila siku
•Jamaa wa ikulu asiponipeleka MSATA nitamloga