Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Screenshot_20221212-205504.png
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Asali mkuu
Waache walambe hadi mzinga utoboke
 
Wenzenu wakati wanasoma vitu vigumu kama petroleum engineering e.tc mlikuwa mnawasema vibaya ati wanasoma kama wametumwa na kijiji.

Leo wanapokea pesa ndefu mnawaonea dongo
You are fool indeed.
Kwahiyo course daktari course yake ni fupi na laini kuliko hiyo ya petroleum engineering?
Je, MISHAHARA inavary kulingana na ugumu wa course?
Mhasibu wa TPA ana course tofauti na mhasibu wa Pugu secondary?
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

JamiiForums huu ni upotoshaji...

Mfano huo mshahara wa mil 5 uliotajwa sio wa entry level, wenye vyeo vya umeneja ndio mshahara wao upo kwenye kiwango hicho...

Na hata hiyo mil 8 iliyotajwa nayo ni kwa ngazi ya wakurugenzi...
 
Namba sita hapo wenye hela ni watu wa certificate na diploma imagine na degree yangu ya electric natumia harrier ambayo niliuziwa na shemeji yangu kwa milioni 8 (ni kama alinipa tu) ila kuna dogo wa operation Ana diploma Ana prado [emoji3]

So unaweza kupata kwenye mamlaka lkn bado ukawa njaa kali tu

Kuna jamaa anafanya kazi LITA Ana uhakika wa kukunja laki kila siku

•Jamaa wa ikulu asiponipeleka MSATA nitamloga
lita gani hii hii ya chuo cha mifugo au
 
Back
Top Bottom