Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Acha kutuonea wivu yaani tuhangaike na masomo magumu magumu tupewe mshahara mnono ulalamike, kama unaona kusomea petroleum ni rahisi kasome na wewe.
Ulikimbilia masomo ya kusoma ukiwa kitandani umejilaza unataka tulipwe sawa? Acha wivu wewe
Kwahiyo unamsema Samia aliyesomea community development at mzumbe University sindio
 
Acha kutuonea wivu yaani tuhangaike na masomo magumu magumu tupewe mshahara mnono ulalamike, kama unaona kusomea petroleum ni rahisi kasome na wewe.
Ulikimbilia masomo ya kusoma ukiwa kitandani umejilaza unataka tulipwe sawa? Acha wivu wewe
😤
 
Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
mpwayungu huwa haongei kitu bila kuwa na evidence. Huonagi analeta salary slip hapa.
 
Taja kozi yoyote ila hakuna inayoifikia MD, maana haideal na vitu bali na watu, no room for mistake
No room for mistake kwa hawa hawa MDs wa bongo?!

You can't be serious.

If that's the case, vipi kuhusu udereva wa ndege aka pilot kuna room for mistake?, shida watu wa afya huwa mnajikuta watu special sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Uliacha au unaendelea tpdc
 
Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
Hebu fafanua kwa hoja uweke na mifano tujue ukweli wake
 
Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
Mimi ni mtaalamu wa cartography...si ninaweza pata nafasi hapo?
 
Lakini five m per month bado ni pesa ndogo.
sema Tz dhiki ni kubwa mpaka tunaona 5m ni bonge la gawio
Kwa hali ya maisha yetu hapa bongo hiyo pesa ni nyingi sana na unaweza fanya mambo mengi sana. Ingawa sidhani km hicho ni kima cha chini itakuwa ni managerial level salary hiyo..
[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo huku nilipo yaani hata million 5 kwa mwezi itazidi , kikubwa uwe mwizi mzuri tu .
Umemaliza mkuu na ndio life la wengi bongo kwenye hizi kazi ni uwizi na udokozi tu
 
Back
Top Bottom