Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #161
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila walimu wanadharaulika jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila walimu wanadharaulika jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo unamsema Samia aliyesomea community development at mzumbe University sindioAcha kutuonea wivu yaani tuhangaike na masomo magumu magumu tupewe mshahara mnono ulalamike, kama unaona kusomea petroleum ni rahisi kasome na wewe.
Ulikimbilia masomo ya kusoma ukiwa kitandani umejilaza unataka tulipwe sawa? Acha wivu wewe
😤Acha kutuonea wivu yaani tuhangaike na masomo magumu magumu tupewe mshahara mnono ulalamike, kama unaona kusomea petroleum ni rahisi kasome na wewe.
Ulikimbilia masomo ya kusoma ukiwa kitandani umejilaza unataka tulipwe sawa? Acha wivu wewe
MD ina ugumu gani zaidi ya kumeza slide tu.Kozi ngumu ni MD peke yake kibongobongo hapa, hao ndio walitakiwa walipwe hyo m5 inayosemwa kama ni kweli, ila ndo ivo miaka mitano chuo tuu wanalipwa 1.5 bado PAYE hapo ,Heslb nk , hatari sana
mpwayungu huwa haongei kitu bila kuwa na evidence. Huonagi analeta salary slip hapa.Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
No room for mistake kwa hawa hawa MDs wa bongo?!Taja kozi yoyote ila hakuna inayoifikia MD, maana haideal na vitu bali na watu, no room for mistake
Ni kweli watu special maisha na afya ya kiumbeni yanategemea WATU WA AFYA. Unahoja?No room for mistake kwa hawa hawa MDs wa bongo?!
You can't be serious.
If that's the case, vipi kuhusu udereva wa ndege aka pilot kuna room for mistake?, shida watu wa afya huwa mnajikuta watu special sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliacha au unaendelea tpdcNilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Huwa unawashwa na waalimuHhhahaha mwalimu analipwa laki Tatu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwanini?Hapo kwenye tanapa hamna kitu bora mwalimu tu
Hebu fafanua kwa hoja uweke na mifano tujue ukweli wakeHizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
Kwahio jamaa anatulisha matango pori?JamiiForums huu ni upotoshaji...
Mfano huo mshahara wa mil 5 uliotajwa sio wa entry level, wenye vyeo vya umeneja ndio mshahara wao upo kwenye kiwango hicho...
Na hata hiyo mil 8 iliyotajwa nayo ni kwa ngazi ya wakurugenzi...
Mimi ni mtaalamu wa cartography...si ninaweza pata nafasi hapo?Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
Ni lini walikuwa wanaangalia GPA? Kwani mtu aliyepata G.P.A ya 4-5 hawafanyi interview?
Ni lini walikuwa wanaangalia GPA? Kwani mtu aliyepata G.P.A ya 4-5 hawafanyi interview?
Kwa hali ya maisha yetu hapa bongo hiyo pesa ni nyingi sana na unaweza fanya mambo mengi sana. Ingawa sidhani km hicho ni kima cha chini itakuwa ni managerial level salary hiyo..Lakini five m per month bado ni pesa ndogo.
sema Tz dhiki ni kubwa mpaka tunaona 5m ni bonge la gawio
Umemaliza mkuu na ndio life la wengi bongo kwenye hizi kazi ni uwizi na udokozi tu[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo huku nilipo yaani hata million 5 kwa mwezi itazidi , kikubwa uwe mwizi mzuri tu .
Tra hiyo[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo huku nilipo yaani hata million 5 kwa mwezi itazidi , kikubwa uwe mwizi mzuri tu .
Ni taaluma gani ambayo hautameza slides?