Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Wewe ulifanya kazi position na department ipi TPDC?

Unatushauri nini vijana tunaotaka kuingia TPDC?
Umeufukunyua Uzi wa zamani halafu unauliza tu bila hata ya kusalimia wakubwa wako[emoji134]humu tunatumia ID za Siri,sasa unataka nitaje Cheo au Idara ili nijulikane??
 
mashirika yote ya umma yanalipa mshahara mkubwa sana kuliko seirkali kuu na serikali za mtaa. usionee wivu mtu anayepata, na wewe kafanye kazi huko ili upate kama wao au somesha mtoto afanye huko tuone kama utaleta tena hiyo thread hapa. acha wivu.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Mwana kasome mahesabu ya mafuta uone mziki wake,ni course ngumu kufaulu rahis kufeli,Una watu wachache Sana wataaalam...
 
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Mkuu entry level salary ni ngapi
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Nani alikushauri usomeee ualimu??
 
Wakati nipo pale Staff hasa wa Idara ya Explorations walikuwa wanabadilishia mabegi Airport,yaani mfanyakazi anatoka safari ya kikazi mfano Norway na Dubai,anatua na Emirates saa 9 mchana ana check out,Mkewe anakuwa nje pale kamletea Begi lingine la nguo anabadilisha,anachukua nguo hizo alizoletewa,ana-check in kisha anageuza na Emirates hiyohiyo saa 11 jioni kwenda Calgary Canada huko au kokote kwenye kazi nyingine za Shirika,ndio maana pale Wafanyakazi walikuwa wanachukua VISA za mwaka mzimamzima kuepusha usumbufu
Smaahani lkn mkuu unamaana hawa watu wanakula asali zaidi ya wabunge au wanasiasa kwa ujumla.
 
Kuna madereva wa hazina wao per diem kwa siku ni laki tatu unachota tu unakuta safari ya siku 90 unalipwa cash... hahahahahaha ndio maisha sasa jiulize madereva wale wa site na hawa wa lami 24 hrs tofauti nayo...

Usiangalie ukubwa wa kazi ishu ni kwamba taasisi yenyewe tu inajipangia mishahara na ni baraka toka kwa wakubwa
Dereva wa hazina per diem lak 3tuu!? Acheni utoto jamani
 
Back
Top Bottom