Kwanini traffic wengi ustaafu wakiwa maskini na wasioweza kujitegemea?

Kwanini traffic wengi ustaafu wakiwa maskini na wasioweza kujitegemea?

TRAFKI WA KISASAUNAKUTA KAKUVALIA KATA KEI AFUUUU HATA UONGEE NANENO LIPI YEYE ANACHUKUA LESENI YAKO NA KUKURUDISHIA MENGINE UTAJIJUA MWENYEWE
 
Tunakoenda sio huyo TU, kikokotoo Cha 33.3% kitauwa wengi kama ilivyo kufutwa Kwa FAO la kujitoa ni chanzo kikubwa Cha umasikini
Na kibaya zaidi mstafu anapoingia kwenye biashara anakuwa hana uzoefu.

Kawaida ya biashara ina kuanguka na kuinuka na wenye uzoefu wa kuanguka na kuinuka ni hawa wa mtaani. Sasa hapa mstafu akishaanguka mara moja na 33.3% yake anajikatia tamaa inabidi aanze kusubiri 250k ya mwisho wa mwezi na hapo ukute hata nyumba hakumaliza kujenga, alikuwa anasubiri faida amalizie ujenzi.
 
Back
Top Bottom