MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Bei ya paedriatric cough syrup ni kiasi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya paedriatric cough syrup ni kiasi gani?
Baada ya two weeks utaambiwa tar fulan ulitumia 200,000kama una waswas na muamala piga namba Hizi..so chukua Hatua penda nchi yakoHakuna Cha risiti Wala Cha Nini!hata dawa ulizoandikiwa utaona tu zinatoka dirishani kwa hiyo nesi pharmacist akiamua kukuibia nyingine hujui,wanadai Mambo Ni digital
Inaonekana umefirw mpaka mida wote unawaza ushoga tuBinti ni binadamu. Hata Samia, Hilary, Merkel na wengine walikuwa mabinti.
Tunawashangaa mashoga siyo mabinti.
Pole ndugu, shoga kwenye ubora wako 🤣🤣
Inaonekana umefirw mpaka mida wote unawaza ushoga tu
🤣🤣🤣🤣🤣Uzalendo au sio?Baada ya two weeks utaambiwa tar fulan ulitumia 200,000kama una waswas na muamala piga namba Hizi..so chukua Hatua penda nchi yako
Ni paperless hospital au inatumia makaratasi?He Bora huko mnapewa hata hayo makaratasi Mimi hospital ninazoenda napewa ki mashine nisign,nilikuwa nawaza Jambo Kama hili
PaperlessNi paperless hospital au inatumia makaratasi?
Tena upigaji mkubwa. Unakwenda pale pharmacy unachukua colgate au perfume wanaandika antibiotics.Nahisi kuna upigaji
2600Bei ya paedriatric cough syrup ni kiasi gani?
Poly clinics ndo hupokeaHyo ni agha khan ya wapi...au Peponi huko. Acha kusikiliza radio mbaoo.. me ni mwaka agha khan tunapokea hyo bima bila shida.. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi
Then ilitakiwa upate receipt ya matibabu kupitia sms. Maana wao hawana kuingiza madai baadae yanaingia moja kwa moja.Paperless
Na kwa maduka ya jumla ni bei gani?2600
Hili ndio la msingi haswa, kwamba kila watacho submit basi mgonjwa naye akipate. Usije kutwa umefanyiwa operation wakati hujawahiNa si hilo tu itapendeza meseji za matibabu ziingiazo katika simu zionyeshe aina ya matibabu,dawa na gharama zilizotumika na si kutujulisha tu kuwa kadi yako imetumika tarehe fulani.
😂😂😂😂Sio uongo, average wise hospitali ya wilaya mgongwa anatumia about 20,000/= to 25,000/= na ya rufaa anatumia 60,000/= na above.Aah wakikupa hesabu wanaogopa hautarudi eti😂😂😂😂
Hospitali siku hizi ni very costful ni kuomba MUNGU tu usiumwe
Hili ni wazo zuriHili ndio la msingi haswa, kwamba kila watacho submit basi mgonjwa naye akipate. Usije kutwa umefanyiwa operation wakati hujawahi
Sasa sms inakuja baadae!kifupi Kuna ubabaifu mwingiThen ilitakiwa upate receipt ya matibabu kupitia sms. Maana wao hawana kuingiza madai baadae yanaingia moja kwa moja.
Ili huu mfuko uweze NHIF yatakiwa izingatie hilo swala.Hili ni wazo zuri