Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaujumla hali ndivyo ilivyo, wizi kila sehemu. Ila hata kama ni baadae, wewe ukiona kunawasiwasi toa taarifa. Nchi yetu sote hii.Sasa sms inakuja baadae!kifupi Kuna ubabaifu mwingi
Nimekuelewa mkuu!Ili huu mfuko uweze NHIF yatakiwa izingatie hilo swala.
Kwamba hospital lazima impe mgonjwa karatasi za matibabu
Hospital impe mgonjwa bill aisome ndio aweke saini
Mgonjwa atumiwe meseji na NHIF kuhusiana na bill yake
Mmh unahamisha ulaji to from one place to anotherKwaujumla hali ndivyo ilivyo, wizi kila sehemu. Ila hata kama ni baadae, wewe ukiona kunawasiwasi toa taarifa. Nchi yetu sote hii.
Na huu ndiyo ukweli...Anaweza na wanafanya sana. Kinachotokea mtu akija kutibiwa cash pesa inatiwa mfukoni na charges zinahamishiwa kwenye form yako iliyoachwa blank.
Na huu ndiyo ukweli...
Watz jau sana Mkuu, dawa ni kwenda nao hivyo hivyo kingadungaduAcha ukuda, umetibiwa potea
Tutafanyaje sasa, amini watoa huduma wamefundishwa jinsi ya kutoa risiti kwa wakati ila hiyo mbinde sasa.Mmh unahamisha ulaji to from one place to another
Hili swali limrudie mwanzisha mada,Kwahiyo baada ya kukupa hiyo Bill wewe umenufaika na Nini??
Yeah, maana kama Wagonjwa wenyewe ndio Hawa, Bure kabisaMfano, Agha Khan hawapokei NHIF Kwasababu ni kibima takataka kabisa
Mkuu, hapa utapoteza nguvu zako kujibizana na watu wasioelewa hata wanachokitakaNHIF ukiwaedekeza Kama una kakituo kako, utafirisika asubuhi tu.
Mfano:
Kidonge Cha Paracetamol, wao wanalipa Tsh 20 kimoja.
Magnesium, Chlorpheni Tsh 10 kwa kidonge.
Wound dressing/stitches Tsh 2000.
Na bado ukitoa huduma nusu ya Pesa utakadai ITAKATWA utapewa nusu kwa vijisababu kibao.
Sasa ukikomaa nao, ndani ya miezi 6 tu utajikuta hata pesa ya KULIPA DAWA au kulipa wafanyakazi HUNA.
Kule Dar main campus wanapokea fast track only ambazo ni BOT, NMB, TRA, CRDB na mfano wa hizoHyo ni agha khan ya wapi...au Peponi huko. Acha kusikiliza radio mbaoo.. me ni mwaka agha khan tunapokea hyo bima bila shida.. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi
Yaani ndio ujinga ni mtaji mkubwa sana.Kule Dar main campus wanapokea fast track only ambazo ni BOT, NMB, TRA, CRDB na mfano wa hizo
Polyclinic ndio wanapokea wanahudumia mpaka hizi za kawaida
Binafsi sijawahi kupata. Napeleka sana wanangu na wanatibiwa ila sijawahi jua gharama halisiUkisaini kwenye mashine siku wakituma madai NHIF unapata sms
Angalia pia pad unayosaini huwa ina figure, lakini pia inawezekana wamekosea namba yako ya simu. Siku ukienda waambie wacheki vizuri namba yakoBinafsi sijawahi kupata. Napeleka sana wanangu na wanatibiwa ila sijawahi jua gharama halisi
bima ya afya ni kitengo cha uwiziHabari za leo wadau kuna jambo mara nyingi nakutana nalo sijui kama wenzangu hili mmewahi kukutana nalo, kuna hizi form za matibabu NHIF unaenda hospitali unapata huduma kila gharama zinaandikwa kwenye form ukimaliza matibabu unaenda mapokezi kwa ajili ya kuchukua kadi yako ukifika pale inakupasa kusaini ile form ya gharama ulizotumia.
Ila sijawahi kuona ile form hesabu zimefungwa mara nyingi hesabu zinakuwa wazi, hii ni kwanini maana kuna uwezekano ikatokea hospital ambazo sio waaaminifu wakaongeza gharama ambazo hukutumia wewe, sasa sijui shida inakuwa wapi maana tunasaini hesabu ambayo haijakamilika kwanini hii NHIF waingalie kama ndio Sheria wabadili lazima mtu inasaini kitu halisi ulichotumia.