Kwanini tukienda hospitali zile fomu za NHIF hawafungi hesabu pale chini?

Kwanini tukienda hospitali zile fomu za NHIF hawafungi hesabu pale chini?

Acha kutetea ujinga, hospital nyingi Hasa private kujiendesha kwao wanategemea NHIF..so Kama wanaona pesa hailipi wachukue wateja wa cash ndan ya mwezi watafunga huduma..ndo maana wanakuwa wajanja janja..
NHIF ukiwaedekeza Kama una kakituo kako, utafirisika asubuhi tu.

Mfano:

Kidonge Cha Paracetamol, wao wanalipa Tsh 20 kimoja.

Magnesium, Chlorpheni Tsh 10 kwa kidonge.

Wound dressing/stitches Tsh 2000.

Na bado ukitoa huduma nusu ya Pesa utakadai ITAKATWA utapewa nusu kwa vijisababu kibao.

Sasa ukikomaa nao, ndani ya miezi 6 tu utajikuta hata pesa ya KULIPA DAWA au kulipa wafanyakazi HUNA.
 
Umetahadharishwa unasema nimekutisha😂😂😂, chief tufanye umeshinda sawa braza.

Siyo tu kuwa nimeshinda ila hamko na majibu. Mama kasema mtoke mlikojificha mtoe majibu.
 
Acha kutetea ujinga, hospital nyingi Hasa private kujiendesha kwao wanategemea NHIF..so Kama wanaona pesa hailipi wachukue wateja wa cash ndan ya mwezi watafunga huduma..ndo maana wanakuwa wajanja janja..
Huyo ni mmiliki wa dispensary
 
Oooh mmeondoa mfumo wa zamani wa makaratasi?
Mf nimeenda hospital wakanipa dawa bila kunitibu, dawa zenyewe ni za 10000 ila nikatumiwa ujumbe nimetumia 300,000 hapo inakuwaje?
Makaratasi hayajaondolewa ila risiti unapata
 
Acha kutetea ujinga, hospital nyingi Hasa private kujiendesha kwao wanategemea NHIF..so Kama wanaona pesa hailipi wachukue wateja wa cash ndan ya mwezi watafunga huduma..ndo maana wanakuwa wajanja janja..
Private kubwa wanakula MICHONGO na wafanyakazi wa NHIF wandai pesa kubwa halafu wanagawana. Wala wewe takataka mwanachama hujui kitu.

Mimi nakuzungumzia wewe fisi, Kwasababu mfanyakazi wa NHIF Hana shida yoyote hata Kama NHIF itafirisika, Sasa hivi wanataka KUKUSANYA pesa za Bima ya Afya kwa wote watunishe mfuko. Watu wa NHIF wataendelea kulipana mshahara mkubwa na posho mlima na maadili ya kutosha.

Wewe takataka kabisa na kibima chako mtaanza kukataliwa hospital moja baada ya nyingine na HAKUNA kitu mtafanya.
 
He Bora huko mnapewa hata hayo makaratasi Mimi hospital ninazoenda napewa ki mashine nisign,nilikuwa nawaza Jambo Kama hili
 
Mfano, Agha Khan hawapokei NHIF Kwasababu ni kibima takataka kabisa
Hyo ni agha khan ya wapi...au Peponi huko. Acha kusikiliza radio mbaoo.. me ni mwaka agha khan tunapokea hyo bima bila shida.. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi
 
Hyo ni agha khan ya wapi...au Peponi huko. Acha kusikiliza radio mbaoo.. me ni mwaka agha khan tunapokea hyo bima bila shida.. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi
Braza usiargue na watu, hawataweza kuja kukuelewa😂😂😂 mtandaoni maana Tanzania kwa conspiracies hawajambo.
 
Na si hilo tu itapendeza meseji za matibabu ziingiazo katika simu zionyeshe aina ya matibabu,dawa na gharama zilizotumika na si kutujulisha tu kuwa kadi yako imetumika tarehe fulani.
 
Sio kila daktari anayekuona anajua bei ya dawa/huduma aliyokupa zilizoko kwenye mfumo wa NHIF
Hospital nyingine tayari wameunganishwa online ukisaini maana yake na gharama zimepigwa papo hapo automatic

Sasa ukija kwenye hizi hospital zetu za Serikali bado changamoto ni kubwa ya watendaji kwa upande wa bima, mtu anayeingiza madai kwenye mfumo unakuta ni mmoja anazikusanya anaingiza mara moja moja sana.

Ila yote kwa yote NHIF hawajui majukumu yao ukija kwa ngazi ya vituo vya kutolea huduma wako ofisini kusubiri waletewe madai mwisho wa mwezi wakati watendaji huku chini wa bima hakuna na hata ku-organize mambo na kituo ili hizi changamoto zitatulike.
hii nimekwenda jana konondoni hospital pale mambo yote online aisee safi
nimekwenda nikaacha kadi mapokezi nikajaza taarifa zikatumwa kwa daktari online, nikamuona daktari akajaza taarifa zikatumwa online nikaenda nikaona bill yangu nikasign kwa kutumia sijui ni kishkwambi kile yaan digital sema amount niliyoiona bablain nikajisemea hiiihiihiii ivi hawa nhif hawajaweka limit ya bei kwenye huduma au mbna bei kubwa ivi yaan kumuona daktari tu amount mlima
 
Hyo ni agha khan ya wapi...au Peponi huko. Acha kusikiliza radio mbaoo.. me ni mwaka agha khan tunapokea hyo bima bila shida.. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi

".. ni moja ya Bima inayotupa pesa nyingi."

Si wenye kuichangia na kuhitaji bima hii isifilisike, kauli hii inatufikirusha sana.
 
Halafu karisiti hawatoii??
Hakuna Cha risiti Wala Cha Nini!hata dawa ulizoandikiwa utaona tu zinatoka dirishani kwa hiyo nesi pharmacist akiamua kukuibia nyingine hujui,wanadai Mambo Ni digital
 
Na si hilo tu itapendeza meseji za matibabu ziingiazo katika simu zionyeshe aina ya matibabu,dawa na gharama zilizotumika na si kutujulisha tu kuwa kadi yako imetumika tarehe fulani.

Kwamba sisi wateja hatimaye tunasema haya. Ila anayeimiliki Bima kiuendeshaji na kimalipo yeye katulia tu?

Eti kuwa bado tunatakiwa tuone kila kitu ni sawa? Aah wapi!
 
Bi
Private kubwa wanakula MICHONGO na wafanyakazi wa NHIF wandai pesa kubwa halafu wanagawana. Wala wewe takataka mwanachama hujui kitu.

Mimi nakuzungumzia wewe fisi, Kwasababu mfanyakazi wa NHIF Hana shida yoyote hata Kama NHIF itafirisika, Sasa hivi wanataka KUKUSANYA pesa za Bima ya Afya kwa wote watunishe mfuko. Watu wa NHIF wataendelea kulipana mshahara mkubwa na posho mlima na maadili ya kutosha.

Wewe takataka kabisa na kibima chako mtaanza kukataliwa hospital moja baada ya nyingine na HAKUNA kitu mtafanya

Hutajua wapi wakati kila muamala unaandikiwa na sms unapta.. ni vile tunakosa uzalendo tu wa kutoripoti Kama gharama ni ghushi..we endelea kutukana na Mimi naendelea kukupa notes utakazoweza zitumia Kwa manufaa Yako na kizazi chako.
 
Back
Top Bottom