Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Hujaelewa point. Ninachotaka kukuambia ni kwamba upende usipende, majina yapo ambayo yaliachwa na wakoloni, na kuyaacha yatumike ni sehemu ya historia.
Tulipata uhuru hivyo tupo huru kubadilisha majina badala ya kutunza mambo yanayowapa heshima watesi wa mababu zetu
 
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Nani alikwambia waafrika hawakuwa na teknolojia? Miaka mingi afrika kuna maandishi, hesabu, ugunduzi wa chuma, ubunifu wa mavazi, tamaduni zenye staha na civilization ya aina yetu.

Umekuwa brain washed mpaka unajidharau.
Huyo jamaa japo umemdharau lakini kaongea ukweli mtupu. Wafrika tunashida sana kichwani
1. Elimu na mtaala wake unatumia wa mzungu
2. Lugha ya Kiswahili imesanifishwa na mzungu. Hii unayotumia sasa japo wafrika walikuwepo
3. Katiba, sheria pamoja na ngazi za uongozi ni ya wazungu
4. Ukiongea kiingereza unaonekana wa maana sana. Interview unatumia lugha ya kiingereza
5. Mikopo tunawakopa wao wazungua
6. Dini unatumia za watu, usipotumia ya mzungu, utatumia ya mwaarabu
Wewe kama mwafrika una nini ambacho kinakutambulisha kuwa wewe ni mwafrika kwa sasa? Hivyo vitu vyote ulivyovitaja ukivtafuta usome, utakutana na vitabu vya wazungu. Utakuja kushangaa mpaka historia ya Tanganyika imeandikwa na mzungu.
 
Tulipata uhuru hivyo tupo huru kubadilisha majina badala ya kutunza mambo yanayowapa heshima watesi wa mababu zetu
Lugha ya taifa ni Kiswahili
1. Kwanini ukienda mahakamani, sheria zimeandikwa kwa lugha ya kiingereza?
2. Kwanini kwenye elimu kuanzia sekondari na kuendelea tunatumia lugha ya Kiingereza na Lugha ya kiswahili inatumika kama somo?
Tumepata uhuru tangu 1961 lakini kwanini haya mambo bado yapo?
 
Huyo jamaa japo umemdharau lakini kaongea ukweli mtupu. Wafrika tunashida sana kichwani
1. Elimu na mtaala wake unatumia wa mzungu
2. Lugha ya Kiswahili imesanifishwa na mzungu. Hii unayotumia sasa japo wafrika walikuwepo
3. Katiba, sheria pamoja na ngazi za uongozi ni ya wazungu
4. Ukiongea kiingereza unaonekana wa maana sana. Interview unatumia lugha ya kiingereza
5. Mikopo tunawakopa wao wazungua
6. Dini unatumia za watu, usipotumia ya mzungu, utatumia ya mwaarabu
Wewe kama mwafrika una nini ambacho kinakutambulisha kuwa wewe ni mwafrika kwa sasa? Hivyo vitu vyote ulivyovitaja ukivtafuta usome, utakutana na vitabu vya wazungu. Utakuja kushangaa mpaka historia ya Tanganyika imeandikwa na mzungu.
Madai yako haya ni ya kweli kabisa kwa hali ya sasa ilivyo lakini hii isiwe sababu ya mwafrika kujidharau.

Kila lugha duniani imeendelea kukua kwa kutumia maneno ya lugha zingine.

Hivi unajua kiingereza chenyewe maneno mengi ni ya kigiriki? Lakini hiyo haikufanya wadharau lugha na tamaduni zao.

Demokrasia ni wazo la wagiriki lakini leo hii nchi nyingi zinafuata mfumo huo wa uongozi na wengi hawajadharau mifumo yao ya asili kama tunavyoona ufalme kwenye demokrasia ya Uingereza.

Mwafrika amekuwa disadvantaged na mazingira ya ukoloni na hapa ndio tunatakiwa kushinda kwa kuachana na vitu vinavyotukuza ukoloni.
 
Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Wewe nawe fanya hata tafiti ndogo tu utafahamu gunduzi nyingi zimefanywa na ngozi gani.
 
Lugha ya taifa ni Kiswahili
1. Kwanini ukienda mahakamani, sheria zimeandikwa kwa lugha ya kiingereza?
2. Kwanini kwenye elimu kuanzia sekondari na kuendelea tunatumia lugha ya Kiingereza na Lugha ya kiswahili inatumika kama somo?
Tumepata uhuru tangu 1961 lakini kwanini haya mambo bado yapo?
Kufahamu na kutumia lugha mbalimbali za ulimwengu huu hazijatufanya tukadharau kiswahili. Marekani inatumia kiingereza lakini imeweza kutoboa. Ulimwengu wa biashara na uhusiano wa kimataifa tunatumia kiingereza ili kuwasiliana.

Kuhusu sheria huo ni udhaifu wa wafanya maamuzi wetu kwasababu inawezekana kutumia lugha yetu. Hukumu za mahakama ya mwanzo zinaandikwa kiswahili.
 
Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Mkuu unaweza kuwa na point lakini umeandika kibinafsi sana hili ni swala pana na linahitaji ubishani wa hoja

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Nani alikwambia waafrika hawakuwa na teknolojia? Miaka mingi afrika kuna maandishi, hesabu, ugunduzi wa chuma, ubunifu wa mavazi, tamaduni zenye staha na civilization ya aina yetu.

Umekuwa brain washed mpaka unajidharau.
Limbukeni huyu Mwamba hawa ndio wanaosababishwa Waafrica tudharaulike

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.

Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
Waafrika wameamua kukumbatia maamuzi ya watu waliowatesa.
 
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.

Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
Wazo hilo likitekelezwa litatusaidia nini cha ziada? Unawaza trivial issues sana ndugu.
 
Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Jisemee mwenyewe.
 
Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Ina maana tungekuwa bado ni "bushmen" . Utasikia haya majengo ya mkoloni, hii meli, reli ilietwa na mkoloni. Kuna vitu vingi vizuri mkoloni katuletea, yale mabaya hayawezi kutufanya tuchukie historia. Jina Victoria tumelikubali kama kumbukumbu ya utawala wa waingereźa. Hata uko Zanzibâr kuna eneo linaitwa kwa Mchina, hapo kuna hitoria sio kumuenzi mchina
 
Hilo ziwa limamilikiwa na nchi 3 sidhani kama Kenya na Uganda watakubali hilo jina unalosema la asili. Yatakuwa yale yale ya ziwa nyasa dunia nzima inaliita Lake Malawi hadi ramani za Google zinaonesha hivyo ila sisi tunaita ziwa nyasa
Kwa Uganda sina uhakika ila kwa Kenya sidhani kama wataleta shida maana hilo jina wanalitambua vizuri siyo geni kwao

Walishawahi kuwa na province inaitwa Nyanza ambako ndiko unakopatikana mji wa Kisumu unaoliface Ziwa Victoria

Kabla ya zile provinces zao kugawanywa na kuitwa counties
 
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.

Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
Sisi wenyeji wa sehemu hizo tu aliita Nyanza. Na huko Kagera wanaliita Rweru.
 
Back
Top Bottom