Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Wazo hilo likitekelezwa litatusaidia nini cha ziada? Unawaza trivial issues sana ndugu.
Sawa, wewe unawaza mambo makubwa ambayo yameshawatoa watanzania kwenye umaskini.
 
Hapo ulipo ukute mtoto wako Anaitwa Elizabeth...Nawe mwenyewe unaitwa John.Lakini hilo hujaliona umeona jina la Ziwa....
Hayo majina nitakuwa nimejipa mimi mwenyewe. Hapa tunaongelea rasilimali yetu kupewa jina la mtu aliyeua mababu zetu.
 
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Nani alikwambia waafrika hawakuwa na teknolojia? Miaka mingi afrika kuna maandishi, hesabu, ugunduzi wa chuma, ubunifu wa mavazi, tamaduni zenye staha na civilization ya aina yetu.

Umekuwa brain washed mpaka unajidharau.
Mwambie huyo "karagwe "ilifua chuma kabla ya ulaya.
 
Wewe babu yako angeuawa ungezaliwa??!
Hizi ni akili za wapi? Leo hii kama wazazi wako wapo hai halafu mtu akawaua utakuwa hujazaliwa?

Akili kama hizo ni zile zilizoharibiwa na ukoloni.
 
Hilo ziwa limamilikiwa na nchi 3 sidhani kama Kenya na Uganda watakubali hilo jina unalosema la asili. Yatakuwa yale yale ya ziwa nyasa dunia nzima inaliita Lake Malawi hadi ramani za Google zinaonesha hivyo ila sisi tunaita ziwa nyasa
Mbona simple sana, ziwa TAKEU au UKETA, au KETAU, au KEUTA
 
Hizi ni akili za wapi? Leo hii kama wazazi wako wapo hai halafu mtu akawaua utakuwa hujazaliwa?

Akili kama hizo ni zile zilizoharibiwa na ukoloni.
Hizi ni akili za wapi? Leo hii kama wazazi wako wapo hai halafu mtu akawaua utakuwa hujazaliwa?

Akili kama hizo ni zile zilizoharibiwa na ukoloni.
Hizi ni akili za wapi? Leo hii kama wazazi wako wapo hai halafu mtu akawaua utakuwa hujazaliwa?

Akili kama hizo ni zile zilizoharibiwa na ukoloni.
Hizi ni akili za wapi? Leo hii kama wazazi wako wapo hai halafu mtu akawaua utakuwa hujazaliwa?

Akili kama hizo ni zile zilizoharibiwa na ukoloni.


Wazazi wangu sawa na sio Babu yangu, akili zako za wapi wewe??, hebu niambie umri wako leo ni miaka mingapi na hesabu toka hao wazungu waingereza walipotutawala hadi sasa ni miaka mingapi???, kifupi ni kwamba Generation ya Babu yako (katika zama za ukoloni wa kiingereza) na generation yako ni miaka mingi imepita kudai kwamba Babu yako aliuawa na wewe uwe hai hii leo!!!
 
Wazazi wangu sawa na sio Babu yangu, akili zako za wapi wewe??, hebu niambie umri wako leo ni miaka mingapi na hesabu toka hao wazungu waingereza walipotutawala hadi sasa ni miaka mingapi???, kifupi ni kwamba Generation ya Babu yako (katika zama za ukoloni wa kiingereza) na generation yako ni miaka mingi imepita kudai kwamba Babu yako aliuawa na wewe uwe hai hii leo!!!
Sidhani kama unaweza kutumia akili vizuri. Hesabu utakuwa huzijui kabisa.
 
Sidhani kama unaweza kutumia akili vizuri. Hesabu utakuwa huzijui kabisa.


For the sake of argument, huyo babu yako "aliuawa" na wakoloni kwa "kusingiziwa" kosa gani??
 
Hiyo Victoria mnaijua nyinyi wasomi. Washikaji zangu wa hapo Kayenze wanajua "nyanza" tu.
 
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.

Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
IDD AMIN alikataa huo upumbavu na akabadilisha maziwa, Milima na Barabara zote zenye ubini wa kizungu kule Uganda na kushauri Viongozi wote wa kiafrika wafanye hivyo.

Mobutu Sesesseko alimuunga IDD AMIN mkono

Kwa mfano:

mwaka 1973

Lake Albert ikaitwa Lake MOBUTU

Lake Edward (aliyekuwa Prince na Mtoto wa Queen Victoria) ikaitwa Lake IDD AMIN

Baada ya vita vya IDD AMIN mwaka 1979, majina yakarudi tena kuwa yale ya Wazungu.
 
Back
Top Bottom