Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahdante Mkuu,kuna mtu pia amesema hivoNyanza kwa kisukuma inamaanisha ziwa.
Nyanza (Kisukuma) = Ziwa (Kiswahili)
Kwani Ethiopia walitawaliwa na nani ? Mbona wana maendeleo ?Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Mbona husemi juu ya majina ya kiarabu ?Majina yenu ya asili tu hamuyataki mnajiita ya kizungu sijui john, Peter carleen, Elizabeth, Nancy tena mzazi utasikia ana taka jina zuri la mtoto kwake jina kabula, havijawa, andunje, karumekenge, Jango ambayo ndio majina halisi ya kiafrika ni mabaya. Tena wanasema yana mikosi kwa hiyo hata hilo ziwa msilipe jina la asili lenye mikosi kama nyie mnavyokataa kuwapa watoto wenu majina ya asili mmeng'ang'ania majina ya kizungu
Sio kisukuma tu hata kinyambo "Nyanza" maana yake ziwa"Nyanza" ni neno la kisukuma maana yake "ziwa"
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.
Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
Hiyo siyo Milima ya Kipengere?Nashauri pia na milima riving stone pia jina libadilishwe.
Huku tuna iita ukingaHiyo siyo Milima ya Kipengere?
Liite ziwa Chato ikikupendeza! Regacy🤣Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.
Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?
Mkuu Sio Riving Stone! Ni Livingstone¡!Nashauri pia na milima riving stone pia jina libadilishwe.
Hata bila wao tungeadvanceYaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
...Mbona Raisi wa ilivyokuwa Zaire aliweza?? Yeye Mwaka 1973 ama 1974 aliamka asubuhi na kuamuru Raia wake Wote waachane na Majina ya Kizungu na Wote wawe na Majina ya Kiasili.....na yeye Mwenyewe Akaaza na...Mobutu See Seko Kuku Gbendu wa Zabanga?sikatai wazungu wametutawala na kwamiaka mingi wametunyonya ila sisi tumelazimishwa kimfumo kufuata zaidi utandawazi wao hivyo dunia ina uelekeo wa kizungu kuanzia miundo mbinu huduma za kijamii makazi na vyanzo vya kujiingizia kipato vyote walianzisha wao hivyo itatuchukua muda mrefu na resource nyingi ili tuseme tunajitegemea hata kama tulikua na mambo yetu ya kiafrika ila yamezikwa ili waweze kututawala na kuweka order zao duniani
Nina mashaka na race yakeWewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Nani alikwambia waafrika hawakuwa na teknolojia? Miaka mingi afrika kuna maandishi, hesabu, ugunduzi wa chuma, ubunifu wa mavazi, tamaduni zenye staha na civilization ya aina yetu.
Umekuwa brain washed mpaka unajidharau.
Aliua mababu zako?Lini?Acheni kusingizia watu.Lirudishwe hili. Huyo malkia katili aliua mababu zetu.
Berlin conference ilikuwa mwaka 1884.Alikuwa bado hajazaliwa.Alizaliwa 1926.Sasa,yeye kama Eliza,alimuua babu yako gani?Unafahamu Berlin conference? Yule mama alikuwa malkia wakati inafanyika.
Ziwa Victoria mbona linaitwa ziwa Nyanza tayari, sema hii Nyanza haijatiliwa tu mkazoHilo ziwa limamilikiwa na nchi 3 sidhani kama Kenya na Uganda watakubali hilo jina unalosema la asili. Yatakuwa yale yale ya ziwa nyasa dunia nzima inaliita Lake Malawi hadi ramani za Google zinaonesha hivyo ila sisi tunaita ziwa nyasa
Ziwa kwa maana ya titi au ziwa la maji?"Nyanza" ni neno la kisukuma maana yake "ziwa"