Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Kwanini tumekubali ziwa la Kanda ya Ziwa kupewa jina na Malkia Victoria wa Uingereza?

Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Kwani Ethiopia walitawaliwa na nani ? Mbona wana maendeleo ?
 
Majina yenu ya asili tu hamuyataki mnajiita ya kizungu sijui john, Peter carleen, Elizabeth, Nancy tena mzazi utasikia ana taka jina zuri la mtoto kwake jina kabula, havijawa, andunje, karumekenge, Jango ambayo ndio majina halisi ya kiafrika ni mabaya. Tena wanasema yana mikosi kwa hiyo hata hilo ziwa msilipe jina la asili lenye mikosi kama nyie mnavyokataa kuwapa watoto wenu majina ya asili mmeng'ang'ania majina ya kizungu
Mbona husemi juu ya majina ya kiarabu ?
 
Tena huyu malkia alikuwa anatawala Uingereza miaka ile ya mkutano wa kugawana bara la Afrika.

Kwanini miaka yote hii tangu uhuru hatujarudisha jina lake la asili?

Jina la asili ni lipi hilo mkuu? Maana huku mitaani kuna street names ya ajabu ajabu hata kuyataja unaona aibu kwa mgeni wa kutoka nje
 
Pekua pekua yangu imeonyesha kuwa ziwa hilo kwa upande wa Tanzania lilifahamika kama "Nyanza Kerewe". Sijui kwa upande wa Kenya(Kisumu) Uganda na Bukoba liliitwa jina gani. Jumuia ya Afrika Mashariki kupitia hawa wabunge wanaochaguliwa sasa, waangalie namna ya kubalilisha hilo jina kama ishara ya uasi kwa Mfalme wa sasa wa Uingereza ambaye amejipambanua wazi wazi kama mbaguzi hasa kwa watu wenye asili ya Afrika.
 
Yaani nyie mnaodhiakigi wazungu huwa nawashaangaaga sana, ni watu msiokuwa na shukrani hata kidogo. Hivi ulishawahi kujiuliza bila wazungu kuja tungekuwa tunaishije sasa hivi, kuanzia nyumba, mawasiliano, usafiri, elimu, matibabu, mavazi, nishati kama umeme. Upo hapo unachati na kuandika kama vile babu yako ndo aliyebuni maandishi na kueneza elimu. Kutawaliwa ilikuwa ni lazima ili kuleta balance maana bila hivyo hiyo mifumo ya huduma visingefanikiwa kwa ufanisi ndo maana hata baada ya wao kutuachia nchi zetu mambo ni ya kusuasua. Ngozi nyeusi ni nature yetu kuwa na uwezo mdogo wa kiakili na ubunifu.
Hata bila wao tungeadvance

Hapajawahi kuwa na jamii domant, umetawaliwa kifikra ukatawalika
 
sikatai wazungu wametutawala na kwamiaka mingi wametunyonya ila sisi tumelazimishwa kimfumo kufuata zaidi utandawazi wao hivyo dunia ina uelekeo wa kizungu kuanzia miundo mbinu huduma za kijamii makazi na vyanzo vya kujiingizia kipato vyote walianzisha wao hivyo itatuchukua muda mrefu na resource nyingi ili tuseme tunajitegemea hata kama tulikua na mambo yetu ya kiafrika ila yamezikwa ili waweze kututawala na kuweka order zao duniani
...Mbona Raisi wa ilivyokuwa Zaire aliweza?? Yeye Mwaka 1973 ama 1974 aliamka asubuhi na kuamuru Raia wake Wote waachane na Majina ya Kizungu na Wote wawe na Majina ya Kiasili.....na yeye Mwenyewe Akaaza na...Mobutu See Seko Kuku Gbendu wa Zabanga?
 
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Nani alikwambia waafrika hawakuwa na teknolojia? Miaka mingi afrika kuna maandishi, hesabu, ugunduzi wa chuma, ubunifu wa mavazi, tamaduni zenye staha na civilization ya aina yetu.

Umekuwa brain washed mpaka unajidharau.
Nina mashaka na race yake
 
Berlin conference ilikuwa mwaka 1884.Alikuwa bado hajazaliwa.Alizaliwa 1926.Sasa,yeye kama Eliza,alimuua babu yako gani?
Hii mada inamzungumzia Victoria ambaye alikuwa malkia na ndio jina lake limepewa ziwa.
 
Hilo ziwa limamilikiwa na nchi 3 sidhani kama Kenya na Uganda watakubali hilo jina unalosema la asili. Yatakuwa yale yale ya ziwa nyasa dunia nzima inaliita Lake Malawi hadi ramani za Google zinaonesha hivyo ila sisi tunaita ziwa nyasa
Ziwa Victoria mbona linaitwa ziwa Nyanza tayari, sema hii Nyanza haijatiliwa tu mkazo
 
Back
Top Bottom