Kwanini tuna wapinzani wengi mitandaoni ila uraiani hawaonekani?

Kwanini tuna wapinzani wengi mitandaoni ila uraiani hawaonekani?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.

unaishi mikocheni mkuu?
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Au wengi ni wanasisiemu kimavazi lkn kifikra ni fikra tofauti
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Ndo walimuhadaa Lissu atashinda kwa 80&,Alichokipata anajuta,akajaribu kuitisha maandamano yasiyoisha ikiwa hewa.
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Je kila anayekosoa serikali ni lazima awe mpinzani ?? Wengine sio wapinzani kabisaaaa, na wengine hawavipendi kabisaaa vyama vya siasa, Wengine wao wanataka kuona Nchi inaenda vizuri tu basi ! Ndio maana wanachangia ama kwa kukosoa ama kwa kusifu, that's it
 
Umewahi kusikia watu wasiojulikana? Umewahi kusikia kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda na Watanzania wengi wengine? Umewahi kusikia maiti kuokotwa ufukweni mwa bahari na Serikali kutokufanya uchunguzi wowote? Kama wapinzani ni wachache kwanini Serikali ihofie Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zinakuwa HURU na za HAKI? Unadhani ni kwanini Serikali inaichukia mitandao na kutaka hata kuifunga au kufanya accessibility yake iwe ya tabu!?
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
unaona karibu mno !
 
wanaogopa kupigwa na polisi
Wapinzani wa nchi hii ni kama nyoka mbele ya binadamu, na agizo la Mungu ni binadamu kumgonga kichwa, na nyoka kumgonga binadamu kisigino. Kuonekana mitandaoni huko ndio mafichoni kwao, walau miili inaonekana , vichwa vimefichwa visipondwe.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ndo walimuhadaa Lissu atashinda kwa 80&,Alichokipata anajuta,akajaribu kuitisha maandamano yasiyoisha ikiwa hewa.
Usiku wa kuamkia maandamano sikulala vizuri, milio ya magari a polisi yalikesha. Kesho yake barabara mjini kwetu zilijaa migambo na raia wa kawaida waliogopa kwenda hata sokoni.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.

Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
ALAFU NI WAOGA ILE MBAYA..!
 
Back
Top Bottom