Kwanini tuna wapinzani wengi mitandaoni ila uraiani hawaonekani?

Kwanini tuna wapinzani wengi mitandaoni ila uraiani hawaonekani?

Nikitaka kutukana lakini basi

Hivi unafikiri upinzani ni kama mawe kwamba lazima yaonekane?

Upinzani uko moyoni mwa wengi zaidi hata na hawa unaowaona mitandaoni.

Sitaki kueleza sababu za kwa nini hawaonekani nadhani unazifahamu kuliko nadhani hata nazozifahamu.
Kama unazifahamu sababu za kwa nini hawaonekani mtaani amini wewe ni mpinzani kindaki ndaki na umekosa nafasi tuu ya kuoonyesha.
HIVI HUU UTAFITI WA MIOYO YA WATU SIJUI HUWA MNAUFANYA VIPI MPAKA MNAGUNDUA KUWA WAPINZANI WAPO WENGI? BADO MNAJIDANGANYA PANUENI HUKOMCHINI KWANZA MJULIKANE MSIWE NA HARAKA YA KUINGIA MADARAKANI BADO HAMJUIKANI
 
Hahahh Yani hata hueleweki unaongelea kitu gani rafiki...
Unajitia uelewi. Wapinzani ni wengi sana . MaCCM mmeua na kutesa watu mkiamini mnaua upinzani. CCM ndio imebakiwa na watoto wa teuzi na wale wa buku7. Hata mikutano yenu CCM lazima kodi na TOZO zitumike kugharamia kuongeza vichwa.
 
HIVI HUU UTAFITI WA MIOYO YA WATU SIJUI HUWA MNAUFANYA VIPI MPAKA MNAGUNDUA KUWA WAPINZANI WAPO WENGI? BADO MNAJIDANGANYA PANUENI HUKOMCHINI KWANZA MJULIKANE MSIWE NA HARAKA YA KUINGIA MADARAKANI BADO HAMJUIKANI
Ulijiuliza kama upinzani haupo kwa nini CCM haiwezi kuishi bila kuiba chaguzi, ?! au ndio ushashiba buku7 ya TOZO unahara tu humu.
Mnaogopa kitu hakipo , SHUWAIN wa Makunduchi nyie.
 
Unajitia uelewi. Wapinzani ni wengi sana . MaCCM mmeua na kutesa watu mkiamini mnaua upinzani. CCM ndio imebakiwa na watoto wa teuzi na wale wa buku7. Hata mikutano yenu CCM lazima kodi na TOZO zitumike kugharamia kuongeza vichwa.
Kweli wapinzani nimewaona hapa JF wamejaa...
 
Ulijiuliza kama upinzani haupo kwa nini CCM haiwezi kuishi bila kuiba chaguzi, ?! au ndio ushashiba buku7 ya TOZO unahara tu humu.
Mnaogopa kitu hakipo , SHUWAIN wa Makunduchi nyie.
kutukana ni jadi yenu sisi tuna pambana kwa hoja wewe tukana unavyoweza utaendelea kuwa mpinzani mpaka uchakae sisi twala tu
 
Wapinzani ni wachache sana yet maccm yanahofia uchaguzi HURU na wa HAKI kupitia Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi kwa sababu wapinzani wachache watashinda maccm yaliyo mengi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi bado nadhani ni wachache sana, na serikali ina fanya vyote ulivyovitaja ili wasije wakawa wengi! Maana upotoshaji unao tumika, serikali isipo wacheck, wanaweza kuongezeka! Ni hilo tu, ila wapinzani ni wachache sana.
 
HIVI HUU UTAFITI WA MIOYO YA WATU SIJUI HUWA MNAUFANYA VIPI MPAKA MNAGUNDUA KUWA WAPINZANI WAPO WENGI? BADO MNAJIDANGANYA PANUENI HUKOMCHINI KWANZA MJULIKANE MSIWE NA HARAKA YA KUINGIA MADARAKANI BADO HAMJUIKANI
Wewe unachanganya vitu viwili
1. Upinzani
2. Ufuasi wa vyama

Kuna watu ni wafuasi wa vyama lakini sio wapinzani na kuna watu ni wapinzani lakini sio wafuasi wa vyama.
Ukizijua hizo tofauti ndio utajua hata wewe yawezekana ni mpinzani ila sio mfuasi wa chama.

Hapo ndio utajua hata ndani ya ccm kuna wapinzani lakini sio wanachama wa upinzani ila ni wafuasi wa ccm

Ukitaka kujua hili jiulize mwenyewe
Kwa nini niko ccm?
Ukiona jibu lako binafsi huna mpaka uokoteze kutoka kwa wengine ujue hata wewe ni mpinzani kwani una mawazo m.badala
 
Wewe unachanganya vitu viwili
1. Upinzani
2. Ufuasi wa vyama

Kuna watu ni wafuasi wa vyama lakini sio wapinzani na kuna watu ni wapinzani lakini sio wafuasi wa vyama.
Ukizijua hizo tofauti ndio utajua hata wewe yawezekana ni mpinzani ila sio mfuasi wa chama.

Hapo ndio utajua hata ndani ya ccm kuna wapinzani lakini sio wanachama wa upinzani ila ni wafuasi wa ccm

Ukitaka kujua hili jiulize mwenyewe
Kwa nini niko ccm?
Ukiona jibu lako binafsi huna mpaka uokoteze kutoka kwa wengine ujue hata wewe ni mpinzani kwani una mawazo m.badala
ndugu mi naona nimeshindwa kukuelewa unamaanisha nini yaani niwe ccm halafu nisijijue kwanini niko ccm? au niwe chadema halafu nisijijue kama kwanininiko chadema au niwe mpinzani ndani ya chadema? haiwezekani cha msingi upinzani nachosisitiza wajijenge kuanzia mashinani huku juu wanakurupukia hakuna manufaa sana kwao maana na wapiga kurawako huko chini wasiangalie wa mtandaoni
 
Back
Top Bottom