Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wamejificha kwenye dolaUsiku wa kuamkia maandamano sikulala vizuri, milio ya magari a polisi yalikesha. Kesho yake barabara mjini kwetu zilijaa migambo na raia wa kawaida waliogopa kwenda hata sokoni.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ukifuatilia kwa umakini kabisa utabaini kuwa kundi lililopo mtandaoni linatofautiana kwa mbali sana na kundi ambalo kwa sehemu kubwa halingii mtandaoni ambalo ndilo kundi kubwa zaidUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Nchi hii hakuna upinzani, wale nyumbu wa gaidi wamepoteana siku nyingi.Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Wananchi wenye msimamo wa upinzani ni wengi sana isipokuwa tu hawajawa tayari kukimbizana na polisi mtaani
Walio mtandaoni wana accsess ya habari na wanajua yanayotokea. Watu wengi hawana hiyo na wengi wako vijijini.Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Jamhuri ya mitandaoUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
MMh haya bwanaUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Yaani ktk punguani ninaonza kuwaona jf wewe unaweza shika namba moja.umedanganyika sana , yaani ulivyo na akili duni unadhani Polisi watawasaidieni hadi lini ? Aliyempindua dikteta Alfa Conde alikuwa mshika mwamvuli wake akihutubia juani au kwenye mvua
Nchi hii kuna wapinzani basi,wote ni wachumia tumbo au wananufaika na mfumo husika ndio maana hawawezi kujitokeza hadharani wanajificha mitandaoni.Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Na jambo baya kabisa kuna vijana hapa jf wanaanza kuliona jeshi la Guinea eti limewasaidia upinzani kupindua nchi, yaani hawa keyboard warriors wanamambo ya ajabu sana!.Wanasema wanamtegemea Mungu, Mungu atawalipia! Cowards kabisa hawa jamaa! Ila ukiwakuta nyuma ya keyboard unaweza dhani ni akina Che Guavara
Mimi bado nadhani ni wachache sana, na serikali ina fanya vyote ulivyovitaja ili wasije wakawa wengi! Maana upotoshaji unao tumika, serikali isipo wacheck, wanaweza kuongezeka! Ni hilo tu, ila wapinzani ni wachache sana.Umewahi kusikia watu wasiojulikana? Umewahi kusikia kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda na Watanzania wengi wengine? Umewahi kusikia maiti kuokotwa ufukweni mwa bahari na Serikali kutokufanya uchunguzi wowote? Kama wapinzani ni wachache kwanini Serikali ihofie Katiba mpya na Tume Huru ya uchaguzi ili kuhakikisha chaguzi zinakuwa HURU na za HAKI? Unadhani ni kwanini Serikali inaichukia mitandao na kutaka hata kuifunga au kufanya accessibility yake iwe ya tabu!?
Labda
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Labda mtaani kwako unakoishi ndio hawapo. Mtaani kwangu wapo wengi sanaUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Ndo ujue wa kuutoa uhai kwa ajili ya wengine hayupo.Usiku wa kuamkia maandamano sikulala vizuri, milio ya magari a polisi yalikesha. Kesho yake barabara mjini kwetu zilijaa migambo na raia wa kawaida waliogopa kwenda hata sokoni.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Waulize wazambia wametumia mitandao kumuondoa lunguUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Ni wa kutandika hawa jamaa, halafu wanajiona special sana! Mkutano na Samia hawataki kwenda na vyama vingine, wanataka waende peke yao!! Kila siku wanasumbuana na polisi, wanalalamika kila siku, Msajili wa vyama anawaambia anaandaa mkutano na Polisi ili kila upande useme tatizo ni nini, yanayowezekana yatatuliwe, wao wanakataa, wanasema Msajili anavunja katiba, wao hawawezi kushiriki kuvunja katiba!!Unafiki mkubwa, chama chao kikomo cha Mkiti ni miaka 10, Mbowe kavunja katiba anatoboa miaka 20 sasaNa jambo baya kabisa kuna vijana hapa jf wanaanza kuliona jeshi la Guinea eti limewasaidia upinzani kupindua nchi, yaani hawa keyboard warriors wanamambo ya ajabu sana!.