To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kistaarabu itoe mkuu🤒Umenena mwana. Kimya kikizidi unaonekana boya. Sometimes ni kumchana mtu kiustaarabu tu. Akielewa poa asipoelewa poa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kistaarabu itoe mkuu🤒Umenena mwana. Kimya kikizidi unaonekana boya. Sometimes ni kumchana mtu kiustaarabu tu. Akielewa poa asipoelewa poa tu.
NakaziaNakazia
Imeisha hiyo mkuuNakazia
Weeee kweli lo???Shida inaanzia kwenye mapenzi...
Ila hizi mambo mpk Ulaya yapoWaafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
Ulaya hakuna mwenye time ya kufuatilia maisha ya mtu.Ila hizi mambo mpk Ulaya yapo
Penye rizk hapakosi fitna
Hakuna muha mwenye roho mbaya - waha ni wanyoofu sana sasa kama wewe ulipinda ndiyo sababu uliwaona wabayaKama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.
Kuna mmoja nilifanya naye kazi anaitwa Lucas Haga, Dahh yule jamaa ana roho mbaya sana.
Wapi huko na sie tuje kupata mshahara mzuri.Inategemea unafanya kazi wapi. Hapa kwetu hakuna mwenye time na mtu. Na wanakulipa mshahara mzuri kabisa.
Sasa lengo la kusaka pesa sii ili ugegede mademuMnaliana mademu sana huko makazini
Hahaahh, kwa mabeberuWapi huko na sie tuje kupata mshahara mzuri.
Tumechoka kuumiza kichwa diet ya ugali maharage
Nikijua tuu lazima itakuwa ngozi nyeupe.Hahaahh, kwa mabeberu
Hahah, halafu eti tunawachukia mabeberu, kumbe adui mkubwa ni sisi wenyewe plus wahindi na wachina.Nikijua tuu lazima itakuwa ngozi nyeupe.
Mwafrica mchina mwarabu muhindi hawezi kukulipa vizuri maana wamejaa roho mbaya tuu.
Naungana nawe Mkuu.wivu tu mzee hakuna lingine...
Fanya yako,tembea
Piga Dua.
Sasa nitafute kazi basi hapo ata ya kasafisha ofisi ya boss...najua mshahara wa laki tano sikosiHahah, halafu eti tunawachukia mabeberu, kumbe adui mkubwa ni sisi wenyewe plus wahindi na wachina.
Hahahah,Sasa nitafute kazi basi hapo ata ya kasafisha ofisi ya boss...najua mshahara wa laki tano sikosi
Ni kweli kabisa, na mara nyingi chuki inasababishwa na wivu2016 Nime pambana njee ya mshahara nime nunua gari ya kwanza watu wakaanza kukunja ofisini like what the f**ck . Ukikaa vzuri utagundua hata marafiki zetu wana penda kusikia habari za unashida shida mambo yako hayaendi
Ni kupambana na izo situation kwa akili na Hekima ila ukisema mind your own business utafeli...Mtu anakuchokonoa hadi hatua ya mwisho unawezaje kupotezea.From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Mzee wangu unamikwaraNtarudi
Waha ni watu hatari sana, ukiwa na boss muha inabidi ujipange kweli kweli kukwepa mishale.Kama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.
Kuna mmoja nilifanya naye kazi anaitwa Lucas Haga, Dahh yule jamaa ana roho mbaya sana.