Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?

Yule uliye mzidi, ndiye anaye kuchukia. Na katika kumzidi, siyo lazima kwa vitu ambavyo wewe unaviona. Vingine umemzidi bila wewe mwenyewe kujua. Mpaka unashangaa, mbona huyu ana kila kitu!!!!?

Lakini pia kwa upande mwingine ukiwa na kiburi au tabia za kinyonge, utachukiwa.
 
Kazini utakakiwa uishi kimasta saana, epuka marafiki kazini, hao mmekutana kwa ajili ya kazi na mtaachana baada ya kazi, epuka kutembeleana majumbani au mtaani, usipige dili na mtu wa kazini, mkikutana kwenye bata wapotezee kula bata zako kivyako ikibidi badili chimbo wateme, msijenge mtaa mmoja au kununua viwanja sehem moja, na kubwa kuliko usideti kazini au kuoana na mtu wa kazini

kazini hakuna marafiki ni unafki mtupu. fanya kazi muda wakazi ukiisha potezea watu wote wa kazini utaishi vizuri sana, na usiruhusu mtu akujue jue kirahisi, aishie kukufaham tuu vile ya anavyo kuona. Utaishi kwa raha sana,
True that
 
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Human being are just human being, hawahitaji sababu kukuchukia, unaweza kuwa huna time na mtu, you just mind ur own business, but watu watakuchukia tu,
Kuna watu makazini wanapenda kila mtu awe chawa wao, ass kissers, uwalambe miguu,wao ndio wanajua kila kitu, sasa ukija ukawa tofsuti, uka badilisha status quo, wakaona unauwezo, zaidi Yao, wanakuona tishio Sana, hapo lazima uchukiwe tu,
 
K
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
kanuni ni hizi

“kamwe usianzishe mahusiano ya kimapenzi eneo la kazi”

“ Pia kamwe usi expose mambo/maisha yako binafsi eneo la kazi.,,
 
halafu sasa watu wa mbeya hatujafunzwa chuki

na kujipendekeza kwa wakubwa hamjuagi. nilikuwa naye mmoja ofisini, hakuwa na hizo, yeye ni kazi tu. nilimuelewa sana yule mwaisa. maana akiwa na issues alikuwa hanaga kupika majungu. yee anakuja kuuliza, na mimi kwa kuwa nilikuwa namjua. nilikuwa nampa majibu makavu live, na kunishukuru kuwa amenielewa.
 
Sasa wivu wa nini wakati wote unalipwa tu shinda inakuaje
Punguzeni kuongea ongea mnapokuwa makazini, story zisizokuwa na kichwa wala miguu, mixer kutongoza tongoza na kushobokea hao kina mama/dada...kwa kifupi, kama alivyosema mkuu mmoja hapo juu, fanya kilichokupeleka kazini, muda ukiisha ondoka.
 
Back
Top Bottom