Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
B.itcheessss eeh🤣🤣🤣🤣
 
nimeandaa laki 2 cash kwa atakaeniunganisha na ajira ndani ya JIJI LA MWANZA

Elimu: Degree, Logistics and Transport

Availability: All Time

Pay After Signing
IMG_20240813_114632_827.jpg
Job Contract
 
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Hiyo vita ipo kila mahali jitahidi ukae mbali nao na upige kimya, mm uliwahi nikuta hiyo tena huyo dada tulikuwa marafiki baadae alikuwa adui yangu ila niliamua kupiga kimya hadi Leo uwa anielewi
 
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Kazini mkuu ukitaka uwe na amani yako tumia msemo wa "mind your own business". Chapa kazi yako vizuri time ya kwenda home ikifika chukua kilicho chako tembea! Ukiwa chawa utapata taabu sana!
 
nyumbani napo unakuta mke kawaka hasira hapo ni bar hakuna kirudi home miezi yenyewe hii iliyobaki yote inaishia na bar tu!, September, October, November, December namimi ni member!..😂

si ndo wanasemaga hivyo au nimekosea to yuyu..??
Mimi nilicho jihapizia siwezi kuzinguliwa na mwanamke kwenye nchi ambayo population kubwa ni wao.
 
Back
Top Bottom