DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mbona somo refu umelifanya kuwa fupi Mkuu
Kwa namna ipi unaweza kumjua mtu mbaya au mzuri kwa utapokutana nae mara ya kwanza?
Sawa ntaelezea Ila sio Leo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona somo refu umelifanya kuwa fupi Mkuu
Kwa namna ipi unaweza kumjua mtu mbaya au mzuri kwa utapokutana nae mara ya kwanza?
B.itcheessss eeh🤣🤣🤣🤣From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
🤭🥴Uzi ufungwee.
🤣🤣🤣🤣Raha ya kuajiriwa uajiriwe na mzungu lakini umeajiriwa na mwafrika muhimdi mwarabu..loh!!! Wao raha yao wakuone unateseka...nyambaf kabisa!!!
SahihiHii ni dunia nzima, binadamu ni kiumbe mbinafsi tangu alipoikanyaga dunia kwa mara ya kwanza. Haya mambo ya chuki makazini yanatokea duniani kote!
Hiyo vita ipo kila mahali jitahidi ukae mbali nao na upige kimya, mm uliwahi nikuta hiyo tena huyo dada tulikuwa marafiki baadae alikuwa adui yangu ila niliamua kupiga kimya hadi Leo uwa anielewiFrom no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Kazini mkuu ukitaka uwe na amani yako tumia msemo wa "mind your own business". Chapa kazi yako vizuri time ya kwenda home ikifika chukua kilicho chako tembea! Ukiwa chawa utapata taabu sana!From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Mimi nilicho jihapizia siwezi kuzinguliwa na mwanamke kwenye nchi ambayo population kubwa ni wao.nyumbani napo unakuta mke kawaka hasira hapo ni bar hakuna kirudi home miezi yenyewe hii iliyobaki yote inaishia na bar tu!, September, October, November, December namimi ni member!..😂
si ndo wanasemaga hivyo au nimekosea to yuyu..??
jihapizia ni jiapizaMimi nilicho jihapizia siwezi kuzinguliwa na mwanamke kwenye nchi ambayo population kubwa ni wao.
NakaziaFanya kazi muda ukifika rudi home