Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

Yule uliye mzidi, ndiye anaye kuchukia. Na katika kumzidi, siyo lazima kwa vitu ambavyo wewe unaviona. Vingine umemzidi bila wewe mwenyewe kujua. Mpaka unashangaa, mbona huyu ana kila kitu!!!!?

Lakini pia kwa upande mwingine ukiwa na kiburi au tabia za kinyonge, utachukiwa.
Mkuu tabia za kinyonge ndio zipi hizo?
 
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?

"Penye riziki hapakosi fitina" - Wahenga
 
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Kama ni demu muombe mechi
 
Hii ni dunia nzima, binadamu ni kiumbe mbinafsi tangu alipoikanyaga dunia kwa mara ya kwanza. Haya mambo ya chuki makazini yanatokea duniani kote!
Waafrika tunaongoza kwachuki na ubinafsi.Kuna taasisi fulani watumishi wanafukuzana kazi kwasababu za chuki,majungu, na fitina zakijinga.Kuna ofisi zingine ukinunua ata kagari ka mkopo wanakuchukia.
 
Siyo kazini tu, hata kwingine uadui ni mkubwa
  • Ingia siasa - utaona
  • Kuwa mkulima mzuri - utaona
  • Biashara - utaiona
Kila eneo uadui upo (first impression mkuu)
Kama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.

Kuna mmoja nilifanya naye kazi anaitwa Lucas Haga, Dahh yule jamaa ana roho mbaya sana.
 
Waafrika tunaongoza kwachuki na ubinafsi.Kuna taasisi fulani watumishi wanafukuzana kazi kwasababu za chuki,majungu, na fitina zakijinga.Kuna ofisi zingine ukinunua ata kagari ka mkopo wanakuchukia.
Halmashauri huko ndio kuna majungu ya namna hiyo. Umeshawahi ishi na wahehe wewe? 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom