Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Kweli kbsaWaafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kbsaWaafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
Mkuu tabia za kinyonge ndio zipi hizo?Yule uliye mzidi, ndiye anaye kuchukia. Na katika kumzidi, siyo lazima kwa vitu ambavyo wewe unaviona. Vingine umemzidi bila wewe mwenyewe kujua. Mpaka unashangaa, mbona huyu ana kila kitu!!!!?
Lakini pia kwa upande mwingine ukiwa na kiburi au tabia za kinyonge, utachukiwa.
From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Ndivyo walivyo binadamu.Wakiona umekaa kimya wanatafuta njia nyingine wakunase baadhi ya binadamu hawana utu
Kama ni demu muombe mechiFrom no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Waafrika tunaongoza kwachuki na ubinafsi.Kuna taasisi fulani watumishi wanafukuzana kazi kwasababu za chuki,majungu, na fitina zakijinga.Kuna ofisi zingine ukinunua ata kagari ka mkopo wanakuchukia.Hii ni dunia nzima, binadamu ni kiumbe mbinafsi tangu alipoikanyaga dunia kwa mara ya kwanza. Haya mambo ya chuki makazini yanatokea duniani kote!
Kama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.Siyo kazini tu, hata kwingine uadui ni mkubwa
Kila eneo uadui upo (first impression mkuu)
- Ingia siasa - utaona
- Kuwa mkulima mzuri - utaona
- Biashara - utaiona
Halmashauri huko ndio kuna majungu ya namna hiyo. Umeshawahi ishi na wahehe wewe? 😀😀😀😀Waafrika tunaongoza kwachuki na ubinafsi.Kuna taasisi fulani watumishi wanafukuzana kazi kwasababu za chuki,majungu, na fitina zakijinga.Kuna ofisi zingine ukinunua ata kagari ka mkopo wanakuchukia.
Halmashauri huko ndio kuna majungu ya namna hiyo. Umeshawahi ishi na wahehe wewe? 😀😀😀😀Waafrika tunaongoza kwachuki na ubinafsi.Kuna taasisi fulani watumishi wanafukuzana kazi kwasababu za chuki,majungu, na fitina zakijinga.Kuna ofisi zingine ukinunua ata kagari ka mkopo wanakuchukia.
Mulemule😅🤣Jf watu ni wanafki kila mmoja anajifanya anashangaa kuhusu watu wenye chuki kazini kumbe watu wenyewe ndo waowao
Umenena mwana. Kimya kikizidi unaonekana boya. Sometimes ni kumchana mtu kiustaarabu tu. Akielewa poa asipoelewa poa tu.Kimya kisizidi sasa,utatongolewa jicho kwa kisu