Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
😂😂😂 Umeniwahi kwa commentJf watu ni wanafki kila mmoja anajifanya anashangaa kuhusu watu wenye chuki kazini kumbe watu wenyewe ndo waowao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Umeniwahi kwa commentJf watu ni wanafki kila mmoja anajifanya anashangaa kuhusu watu wenye chuki kazini kumbe watu wenyewe ndo waowao
Penye riziki hapakosi fitinaFrom no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.
Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Sijafanya utafiti huo na kupata majibu kwa unachosema. Lkn nafahamu kuwa kila penye rupia hapakosi chuki. Hakuna penye unafuu kwa kuwa roho mbaya ni dhambi na mwenye dhamana ya kuondosha chuki ni Yesu ama Mtume MSWKama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.
Kuna mmoja nilifanya naye kazi anaitwa Lucas Haga, Dahh yule jamaa ana roho mbaya sana.
🧢Boss: kuna project inakuja nataka uifanye wewe ili upige hela.
Assistant : Project hii tumpe AKAN na yeye apige hela
Boss : Hapana piga wewe mwache AKAN kule bench
Assistant : Hapana mkuu AKAN kapambana sana ni muda na yeye apige hii project
Boss : 😡😡😡.