Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

From no where mtu huna time nae ananza kukuletea visa visa vya hapa na pale kuna mda unaweza pata hasira hizi kazi za kuajiriwa ni upuuzi.

Yani ukijichaganya uka react tu unaweza timuliwa kazi. Swali langu wakuu kwanini hasa hawa Wanawake wanakua ni sosi ya mashindano kazini? Na nini kifanyike kuepukana na haya mambo?
Penye riziki hapakosi fitina
 
Kama nyie waha nduo mna Roho mbaya sana. Niliishi nanyi kakonko, Aiseeeee.

Kuna mmoja nilifanya naye kazi anaitwa Lucas Haga, Dahh yule jamaa ana roho mbaya sana.
Sijafanya utafiti huo na kupata majibu kwa unachosema. Lkn nafahamu kuwa kila penye rupia hapakosi chuki. Hakuna penye unafuu kwa kuwa roho mbaya ni dhambi na mwenye dhamana ya kuondosha chuki ni Yesu ama Mtume MSW
 
Boss: kuna project inakuja nataka uifanye wewe ili upige hela.
Assistant : Project hii tumpe AKAN na yeye apige hela
Boss : Hapana piga wewe mwache AKAN kule bench
Assistant : Hapana mkuu AKAN kapambana sana ni muda na yeye apige hii project
Boss : 😡😡😡.
 
Boss: kuna project inakuja nataka uifanye wewe ili upige hela.
Assistant : Project hii tumpe AKAN na yeye apige hela
Boss : Hapana piga wewe mwache AKAN kule bench
Assistant : Hapana mkuu AKAN kapambana sana ni muda na yeye apige hii project
Boss : 😡😡😡.
🧢
 
Back
Top Bottom