Boss sio mabavu ni uhalisia.
Ndiyo... katiba imetoa vipindi viwili vya miaka 5. Ccm wakavibatiza jina awamu. SSH akigombea 2025 anamalizia kipindi chake au awamu kama ccm wanavyoziita, katiba haimruhusu zaidi ya 2030.
Ila kama hii ni still awamu ya 5 kama unavyotaka na si awamu yake, basi inamaana ana vipindi vingine vya miaka 5 mara mbili vya awamu mpya.2025/30 - 2030/35. Hapa ataongoza kinyume na katiba inavyotaka miaka 10.
JPM lets say angefariki 2 years before uchaguzi basi hicho kipindi cha miaka 2 kisingekuwa awamu ya sita bali ya tano. Lakini 3 yrs na kuendelea ni awamu mpya.