Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Mwandiko wako tu unaonyesha ni kwa kiasi gani walimu wako walipata wakati mgumu sana kukutoa ujinga kichwani kwa sababu ubongo wako kwa kiasi kikubwa ulikuwa umechanganyikana na kamasi nyingi sana.
 
Boss sio mabavu ni uhalisia.

Ndiyo... katiba imetoa vipindi viwili vya miaka 5. Ccm wakavibatiza jina awamu. SSH akigombea 2025 anamalizia kipindi chake au awamu kama ccm wanavyoziita, katiba haimruhusu zaidi ya 2030.

Ila kama hii ni still awamu ya 5 kama unavyotaka na si awamu yake, basi inamaana ana vipindi vingine vya miaka 5 mara mbili vya awamu mpya.2025/30 - 2030/35. Hapa ataongoza kinyume na katiba inavyotaka miaka 10.

JPM lets say angefariki 2 years before uchaguzi basi hicho kipindi cha miaka 2 kisingekuwa awamu ya sita bali ya tano. Lakini 3 yrs na kuendelea ni awamu mpya.
Wenye akili tu ndiyo watakuelewa ulichoandika mkuu.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho), ila Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita.

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Du - elimu ya URaia sijui imekupita kando kweli ndugu!
 
Back
Top Bottom