Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Hivi ni yeye mwenyewe amejipangia? Kuwa ni awamu ya sita
 
Awamu ni mtu anayeongoza. Samia ni Rais wa sita na awamu ya sita. Awamu hutokana na idadi ya marais walioongoza. Mfano magufuli awamu zote za miaka yake kumi ingeitwa awamu ya Tano kwasababu yeye alikuwa Rais wa tano

Sent using Jamii Forums mobile app

Rais Mama Samia Suluhu Hassan alipigiwa Kura lini? Je, aliyepigiwa Kura Kikatiba ni Yeye ( kama Makamu ); au Hayati Boss wake Rais Dkt. Magufuli? Je, alipokuwa Makamu wa Rais alikuwa ni Makamu wa Awamu ipi kati ya Tano au ya Sita? Kuna Watu ni Wapumbavu hadi mnanichosha tu Kuwaelimisha ( Kuwaelimisheni ) hapa.
 
Ni wachache sana wenye uwezo wa kuelewa bandiko hili lililowasilishwa kwa akili nyingi.
Wakati mtoa mada akijiita akili nyingi, sisi tumekwishakumweka kwenye kundi la Kibajaji na Musukuma. Labda ni wa kwanza kati ya hao wajingajinga.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Sidhani kama kutambua hii ni awamu ya ngapi inahitaji kutumia rocket science. Awamu zote zilizopita zinatokana na Rais aliyepo madarakani. Rejea awamu ya kwanza, Julias Nyerere aliongoza JMT takribani 24 years lakini ilihesabika ni awamu ya kwanza. Kama awamu zingekuwa ni vipindi viwili yaani miaka 10 basi Nyerere angeongoza awamu 2.
Kwa mfano huo wa Nyerere itoshe tu kusema awamu zote zimetokana na Rais aliyepo madarakani. Kwa mantiki hiyo JPM awamu yake ilikuwa ya 5 na kwa sababu hatupo naye tena Rais aliyepo madarakani lazima ahesabike kuwa ni Rais wa awamu ya 6.
Uhuru wa kutoa mawazo ni ukomavu wa akili. Karibu!
 
Hivi ni yeye mwenyewe amejipangia? Kuwa ni awamu ya sita

Aache Kuwadanganyeni na Kujinasibu Kipuuzi tafadhali. Aache kusema ni Rais wa Awamu ya Sita ( kama anavyopenda kusema hivi mara kwa mara ) na kuanzia sasa awe anasema Yeye ni Rais wa Sita wa Awamu ya Tano iliyokuwa chini ya Hayati Rais Dkt. Magufuli ambapo Yeye alikuwa ni Makamu wake. Hili nitambishia mpaka Kristo atakapokuja tena Kutukomboa.
 
Sidhani kama kutambua hii ni awamu ya ngapi inahitaji kutumia rocket science. Awamu zote zilizopita zinatokana na Rais aliyepo madarakani. Rejea awamu ya kwanza, Julias Nyerere aliongoza JMT takribani 24 years lakini ilihesabika ni awamu ya kwanza. Kama awamu zingekuwa ni vipindi viwili yaani miaka 10 basi Nyerere angeongoza awamu 2.
Kwa mfano huo wa Nyerere itoshe tu kusema awamu zote zimetokana na Rais aliyepo madarakani. Kwa mantiki hiyo JPM awamu yake ilikuwa ya 5 na kwa sababu hatupo naye tena Rais aliyepo madarakani lazima ahesabike kuwa ni Rais wa awamu ya 6.
Uhuru wa kutoa mawazo ni ukomavu wa akili. Karibu!

Fool.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
By the way awamu ni kitu gani hasa mpaka kinakuchosha? Hata akisema awamu ya kumi wewe unapata tatizo gani kwani?
 
Aache Kuwadanganyeni na Kujinasibu Kipuuzi tafadhali. Aache kusema ni Rais wa Awamu ya Sita ( kama anavyopenda kusema hivi mara kwa mara ) na kuanzia sasa awe anasema Yeye ni Rais wa Sita wa Awamu ya Tano iliyokuwa chini ya Hayati Rais Dkt. Magufuli ambapo Yeye alikuwa ni Makamu wake. Hili nitambishia mpaka Kristo atakapokuja tena Kutukomboa.
Sawa ndugu
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Nonsense, kujua kwingi
 
Kawaida imekuwa kwamba huko CCM lazima Rais mmoja aongoze vipindi viwili, naona hapo ndipo tatizo linapoanzia, kama akitokea Rais akaongoza muhula mmoja then amuachie mwingine naamini hii story ya awamu itabadilika.

Samia angekuwa Rais wa awamu ya sita kama angeanzia mwanzo baada ya kufanyika uchaguzi mkuu agombee na ashinde, lakini kama amekuja kumalizia kazi iliyoanzishwa na mwenzake yeye akiwa makamu basi yeye bado ni Rais wa awamu ya tano anaemalizia awamu waliyoianza na mwendazake.
Rais wa awamu ya sita, iki kipindi chake cha kwanza,2025 anagombea cha pili
 
How comes mtu atumie ilani ile ile ya mwenzake halafu useme awamu ni tofauti? msilazimishe haya mambo.
Hata JPM angeweza kutumia ya JK. Ni vipaumbele katika kuendeleza alipoishia aliyekuachia.

JPM akiamka leo, kipindi chake kitakuwa kimepita sababu tumeshaapisha raisi mwingine, ataitwa mstaafu badala ya marehemu.

UKISHAAPA WEWE NI RAISI, MARAISI WOTE WA CCM WANAENDELEZA WALIPOISHIA WALIOPITA.
 
Back
Top Bottom