GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Una utani na kina poti siyo!
Yes,Kwani bado watu wanachimba dawa vichakani
Kwahiyo wewe ni muhaya wa wapi!Pigia mstari. Na ukipanda Gari na Waha wengi tegemeeni Safari yenu Kuchelewa Kufika kwa muda mlioupanga kwani kama kuna Abiria ambao huwa wanapenda sana Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya Kunya ) hovyo wawapo njiani basi ni wao Waha.
Kwani bado watu wanachimba dawa vichakani
Kwahiyo wewe ni muhaya wa wapi!
Aisee mimi nimezoea njia ya dar moro au dar moshi mnachimba dawa sehemu maalumu. Yan vichakan sikumbuki mara ya mwisho mwaka ganiYes,
Na mpaka kesho watachimba.
Ukikumbuka uje utujuze tufanye tathmini.Aisee mimi nimezoea njia ya dar moro au dar moshi mnachimba dawa sehemu maalumu. Yan vichakan sikumbuki mara ya mwisho mwaka gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pigia mstari. Na ukipanda Gari na Waha wengi tegemeeni Safari yenu Kuchelewa Kufika kwa muda mlioupanga kwani kama kuna Abiria ambao huwa wanapenda sana Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya Kunya ) hovyo wawapo njiani basi ni wao Waha.
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.
Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
Mkuu unawaza mambo mengi mpaka unakuja na nyuzi hizi?Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.
Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
Nishajua ujanja wako ni kupata view nzuriHuwa nachagua siti za kushoto dirishani na huwaga sishuki kuchimba dawa.
Hii ni fursa kwa wawekezaji kuwekeza kwenye high way. Kujenga Break points ziwe na petrol pumps, vyoo vya wanawake na wanaume, migahawa parking spaces ikiwezekana na bed and breakfast.
Uwekezaji huu utazalisha ajira nyingi sana
Ndio mkuu nipate kuGoogle vizuri🕵️♂️Nishajua ujanja wako ni kupata view nzuri
[emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa wewe! nishawahi kulazwa pale mwananyamala aisee, acha tuu, ukiumwa akili kama inapotea kidogo, wale manesi wanakuja wanashika dushelele, alafu wala halisimami! limelala tu! shuba---keengemiti!
kwa kuuliza huu ujinga huwezi kuwa ata na IQ sawa na graduate wa mapambo apo UDSMJe, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.
Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
kwa akili za ku tambua kijambo cha mtu hiyo ni alama kuwa wewe ni pumba na punga mixer mchele kabisaKuna Mdada Mmoja nakumbuka wakati Mimi nakojoa Vichakani na Yeye akikojoa jirani yangu kabisa nilimsikia Akijamba kabisa huku akiusubiria Mjambo wake wote huishe na tuliporudi tena ndani ya Basi kuna muda Yeye huyo huyo aljimba tena kwa Awamu ya Pili na cha Kushangaza akaanza Kuwashtukia Abiria wengine mule huku akiwasema ila nilipogeuka na Kugonganisha nae Macho akanyamaza kwani bahati nzuri harufu ya Mjambo wake nilikuwa nimeshaukariri tokea tulipokuwa kule chini tukichimba dawa na nilikuwa na uhakika kuwa ni Yeye na nikataka ' nimchane ' ila nikamstahi tu. Cha Kushangaza Mdada huyo huyo Siku moja nilimbahatisha akiwa Mmoja wa ' Panelists ' katika ' Interview ' moja hivi hapa hapa Dar es Salaam nikabaki Kucheka tu baada ya Kuvuta Kumbukumbu.