Kwanini tunapokuwa Safarini hasa kwenda Mikoani Abiria wa Kiume na wa Kike huwa hatuoneani Aibu tunapojisaidia Vichakani?

Kwanini tunapokuwa Safarini hasa kwenda Mikoani Abiria wa Kiume na wa Kike huwa hatuoneani Aibu tunapojisaidia Vichakani?

Una utani na kina poti siyo!

Pigia mstari. Na ukipanda Gari na Waha wengi tegemeeni Safari yenu Kuchelewa Kufika kwa muda mlioupanga kwani kama kuna Abiria ambao huwa wanapenda sana Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya Kunya ) hovyo wawapo njiani basi ni wao Waha.
 
Pigia mstari. Na ukipanda Gari na Waha wengi tegemeeni Safari yenu Kuchelewa Kufika kwa muda mlioupanga kwani kama kuna Abiria ambao huwa wanapenda sana Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya Kunya ) hovyo wawapo njiani basi ni wao Waha.
Kwahiyo wewe ni muhaya wa wapi!
 
Pigia mstari. Na ukipanda Gari na Waha wengi tegemeeni Safari yenu Kuchelewa Kufika kwa muda mlioupanga kwani kama kuna Abiria ambao huwa wanapenda sana Kujisaidia Haja Kubwa ( Kunya Kunya ) hovyo wawapo njiani basi ni wao Waha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kuwa hatujuani tumekutana tu.
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.

Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
 
Hii ni fursa kwa wawekezaji kuwekeza kwenye high ways. Kujenga Break points ziwe na petrol pumps, vyoo vya wanawake na wanaume, migahawa parking spaces ikiwezekana na bed and breakfast.

Uwekezaji huu utazalisha ajira nyingi sana
 
Kimsingi hakuna mbadala kwa hiyo unalazimika kujisaidia. Tofauti na hivyo utaaribu hali ya hewa ndani ya gari
 
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.

Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
Mkuu unawaza mambo mengi mpaka unakuja na nyuzi hizi?
 
Hii ni fursa kwa wawekezaji kuwekeza kwenye high way. Kujenga Break points ziwe na petrol pumps, vyoo vya wanawake na wanaume, migahawa parking spaces ikiwezekana na bed and breakfast.

Uwekezaji huu utazalisha ajira nyingi sana

Una Akili sana ( very Intelligent ) na najua unajua kabisa kuwa nakupenda japo naweza kuwa leo nimevaa Kanzu nyingine ( tofauti ) ila Mimi ni Shekhe ni yule yule tu uliyemzoea, lakini unaniudhi tu kwakua upo CHADEMA badala ya kuja huku Kwetu CCM. Bado sijachoka Kukushawishi na najua utahamia tu CCM muda si mrefu.
 
We jamaa wewe! nishawahi kulazwa pale mwananyamala aisee, acha tuu, ukiumwa akili kama inapotea kidogo, wale manesi wanakuja wanashika dushelele, alafu wala halisimami! limelala tu! shuba---keengemiti!
 
We jamaa wewe! nishawahi kulazwa pale mwananyamala aisee, acha tuu, ukiumwa akili kama inapotea kidogo, wale manesi wanakuja wanashika dushelele, alafu wala halisimami! limelala tu! shuba---keengemiti!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.

Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
kwa kuuliza huu ujinga huwezi kuwa ata na IQ sawa na graduate wa mapambo apo UDSM
 
Kuna Mdada Mmoja nakumbuka wakati Mimi nakojoa Vichakani na Yeye akikojoa jirani yangu kabisa nilimsikia Akijamba kabisa huku akiusubiria Mjambo wake wote huishe na tuliporudi tena ndani ya Basi kuna muda Yeye huyo huyo aljimba tena kwa Awamu ya Pili na cha Kushangaza akaanza Kuwashtukia Abiria wengine mule huku akiwasema ila nilipogeuka na Kugonganisha nae Macho akanyamaza kwani bahati nzuri harufu ya Mjambo wake nilikuwa nimeshaukariri tokea tulipokuwa kule chini tukichimba dawa na nilikuwa na uhakika kuwa ni Yeye na nikataka ' nimchane ' ila nikamstahi tu. Cha Kushangaza Mdada huyo huyo Siku moja nilimbahatisha akiwa Mmoja wa ' Panelists ' katika ' Interview ' moja hivi hapa hapa Dar es Salaam nikabaki Kucheka tu baada ya Kuvuta Kumbukumbu.
kwa akili za ku tambua kijambo cha mtu hiyo ni alama kuwa wewe ni pumba na punga mixer mchele kabisa
 
Back
Top Bottom