Kwanini tunashindwa kumuona adui aliye gizani?

Kwanini tunashindwa kumuona adui aliye gizani?

mnafanya kosa kubwa sana kuabudu watu badala ya kujenga taasisi, mwisho wa tundu lisu au mbowe haupaswi kuwa mwisho wa chadema kama chama, chama siyo mtu mmoja or haipaswi kuwa hivyo atleast, chadema inapaswa iwepo long after hata hao akina tundu lisu na mbowe wasipokuwepo.

kwa maoni yangu mnawekeza sana matumaini na mategemeo kwa binadamu ambao siajabu kiuhalisia hata hamuwajui vizuri matokeo yake ndiyo disappointments kila siku, mtegemeeni Mungu na siyo sijui tundu lisu au mbowe kwa maana wote ni binadamu wenye mapungufu …
Naomba uiangalie CCM kwa karibu zaidi; na baada ya kufanya hivyo, bila ya kujipindisha akili, uje tena hapa ueleze jinsi "mfumo" unao uabudu huko unavyo fanya kazi.
Hiyo "taasisi" inayo ishikiria CCM unaiona?
Sasa utueleze jinsi gani CHADEMA inavyo weza kuinyakuwa taasisi hiyo hiyo.
Mimi nitakwambia bila ya kupepesa macho, wala kutikisa masikio, kwamba taasisi pekee yenye maana ni ya umma wa waTanzania, basi. Hakuna taasisi nyingine zaidi ya hapo.

Nawasihi sana CHADEMA, watakapo maliza kukisafisha chama chao na kuondoa hizi takataka za akina Mbowe, kazi yao kubwa iwe ni kuijenga hii taasisi muhimu na kuipa imani juu yao. Wananchi ni muhimu wakiamini hiki chama kuleta mabadiliko katika maisha yao.
 
Naomba uiangalie CCM kwa karibu zaidi; na baada ya kufanya hivyo, bila ya kujipindisha akili, uje tena hapa ueleze jinsi "mfumo" unao uabudu huko unavyo fanya kazi.
Hiyo "taasisi" inayo ishikiria CCM unaiona?
Sasa utueleze jinsi gani CHADEMA inavyo weza kuinyakuwa taasisi hiyo hiyo.
Mimi nitakwambia bila ya kupepesa macho, wala kutikisa masikio, kwamba taasisi pekee yenye maana ni ya umma wa waTanzania, basi. Hakuna taasisi nyingine zaidi ya hapo.

Nawasihi sana CHADEMA, watakapo maliza kukisafisha chama chao na kuondoa hizi takataka za akina Mbowe, kazi yao kubwa iwe ni kuijenga hii taasisi muhimu na kuipa imani juu yao. Wananchi ni muhimu wakiamini hiki chama kuleta mabadiliko katika maisha yao.

swali langu kwako, vp kama tundu lisu akifa (Mungu epusha) kesho au muda wowote ule, then what? mwisho wa chadema kwamba ataenda na chadema? mmekuwa desperate mno na kuweka matumaini yenu kama yote kwa bindamu ambaye hajakamilika kama tulivyo wote hatujakamilika, wekeni matumaini kwa Mungu yeye ndiyo huleta viongozi bora na siyo binadamu, binadamu is corrupt …
 
swali langu kwako, vp kama tundu lisu akifa (Mungu epusha) kesho au muda wowote ule, then what? mwisho wa chadema kwamba ataenda na chadema? mmekuwa desperate mno na kuweka matumaini yenu kama yote kwa bindamu ambaye hajakamilika kama tulivyo wote hatujakamilika, wekeni matumaini kwa Mungu yeye ndiyo huleta viongozi bora na siyo binadamu, binadamu is corrupt …
Ukweli ni kuwa umeuliza swali zuri. hatutegemei Tundu Lissu asiwepo. Uwepo wake kwa sasa ndiyo chachu muhimu ya mabadiliko haya. Lakini hii haina maana kuwa mabadiliko yanaletwa na mtu mmoja.
Asipo kuwepo, haina maana ndio mwisho wa kutaka mabadiliko.

Huu ndio mwanzo sahihi wa matumaini,. Akiondolewa rubani, safari inaweza kuchelewa kidogo lakini safari haivunjiki kabisa.
Mimi sijui kwa nini huwa tunamkimbilia Mungu kila mara katika maswala ya aina hii! Hata hao wanao fanya maovu utasikia matumaini yao ni hayo hayo wanayaweka kwa Mungu!

Kuhusu CHADEMA. Ninacho elewa wazi bila ya wasiwasi wowote ule; CHADEMA itakayo kuwepo chini ya uongozi wa Mbowe, haitakuwa na tofauti yoyote na ilivyo CUF na vyama vingine vilivyopo sasa. Mbowe mwenyewe tayari hana tofauti yoyote na akina Lipumba, akina Cheyo na wengineo.
 
CHADEMA inachezewa na walewale wajulikanao wasiojulikana🤬🥵 . Na ili kuharibu mambo zaidi wameamua kuside na upande ambao wanaona sio radical
Na ni wazi huo upande umeamua kushiriki hii dhambi.

Bila kujua bomu wanalotengeneza wakiimaliza CHADEMA watageukiana na kugeukana
Kwasasa ni wamoja kwakuwa wanaisulubu CHADEMA.

Lakini kama wangejua wangeiacha CHADEMA kwa afya ya ustawi wa Tanganyika. Kwenye maisha kila kitu kina pande mbili zinazotoshana NGUVU.

Ukiona kitu kinachotakiwa kuwa na pande mbili lakini upande mmoja ukawa dhaifu .. Huo ni ulemavu na hilo ni tatizo! Na tatizo litakuja kudhihirika upande wenye nguvu utakapolemewa na kuzidiwa

TANGANYIKA Inatengenezewa ulemavu wenye hasara kubwa mbeleni😭
Mbowe wa jana siyo Mbowe wa leo. Sasa kaamua kuishi kama akina Zitto, Lipumba et al. Ameona kushindana na Dola kulimgharimu sana. Lissu ni mtu ambaye ana kiburi hataki ku uunga mkono juhudi.

Sasa atakula jeuri yake. Na mitanzania mingi haina akili. Hata sisi CCM tunajua CDM imara inasaidia kutuonesha madhaifu yetu kama kioo. Nchi hii ikiwa na akina Mbowe na Zitto tu Serikali italemaa. Tunataka mtu wa kusema "MFALME HAJAVAA NGUO" Siyo hawa ambao wanasema tu vazi la mfalme zuri ajabu ilhali anaonekana yu uchi.
 
Mimi sijui kwa nini huwa tunamkimbilia Mungu kila mara katika maswala ya aina hii! Hata hao wanao fanya maovu utasikia matumaini yao ni hayo hayo wanayaweka kwa Mungu!

Kuhusu CHADEMA. Ninacho elewa wazi bila ya wasiwasi wowote ule; CHADEMA itakayo kuwepo chini ya uongozi wa Mbowe, haitakuwa na tofauti yoyote na ilivyo CUF na vyama vingine vilivyopo sasa. Mbowe mwenyewe tayari hana tofauti yoyote na akina Lipumba, akina Cheyo na wengineo.

Yeremia 17:7 …
 
kibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao :pedroP:
....wale akina ROBERT AMSTERDAM.....


#Nchi Kwanza!
 
Mkuu kuwa na imani, Mbowe hawezi kuacha chama alichokipigania kwa miaka 20+ kife kizembe anajua anachokifanya....Aluta continua✊
 
swali langu kwako, vp kama tundu lisu akifa (Mungu epusha) kesho au muda wowote ule, then what? mwisho wa chadema kwamba ataenda na chadema? mmekuwa desperate mno na kuweka matumaini yenu kama yote kwa bindamu ambaye hajakamilika kama tulivyo wote hatujakamilika, wekeni matumaini kwa Mungu yeye ndiyo huleta viongozi bora na siyo binadamu, binadamu is corrupt …
Hizi habari za Mungu hazina faida sana kwenye hizi siasa. Usisahau Kuna watu hawaamini katika Mungu, ila wote tunaumizwa na wanasiasa ambao ndio wanaopanga mpaka Kodi tutakazolipa bila kujali kuamini au kutoamini Kwetu kwa Mungu.
 
Hizi habari za Mungu hazina faida sana kwenye hizi siasa. Usisahau Kuna watu hawaamini katika Mungu, ila wote tunaumizwa na wanasiasa ambao ndio wanaopanga mpaka Kodi tutakazolipa bila kujali kuamini au kutoamini Kwetu kwa Mungu.

inasaidia kupiga break na ku-reflect kidogo, watu wamepaniki wengine ni kama wamechangikiwa kisa tu mtu wao tundu lisu mambo hayaendi kama walivyotegemea, wameweka matumaini makubwa sana kwa binadamu ambaye ana limitations pia, kwangu mimi hata ni unfair kwa tundu lisu mwenyewe kumpa mzigo wote huo ningekuwa mimi ni yeye hata ningeogopa kutumainiwa na kutegemewa kiivyo …
 
Hizi habari za Mungu hazina faida sana kwenye hizi siasa. Usisahau Kuna watu hawaamini katika Mungu, ila wote tunaumizwa na wanasiasa ambao ndio wanaopanga mpaka Kodi tutakazolipa bila kujali kuamini au kutoamini Kwetu kwa Mungu.
wote tunaumizwa na wanasiasa ambao ndio wanaopanga mpaka Kodi tutakazolipa bila kujali kuamini au kutoamini Kwetu kwa Mungu.📌🔨💪🏿
 
kibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao :pedroP:
Mnafiki kwenye haya mambo ya sasa ya cdm unazidi kukaa wazi.
 
Mnafiki kwenye haya mambo ya sasa ya cdm unazidi kukaa wazi.
sasa watu wenyewe wenye negative mindset kama huyu Tindo, kuna kitu anaweza kuona kweli? si ataona giza tu maana yeye muda wote kafura tu 🤣
 
swali langu kwako, vp kama tundu lisu akifa (Mungu epusha) kesho au muda wowote ule, then what? mwisho wa chadema kwamba ataenda na chadema? mmekuwa desperate mno na kuweka matumaini yenu kama yote kwa bindamu ambaye hajakamilika kama tulivyo wote hatujakamilika, wekeni matumaini kwa Mungu yeye ndiyo huleta viongozi bora na siyo binadamu, binadamu is corrupt …
Ccm itoke nje ya madaraka ndio uje na hIzi story boss.
 
sasa watu wenyewe wenye negative mindset kama huyu Tindo, kuna kitu anaweza kuona kweli? si ataona giza tu maana yeye muda wote kafura tu 🤣
Nasema hivi, maandiko yako ya bendera fuata upepo yamekuumbua. Ama ulidhani mitamdao inasahau?
 
Nasema hivi, maandiko yako ya bendera fuata upepo yamekuumbua. Ama ulidhani mitamdao inasahau?
wewe unaona giza tu gentleman sidhani hata kama unajua una kumbukumbu au umesahau 🤣
 
Naomba uiangalie CCM kwa karibu zaidi; na baada ya kufanya hivyo, bila ya kujipindisha akili, uje tena hapa ueleze jinsi "mfumo" unao uabudu huko unavyo fanya kazi.
Hiyo "taasisi" inayo ishikiria CCM unaiona?
Sasa utueleze jinsi gani CHADEMA inavyo weza kuinyakuwa taasisi hiyo hiyo.
Mimi nitakwambia bila ya kupepesa macho, wala kutikisa masikio, kwamba taasisi pekee yenye maana ni ya umma wa waTanzania, basi. Hakuna taasisi nyingine zaidi ya hapo.

Nawasihi sana CHADEMA, watakapo maliza kukisafisha chama chao na kuondoa hizi takataka za akina Mbowe, kazi yao kubwa iwe ni kuijenga hii taasisi muhimu na kuipa imani juu yao. Wananchi ni muhimu wakiamini hiki chama kuleta mabadiliko katika maisha yao.
Wametuthibitishia kwamba wanahitaji dodoki ama fagio la chuma, kumbe kauli zao hazilingani na nafsi zao, baada ya kujisafisha, waje kwetu watueleze, wamejipangaje, (what is the way forward)

Huwezi kuhuburi demokrasia wakati huohuo huna uongozi wa kidemokrasia

You are crying for democracy, but you do not Practice it in your daily life, (with your political Party)

Hitimisho Chadema ni chama kikubwa watengenezo muundo wa kuwalipa watendaji wa Kwenye chama nchi nzima badala ya kujitolea muda wote, kumbe viongozi wa ngazi za juu wanalipwa mishahara
 
Back
Top Bottom