Kwanini tunashindwa kumuona adui aliye gizani?

Kwanini tunashindwa kumuona adui aliye gizani?

kibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao :pedroP:
Chawa mmekosa hoja mmeanza uchawi wa kisiasa
 
CHADEMA inachezewa na walewale wajulikanao wasiojulikana🤬🥵 . Na ili kuharibu mambo zaidi wameamua kuside na upande ambao wanaona sio radical
Na ni wazi huo upande umeamua kushiriki hii dhambi.

Bila kujua bomu wanalotengeneza wakiimaliza CHADEMA watageukiana na kugeukana
Kwasasa ni wamoja kwakuwa wanaisulubu CHADEMA.

Lakini kama wangejua wangeiacha CHADEMA kwa afya ya ustawi wa Tanganyika. Kwenye maisha kila kitu kina pande mbili zinazotoshana NGUVU.

Ukiona kitu kinachotakiwa kuwa na pande mbili lakini upande mmoja ukawa dhaifu .. Huo ni ulemavu na hilo ni tatizo! Na tatizo litakuja kudhihirika upande wenye nguvu utakapolemewa na kuzidiwa

TANGANYIKA Inatengenezewa ulemavu wenye hasara kubwa mbeleni😭
Mna nafasi ya kuamua mnaloona linafaa kwa mustakabali wa Chama chenu. Tunachofanya sisi CCM, ni kukoleza moto ili mnyooshane.
 
kibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao :pedroP:
Abdul Mama yako kutwa kwa Waarabu Sio kibaraka ?
 
Tatizo CHADEMA kila mtu ni msemaji. Mngekuwa mnafanya shughuli zenu kama taasisi msingefika huku mlikofika. Haiwezekani kada wa kawaida kama Yericko anajitokeza hadharani na kumtukana makamu mwenyekiti taifa na hafanywi kitu. Kina Ntobi, Mdude, MMM na makada wengine mtandaoni ni vinara wa matusi kwa yeyote yule atakayekuwa tofauti nao au upande wanaousapoti. CCM huwa inapitia misukosuko mikubwa ila huwa inavuka kwa sababu inaendeshwa kitaasisi tofauti na CHADEMA yenye hadi Nabii feki Lema.
 
mnafanya kosa kubwa sana kuabudu watu badala ya kujenga taasisi, mwisho wa tundu lisu au mbowe haupaswi kuwa mwisho wa chadema kama chama, chama siyo mtu mmoja or haipaswi kuwa hivyo atleast, chadema inapaswa iwepo long after hata hao akina tundu lisu na mbowe wasipokuwepo.

kwa maoni yangu mnawekeza sana matumaini na mategemeo kwa binadamu ambao siajabu kiuhalisia hata hamuwajui vizuri matokeo yake ndiyo disappointments kila siku, mtegemeeni Mungu na siyo sijui tundu lisu au mbowe kwa maana wote ni binadamu wenye mapungufu …
Well said!
 
Mshana Jr wewe timu gani? Mi naona bora mbowe pamoja na uzero wake ila ana hekima kidogo pamoja na ujinga wake wa kusema eti Dkt Magufuli alikuwa muuaji hahaha hivi mzee kibao kafa kipindi cha Dkt Magufuli? Yaani hilo li NGO la kijinga sana tena la kijinga sana limejaa wajinga wajinga wasiotambua maana ya utawala bora
Mimi ni mpinzani tangu 1984.. Ama ukipenda niite CCM mfu.. Mimi kwangu CHADEMA ni kila kitu na sina mbadala
Samaki hawezi kuzuia maji ya mto yasitembee
Sio maji yote samaki anaishi
 
Mna nafasi ya kuamua mnaloona linafaa kwa mustakabali wa Chama chenu. Tunachofanya sisi CCM, ni kukoleza moto ili mnyooshane.
Kolezeni sana moto ila msisahau kisa cha mchimba kaburi
 
Tatizo CHADEMA kila mtu ni msemaji. Mngekuwa mnafanya shughuli zenu kama taasisi msingefika huku mlikofika. Haiwezekani kada wa kawaida kama Yericko anajitokeza hadharani na kumtukana makamu mwenyekiti taifa na hafanywi kitu. Kina Ntobi, Mdude, MMM na makada wengine mtandaoni ni vinara wa matusi kwa yeyote yule atakayekuwa tofauti nao au upande wanaousapoti. CCM huwa inapitia misukosuko mikubwa ila huwa inavuka kwa sababu inaendeshwa kitaasisi tofauti na CHADEMA yenye hadi Nabii feki Lema.
Kwahiyo na nyie mmeingia kwenye mkumbo wa wasemaji? Maana sasa 24/7 hamkauki CHADEMA
 
mnafanya kosa kubwa sana kuabudu watu badala ya kujenga taasisi, mwisho wa tundu lisu au mbowe haupaswi kuwa mwisho wa chadema kama chama, chama siyo mtu mmoja or haipaswi kuwa hivyo atleast, chadema inapaswa iwepo long after hata hao akina tundu lisu na mbowe wasipokuwepo.

kwa maoni yangu mnawekeza sana matumaini na mategemeo kwa binadamu ambao siajabu kiuhalisia hata hamuwajui vizuri matokeo yake ndiyo disappointments kila siku, mtegemeeni Mungu na siyo sijui tundu lisu au mbowe kwa maana wote ni binadamu wenye mapungufu …
umeongea vyema sana MKUU 🙏🙏
 
Back
Top Bottom