Chawa mmekosa hoja mmeanza uchawi wa kisiasakibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao
Ila useme pia kuwa samaki anaweza kuzuiwa asitembee mtoni.Samaki hawezi kuzuia maji ya mto yasitembee
Mna nafasi ya kuamua mnaloona linafaa kwa mustakabali wa Chama chenu. Tunachofanya sisi CCM, ni kukoleza moto ili mnyooshane.CHADEMA inachezewa na walewale wajulikanao wasiojulikanaπ€¬π₯΅ . Na ili kuharibu mambo zaidi wameamua kuside na upande ambao wanaona sio radical
Na ni wazi huo upande umeamua kushiriki hii dhambi.
Bila kujua bomu wanalotengeneza wakiimaliza CHADEMA watageukiana na kugeukana
Kwasasa ni wamoja kwakuwa wanaisulubu CHADEMA.
Lakini kama wangejua wangeiacha CHADEMA kwa afya ya ustawi wa Tanganyika. Kwenye maisha kila kitu kina pande mbili zinazotoshana NGUVU.
Ukiona kitu kinachotakiwa kuwa na pande mbili lakini upande mmoja ukawa dhaifu .. Huo ni ulemavu na hilo ni tatizo! Na tatizo litakuja kudhihirika upande wenye nguvu utakapolemewa na kuzidiwa
TANGANYIKA Inatengenezewa ulemavu wenye hasara kubwa mbeleniπ
Abdul Mama yako kutwa kwa Waarabu Sio kibaraka ?kibaraka wa mabwenyenye wa magaharibi ndie hasa aliewapumbaza na kuwagawanya chadema mpaka hivi walivyo. Hawajui mambo ya leo, hawajui mambo ya kesho na wala hawajui wadai nini na wanaelekea wapi, ni giza totoro mbele yao
gentleman,Abdul Mama yako kutwa kwa Waarabu Sio kibaraka ?
Kibaraka amweletea kiza kinene gentleman, right?πChawa mmekosa hoja mmeanza uchawi wa kisiasa
Well said!mnafanya kosa kubwa sana kuabudu watu badala ya kujenga taasisi, mwisho wa tundu lisu au mbowe haupaswi kuwa mwisho wa chadema kama chama, chama siyo mtu mmoja or haipaswi kuwa hivyo atleast, chadema inapaswa iwepo long after hata hao akina tundu lisu na mbowe wasipokuwepo.
kwa maoni yangu mnawekeza sana matumaini na mategemeo kwa binadamu ambao siajabu kiuhalisia hata hamuwajui vizuri matokeo yake ndiyo disappointments kila siku, mtegemeeni Mungu na siyo sijui tundu lisu au mbowe kwa maana wote ni binadamu wenye mapungufu β¦
Huwezi kuona mwanga bila Giza kuwepo yaan Hakuna kutu Kama Hakuna Chuma.gentleman,
mpaka uache shisha na ugoro ndipo unaweza kuona mwanga, vinginevyo utaona giza sana tu π
utababaika na theory mpaka akili ikukae sana ndipo uone mwanga gentleman πHuwezi kuona mwanga bila Giza kuwepo yaan Hakuna kutu Kama Hakuna Chuma.
Tumia akili.
ila ulighoandika wewe Sio theory.utababaika na theory mpaka akili ikukae sana ndipo uone mwanga gentleman π
Mimi ni mpinzani tangu 1984.. Ama ukipenda niite CCM mfu.. Mimi kwangu CHADEMA ni kila kitu na sina mbadalaMshana Jr wewe timu gani? Mi naona bora mbowe pamoja na uzero wake ila ana hekima kidogo pamoja na ujinga wake wa kusema eti Dkt Magufuli alikuwa muuaji hahaha hivi mzee kibao kafa kipindi cha Dkt Magufuli? Yaani hilo li NGO la kijinga sana tena la kijinga sana limejaa wajinga wajinga wasiotambua maana ya utawala bora
Sio maji yote samaki anaishiSamaki hawezi kuzuia maji ya mto yasitembee
Kwahiyo na nyie mmeingia kwenye mkumbo wa wasemaji? Maana sasa 24/7 hamkauki CHADEMATatizo CHADEMA kila mtu ni msemaji. Mngekuwa mnafanya shughuli zenu kama taasisi msingefika huku mlikofika. Haiwezekani kada wa kawaida kama Yericko anajitokeza hadharani na kumtukana makamu mwenyekiti taifa na hafanywi kitu. Kina Ntobi, Mdude, MMM na makada wengine mtandaoni ni vinara wa matusi kwa yeyote yule atakayekuwa tofauti nao au upande wanaousapoti. CCM huwa inapitia misukosuko mikubwa ila huwa inavuka kwa sababu inaendeshwa kitaasisi tofauti na CHADEMA yenye hadi Nabii feki Lema.
umeongea vyema sana MKUU ππmnafanya kosa kubwa sana kuabudu watu badala ya kujenga taasisi, mwisho wa tundu lisu au mbowe haupaswi kuwa mwisho wa chadema kama chama, chama siyo mtu mmoja or haipaswi kuwa hivyo atleast, chadema inapaswa iwepo long after hata hao akina tundu lisu na mbowe wasipokuwepo.
kwa maoni yangu mnawekeza sana matumaini na mategemeo kwa binadamu ambao siajabu kiuhalisia hata hamuwajui vizuri matokeo yake ndiyo disappointments kila siku, mtegemeeni Mungu na siyo sijui tundu lisu au mbowe kwa maana wote ni binadamu wenye mapungufu β¦
Wewe mzee umeelewa nilichoandika ila mkaidi. Chama chenu hakiwezi baki salama msipojirekebisha.Kwahiyo na nyie mmeingia kwenye mkumbo wa wasemaji? Maana sasa 24/7 hamkauki CHADEMA