2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
wana JF ningeomba hapa mnijuze wale mnaoelewa hilijambo kwa undani zaidi manake najiuliza sijui ni utumwa ama nini?, manake siielewi hii, kukuta saa inaandikwa nane(8) lakini inasomwa mbili(2), ama inaandikwa kumi(10) lakini inasomwa nne(4). huu utaratibu wa kusoma saa ndivyo sivyo ulitokana na nini?.
pia je na wazungu (waingereza) ama hata wamarekani huko makwao wanasoma hivyohivyo mishale ya saa?. ama wanafuata mtindo huo wa namba.ningeombwa wenye kuelewa chanzo mtujuze.

pia je na wazungu (waingereza) ama hata wamarekani huko makwao wanasoma hivyohivyo mishale ya saa?. ama wanafuata mtindo huo wa namba.ningeombwa wenye kuelewa chanzo mtujuze.
