kimpe
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 911
- 862
misikiti yote saa husomwa kama ilivyo saa mbili mshale unakuwa kwenye mbili nilikuta jamaa anatoa hoja na kusema kuwa waafrika hatuwaz wala kuwa na maamuz saa 1 itakuwaje 7 nasi tukakubali hayo mapokeo au saa moja ya usiku iwe 19 kwa masaa 24 sasa toka utoton unaonekana mjanja ukijua soma saa kwa style ila ingekuwa amri yangu ningekata rufaa