Kwanini tunatafsiri mshale wa saa kinyume na inavyoandikwa - hii inatokana na nini?

Kwanini tunatafsiri mshale wa saa kinyume na inavyoandikwa - hii inatokana na nini?

mimi mtu yeyote atakuwa sahihi pale ambapo saa itakuwa imeandikwa saa (8) yeye akasema ni saa (2). Kwa nini nasema hivyo?
Hii inatokana na sababu kuwa ni saa (8) tokea siku mpya ikiwa imeanza yaani baada ya saa (6) mchana au usiku.
Na atakaye sema saa (2) yuko sawa kwa sababu ni saa (2) baada ya jua kuchomoza au kuzama.
Kwa maana hiyo basi unakuta saa inasema saa (8) asubuhi. Sisi tunatafsiri kuwa ni saa (2) asubuhi, tukiwa na maana kuwa ni masaa (2) tokea jua lichomoze.
Vivyo hivyo ukikuta kwenye saa imeandikwa saa (8) usiku. Mtu akikuambia ni saa (2) usiku yupo sawa kwa sababu anamaanisha ni masaa (2) tokea jua lizame.
Naamini nimeeleweka.
ha ha ha haha, nimeipenda hii. nimekuelewa mkuu. duh!!:smile-big:
 
Mwenye thina uhakika but kuuliza si ujinga!
Hizo hesabu ulizoziweka mbona ukiikusudia nö yoyote inakuja hivyo hivyo?
mfano, nö 4
5-1=4
6-2=4
7-3=4
8-4=4 na kuendelea....
...
Au mimi thijaelewa!
Embu alieelewa hasabu za jamaa na mahusiano yake ktk mpangilio wa usomwaji saa.

Umekosea labda mwenye picha ya saa ya ukutani aiweke hapa na mishale yake ilivo. Ila unatoa namba zilizo opposite na si namba yoyote. Mfano wametoa nane toa mbili coz ziko opposite na nane inasomwa kama saa mbili, vivo hivo tatu unasomwa kama tisa na ukitoa tisa toa tatu ndo unapata 6, fanya hivo hata kwa 6 na 12 tofauti yake ni sita na sita inasomeka kama 12 pia ziko opposite side sijui umenielewa hivo huwezi toa tano kwa moja hazishabihiani...
 
Umekosea labda mwenye picha ya saa ya ukutani aiweke hapa na mishale yake ilivo. Ila unatoa namba zilizo opposite na si namba yoyote. Mfano wametoa nane toa mbili coz ziko opposite na nane inasomwa kama saa mbili, vivo hivo tatu unasomwa kama tisa na ukitoa tisa toa tatu ndo unapata 6, fanya hivo hata kwa 6 na 12 tofauti yake ni sita na sita inasomeka kama 12 pia ziko opposite side sijui umenielewa hivo huwezi toa tano kwa moja hazishabihiani...

Nimekuelewa!
Thanks!
 
hata na mm nashangaa kwamba n mwanafunz gan aliekaa darasan akafundishwa 1 ni 7? au 3 n tisa?
 
Back
Top Bottom