Masaa unayoyahesabu wewe ni ya kiarabu vile wao huanza siku saa 12 asubuhi. Watu wa magharibi siku huanza baada ya saa 6 usiku na ndio utaratibu duniani kote. Pia kiarabu wiki huanzia jumamosi wakati wamagharibi siku huanza jumatatu.
Mwenye thina uhakika but kuuliza si ujinga!
Hizo hesabu ulizoziweka mbona ukiikusudia nö yoyote inakuja hivyo hivyo?
mfano, nö 4
5-1=4
6-2=4
7-3=4
8-4=4 na kuendelea....
...
Au mimi thijaelewa!
Embu alieelewa hasabu za jamaa na mahusiano yake ktk mpangilio wa usomwaji saa.
Wahabeshi pia wanahesabu saa kwa mtindo wa tanzania.Masaa unayoyahesabu wewe ni ya kiarabu vile wao huanza siku saa 12 asubuhi. Watu wa magharibi siku huanza baada ya saa 6 usiku na ndio utaratibu duniani kote. Pia kiarabu wiki huanzia jumamosi wakati wamagharibi siku huanza jumatatu.
Hivi ulitegemea kuwe na difference that is not common??!!! Seriosly??!!! Hayo yangekuwa maajabu kwenye hesabu. Hizo saa zi zinafuatana katika hii mifumo miwili ya kuhesabu masaa??? After all sio common difference ni absolute common difference.Hata mimi nilisikia hivyo.
Yani ukichukua zile namba ukitoa namba za saa halisi unapata common difference ambayo ni 6
Anamaanisha mshale ukiwa kwenye hiyo namba haisomeki hiyo namba bali inasomeka namba nyingine na tofauti ya hizo namba ni 6.
akatoa mfano
8-2=6
11-5=6
nadhani umeelewa sasa hapo mshale ukiwa kwenye 8 ni saa2
[Nadhani ni kuhusu ile namba 666. even Vatican headquarters knows this Issue...try asking them Brother.]
Masaa unayoyahesabu wewe ni ya kiarabu vile wao huanza siku saa 12 asubuhi. Watu wa magharibi siku huanza baada ya saa 6 usiku na ndio utaratibu duniani kote. Pia kiarabu wiki huanzia jumamosi wakati wamagharibi siku huanza jumatatu.
si kwel wa arabu siku huanza magharibi yaan jion kwa kuwa wao hawafuti jua kama wamagharib kwa waarabu wao wanafuata mwez kwa hyo mwanzo wa siku kwao ni magharib
What about 24 hour time? I mean 13 ni saa 7,20 saa mbili usiku etc?Sina uhakika but kuchangia sio ujinga either, i heard that somehow inahusiana na freemason kuhusu no 6
mfano 7-1=6
8-2=6
9-3=6
10-4=6 na kuendelea
Mwenye thina uhakika but kuuliza si ujinga!
Hizo hesabu ulizoziweka mbona ukiikusudia nö yoyote inakuja hivyo hivyo?
mfano, nö 4
5-1=4
6-2=4
7-3=4
8-4=4 na kuendelea....
...
Au mimi thijaelewa!
Embu alieelewa hasabu za jamaa na mahusiano yake ktk mpangilio wa usomwaji saa.
I have a question, kama hapa Tz(ingawa haifuatwi na wengi) siku huisha saa moja jioni(jua linapozama) na siku huanza saa moja asubuhi(jua linapochomoza), huu muda kati ya saa moja ya jioni na saa moja asubuhi inakuwa ni siku gani hasa? Na tarehe yake ni ya siku iliyoisha au inayofuata?
Aisee swali lako sidhani kama litapata jibu, nadhani muda wa usiku itakuwa ni aftaimu.
Masaa unayoyahesabu wewe ni ya kiarabu vile wao huanza siku saa 12 asubuhi. Watu wa magharibi siku huanza baada ya saa 6 usiku na ndio utaratibu duniani kote. Pia kiarabu wiki huanzia jumamosi wakati wamagharibi siku huanza jumatatu.