Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 553
Salaam Wakuu!
Uwa najiuliza, ni sababu ipi ya msingi inayofanya Wabongo kulazimisha majina yao ya Kibongo kubeba 'double consonant' kama ilivyo ktk majina ya Kizungu?
Kadri ninavyo fahamu majina mengi ya Kibongo hayana utamaduni wa kubeba 'double consonant'.
Mfano, majina kama vile:
Massawe, Muttalemwa, Mkullo, Mawalla, Lissu, Mrosso, Mollel, Marealle, Chotta, Makalla, Mgassa, Ngassa, Chollo, Ndullu, Kassanga, Mwigga, Rutta etc.
Ukichunguza utagundua kuwa ni herufi tatu hivi zinazotumika mara kwa mara (S, T & L) na mara chache herufi 'G'.
Nini hasa sababu za msingi zinazopelekea kufanya hivi? Tuelimishane tafadhali.
Uwa najiuliza, ni sababu ipi ya msingi inayofanya Wabongo kulazimisha majina yao ya Kibongo kubeba 'double consonant' kama ilivyo ktk majina ya Kizungu?
Kadri ninavyo fahamu majina mengi ya Kibongo hayana utamaduni wa kubeba 'double consonant'.
Mfano, majina kama vile:
Massawe, Muttalemwa, Mkullo, Mawalla, Lissu, Mrosso, Mollel, Marealle, Chotta, Makalla, Mgassa, Ngassa, Chollo, Ndullu, Kassanga, Mwigga, Rutta etc.
Ukichunguza utagundua kuwa ni herufi tatu hivi zinazotumika mara kwa mara (S, T & L) na mara chache herufi 'G'.
Nini hasa sababu za msingi zinazopelekea kufanya hivi? Tuelimishane tafadhali.