Kwanini Tundu Lissu huondoka nchini bila kuaga?

Kwanini Tundu Lissu huondoka nchini bila kuaga?

Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Akuage we ni nani yake?
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Huyu hapa TAL humdai lolote na hata nauli hujachanga! Humulizi yule akijisikia anakimbilia arabuni akitumia kodi yako!?
Halafu nani anajua wewe ni mmoja wa wale wauaji ambao mumewaficha waliomshambulia! ? Mnataka kumalizia kazi siyo!!??
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Akuage wewe mke wake?.
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Kiongozi tuanzie hapo
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Wewe ni mke wake hakukuaga?
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Anakwepa risasi zenu!
Screenshot_2023-09-16-04-57-05-810-edit_com.instagram.android.jpg
 
..wasiompenda Lissu hawatakosa jambo baya la kumsingizia.

..kama amekwenda nje ya nchi kwa masuala binafsi hakuna haja ya kuutaarifu umma.

..kama amekwenda nje kwa kazi za chama basi wanachama wanayo haki ya kutaarifiwa.
 
Uvccm mnawayawaya
Wewe akili zako ni za kitoto kwelikwqeli. Siku zote nakukumbusha humu, lakini huna uwezo wa kukumbuka chochote.

Unaidhalilisha sana CHADEMA kwa mtu kama wewe kutaka wadhifa wowote ndani ya chama hicho. Watu wa aina yako ndio wanaofanya CHADEMA isikubalike kwa baadhi ya waTanzania.
 
..wasiompenda Lissu hawatakosa jambo baya la kumsingizia.

..kama amekwenda nje ya nchi kwa masuala binafsi hakuna haja ya kuutaarifu umma.

..kama amekwenda nje kwa kazi za chama basi wanachama wanayo haki ya kutaarifiwa.
'Perception' ni kila kitu; hasa kwa jamii tuliyonayo Tanzania.

This is a critical moment for CHADEMA, a make or break moment katika historia ya nchi hii.
Inaelekea CHADEMA wenyewe hawalitambui hili bado.
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Keshazuga wenzake sasa anakwenda kuboost
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Hoja yako haina mashiko. Na hata sababu ulizozitoa, zote ni pumba tu.
 
We malaya ustaarabu ni kitu cha bure ungeamua kukaa kimya usingepoteza kitu

Nimeamua kuhoji jambo hili sababu mara kwa mara TL amekuwa akipewa tuhuma kuwa yeye ni kibaraka wa mabeberu lakini amekuwa hajibu na safari ya sasa ameondoka watu wanasema kapeleka ripoti kwa mabwana zake yeye haoni kama anachafuliwa?

Ni vizuri awe anaaga anavyoondoka watu wanamuona kama sio mzalendo anaekimbia mambo yanapoharibika

Na hili litaenda hadi uchaguzi mkuu atamalizwa kwa kete hiyo yeye ni kibaraka wa mabeberu hapaswi kupewa nchi
Hilo la ukibaraka halijaanza leo mlianza kumtuhumu enzi za jiwe lakini hamkufanikiwa mpaka mkachapa risasi napo mkafeli MUNGU wa mbinguni akakataa, ikaja uchaguzi 2020 akawapleka mpelampela mpaka mkamfungia kupiga kampeni huku mgombea wenu akiwa gereji, bado haitoshi kwa ile konga aliyokuwa anasepa nayo tena bila support ya vyombo vya habari sasa keteni yenu ya mwisho ikawa ni kuiba process ya uchaguzi. Kwa ufupi hicho ni kitasa kilichokubaliwa na MUNGU hakuna mwanadamu wa kukizuia.
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Kipo kitu kimejificha kwake

Ila hapa subiri kutukanwa na kuandamwa maana ni ukweli mchungu
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Wewe ni nani yake unataka kuagwa? Tatizo la vijana nchi hii hamna hoja za kujadili. Mnapenda uchawachawa ili muonekane. Hiyo strategy ilitumika kipindi cha JPM na baadhi walipata teuzi, ni tofauti kwa huyu mama. Njooni na hoja za msingi mtaonekana kuliko umbea, udaku na sifiasifia
 
Back
Top Bottom