We malaya ustaarabu ni kitu cha bure ungeamua kukaa kimya usingepoteza kitu
Nimeamua kuhoji jambo hili sababu mara kwa mara TL amekuwa akipewa tuhuma kuwa yeye ni kibaraka wa mabeberu lakini amekuwa hajibu na safari ya sasa ameondoka watu wanasema kapeleka ripoti kwa mabwana zake yeye haoni kama anachafuliwa?
Ni vizuri awe anaaga anavyoondoka watu wanamuona kama sio mzalendo anaekimbia mambo yanapoharibika
Na hili litaenda hadi uchaguzi mkuu atamalizwa kwa kete hiyo yeye ni kibaraka wa mabeberu hapaswi kupewa nchi