Kwanini Tundu Lissu huondoka nchini bila kuaga?

Siku akikuoa umuulize kwanini hajuagi.
 
amekua kimya mno kiongozi huyu wa kisiasa,
mahiri wa kuibua na kujenga hoja nzito na nyepesi, dhidi ya serikali na jamii kwa ujumla kwenye medani za siasa za kitaifa. Kitambo kidogo hajasikika.
Kulikoni, yuko wap.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…