Ndege zinafaida mtambuka ambazo CAG hazikagui. Tujenge kwa fedha zetu khalafu waliobuni huo mradi wale vipi.
Ni wazo zuri inaweza kujengwa hatua kwa hatua. Hatua ya kwanza unajenga mpaka ianze kuoparate kwa uhitaji wa sasa. Hatua nyengine zitaendelezwa kwa faida itokanayo na hatua ya kwanza na mahitaji yakiongezeka.
..faida mtambuka za atcl ni zipi?
..Je, mashirika binafsi ya ndege hayawezi kutupatia faida mtambuka zinazoletwa na atcl.