kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
Nimejaribu kucheck orodha sijaona hata msanii mmoja kutoka nyumban na EA kwa ujumla, hii maana yake nini? Mziki wetu umeshuka? Au wasanii wetu washalizika? Au tuseme ushindani umezidi...
Majina ya wanaowania tuzo kwa wasanii kutoka Afrika;
Burna boy (Nigeria), Innos B (Congo), Sho madjiz (Afrika kusini), S.PRI Noir (Ufaransa), Ninho (Ufaransa),Dave (Uingereza) na stormzy (Uingereza)
Majina ya wanaowania tuzo kwa wasanii kutoka Afrika;
Burna boy (Nigeria), Innos B (Congo), Sho madjiz (Afrika kusini), S.PRI Noir (Ufaransa), Ninho (Ufaransa),Dave (Uingereza) na stormzy (Uingereza)