🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona naskia alikiba Ameshachaguliwa na yumo kwenye vipengele kama 2 na wakina burna boy sema tu hajataka tu kutangaza yani show off hapendi yeye vitu vyake sio vya watanzania ni vya familia yake anaitafutia😁👍
Jon cena nyimbo ilifanya poa sana, na hizi tuzo ni based on 1 yearSho madjozi kwa mziki upi mpaka aingie hapo?
Kwani anaejua kuimba Yuko wapi?Hasara ya copy and paste huku hujui kuimba live cheiiii
Povu ruksa
Kwani anaejua kuimba Yuko wapi?
Acha wewe sisi ndo wataalamuInno umehamia kigoma ee?
Numbisa Nimeshangaa kwanini Hawa bet wamekuwacha wakati wewe Ni mwanamziki mzuri kuliko wasanii wote hao waliotajwaHasara ya copy and paste huku hujui kuimba live cheiiii
Povu ruksa