Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Uzuri wao huduma zipo za uhakika na wametengenezewa sehemuKwa Marekani uber/lyft nao wametengewa maeneo yao ya kuegesha na pia sehemu ya kupakia wateja katika viwanja vya ndege, kama ilivyo kwa taxi za kawaida.
Dah mpwa leo nimeshindwa kabisa kukuelewa hapa, huwa najitahidi sana nikisoma text zako between the lines nakuelewa ila leo naona nimetoka kapa embu andika tena.UBBER ZINWVIBAOO VYARANGI YA BIASHARA...RAHISIIKUJUAA..HAPAASHIDAA ZILETAX ZAWAH PALENDANI KYRUHUSU N KULAZAWATOTO NA CHOOKILAINI EBO..JIPANGENI
Mi nikishuka zangu natoka nje Puma pale nakula bodaboda hadi nilikopaki gari fresh,niliwahi kupaki gari mle ndani kwa wiki moja niliimba alelele…bado kuna ujinga kwamba aliepanda ndege ana hela sana,dhana potofu na ya kipumbafu
siku ukijapata usumbufu utatuletea mrejesho..mana mm madereva wa pale waliponiona wakanichangamkia nikawambia nmeshaita gari..nafikiri hapo ndiyo wakawa wananilia mingo..ilipokuja ubber tu..wale madereva taxi wakanza kusumbua jamaa..wakawaita wale sumar JKT .ilikua sort of usumbufu.Sina hakika na hilo, leo nimetoka airport na Uber kwenda town.... Ukitaka no. ya gari nakupa. Labda km aliingia kwa kujificha........ But the ride was ok!
Kweli zipo lakini ujue airports zinatengeneza hela sanaUbber mbona zipo hadi viwanja vikubwa tu vya kimataifa..tena unakuta kabisa zimeandikwa ubber
Kuzifahamu ni rahisi, Tax za kawaida zina Sticker Imeandikwa Airport ubavuni. Uber hazina sticker na zinakusa na plate number nyeupeSijajua unamaanisha nini unaposema "UBA haziruhusiwi" wale madereva tax wa airport kuna chama chao na kama sikosei kuna malipo wanalipa kwa kupaki pale kwa ajili ya kusubiria abiria.
Kwa mtazamo wangu, dereva wa UBA kusubiria foleni na abiria ambae hana ahadi nae pale ni hasara vilevile itamlazimu aingie kwenye huo umoja kitu kinachoongeza gharama za kazi yake.
Naamini ukiita UBA kuja kukuchukua airport, gari itakuja na kukuchukua bila wasiwasi, ilimradi airport gari binafsi zinaruhusiwa, sioni kwanini UBA izuiliwe kuingia na kutoka maadam analipa parking. Ikumbukwe hazina utambulisho wowote wa kufanya zijulikane na kuzuiliwa kuingia uwanja wa ndege.
Kuzifahamu ni rahisi, Tax za kawaida zina Sticker Imeandikwa Airport ubavuni. Uber hazina sticker na zinakusa na plate number nyeupe
Hahahaaaa walikudindua kwa gharama nini mkuu mpaka ukaimba aleleleeeeMi nikishuka zangu natoka nje Puma pale nakula bodaboda hadi nilikopaki gari fresh,niliwahi kupaki gari mle ndani kwa wiki moja niliimba alelele…bado kuna ujinga kwamba aliepanda ndege ana hela sana,dhana potofu na ya kipumbafu
Hahahaaaa walikudindua kwa gharama nini mkuu mpaka ukaimba aleleleeeeMi nikishuka zangu natoka nje Puma pale nakula bodaboda hadi nilikopaki gari fresh,niliwahi kupaki gari mle ndani kwa wiki moja niliimba alelele…bado kuna ujinga kwamba aliepanda ndege ana hela sana,dhana potofu na ya kipumbafu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na mimi nilitaki nitoe angalizo hili hili. i.e. Ukichukua Uber eg mjini kwenda airport utapelekwa vizuri tu kwani hazina utambulisho hivyo zinaingia kama gari lolote binafsi linapompeleka msafiri. Na wakati wa kutoka vile vile ukimwita mwenye Uber anaweza kuja kama gari binafsi linapokuja na kukuchukua. Labda kama utakuwa unawazodowa wenye tax pale kuwa ''subiri niite Uber nyie si mnajifanya wajanja''!.
OK MPWADah mpwa leo nimeshindwa kabisa kukuelewa hapa, huwa najitahidi sana nikisoma text zako between the lines nakuelewa ila leo naona nimetoka kapa embu andika tena.
Sio kila uber ina number nyeupe,zipo nyingi sana tu zenye number plates za njano,usikaririKuzifahamu ni rahisi, Tax za kawaida zina Sticker Imeandikwa Airport ubavuni. Uber hazina sticker na zinakusa na plate number nyeupe
Nahisi unajidanganya hapa...hawa Uber wanaplate number za biashara na hivo wanafahamika vema na wenzao...pia ni kweli kuwa madreva taksi wenzao huwa hawawapendi pale airport hivo wanachokifanya hawa uber ni kumchukua abiria anaekuwa ameshuka na ndege wakti anapokuwa anaelekea airport kumpeleka abiria mwingineNa mimi nilitaki nitoe angalizo hili hili. i.e. Ukichukua Uber eg mjini kwenda airport utapelekwa vizuri tu kwani hazina utambulisho hivyo zinaingia kama gari lolote binafsi linapompeleka msafiri. Na wakati wa kutoka vile vile ukimwita mwenye Uber anaweza kuja kama gari binafsi linapokuja na kukuchukua. Labda kama utakuwa unawazodowa wenye tax pale kuwa ''subiri niite Uber nyie si mnajifanya wajanja''!.
Haaaaa ok sawa nimekusoma mpwa, pamoja sanaOK MPWA
Zile tax NI ZA WAKUBWA WENGI WA TAA
Sasa UNAPOSEMA WABEBE ABIRIA N SAWAA NA KYRUHUSUUFAMILIAAA IFE NJAAA(CHOOKILAINI)
S
Zi