Kwanini Uber haziruhusiwi kuchukua abiria Mwalimu Julius Nyerere International Airport?

Kwanini Uber haziruhusiwi kuchukua abiria Mwalimu Julius Nyerere International Airport?

Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.

Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.

Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?
Mtaibia watalii
 
Mie nikiwa KIA nampigia boda wangu naruka kwa dakika 45 nae kafika huyooo nasepa sitaki upuuzi wakupanda tax za elfu sabini kama nauziwa
 
Inasikitisha sana, ubber humo huwa kama wauza madawa ya kulevya, unawapata kwa kificho. Huku ni kumpangia abiria usafiri wa kuchukua, mbona watu binafsi wanakujaga kuchujuliwa na magari yao, eti lengo ni kuwalindia ajira tax za ndani, upumba.avu kabisa.
 
MADEREVA TAX AIRPORT WAKATAA UBER KUCHUKUA ABIRIA ENEO LA UWANJA WA NDEGE (JNIA) : Hawalipi kodi, maegesho, usalama wa abiria. .....

Source: Nicco Media TV
 
Nahisi unajidanganya hapa...hawa Uber wanaplate number za biashara na hivo wanafahamika vema na wenzao...pia ni kweli kuwa madreva taksi wenzao huwa hawawapendi pale airport hivo wanachokifanya hawa uber ni kumchukua abiria anaekuwa ameshuka na ndege wakti anapokuwa anaelekea airport kumpeleka abiria mwingine

Au akiwa hana abiria ataenda na gari na kuipaki eneo la parking akipata mteja atamuiya eneo hilo na kumpakia kama gari binafsi kwa tahadhari na kiondoka
Ningependa sana kupata uhakika kwenye maneno ya rangi nyekundu. Ni kweli Uber wana plate namba za biashara? Mbona nimepanda Uber ambazo hazina? Msaada kwa mwenye uhakika tafadhali!
 
Mi nikishuka zangu natoka nje Puma pale nakula bodaboda hadi nilikopaki gari fresh,niliwahi kupaki gari mle ndani kwa wiki moja niliimba alelele…bado kuna ujinga kwamba aliepanda ndege ana hela sana,dhana potofu na ya kipumbafu
Kwa SAA ni buku 2 Mara wiki ndo unalipa Jumla yake,sijui kwann wanafanya parking ghari sana wakati hakuna chochote kiongezwacho kwenye GARI yako
 
Kwa SAA ni buku 2 Mara wiki ndo unalipa Jumla yake,sijui kwann wanafanya parking ghari sana wakati hakuna chochote kiongezwacho kwenye GARI yako
2000×168=336,000 TZS
Kwamba:168 ni masaa ktk wiki
 
kuna tamko rasmi, mwenye nalo afanye sharing kidogo.
 
Kuna tetesi kwamba zile taxi pale airport ni za wafanyakazi wa pale pale airport.

Lakini pia, kijiwe kama kile kuna wazee wa siku nyingi ambao wanaumoja wao, Na hata wanaweza kukuroga kama ukitaka kuingia kwenye himaya yao. Hawajui sehemu nyingine zaidi ya pale.

La mwisho nadhani pia katika sehemu ambayo inaweza kuharibu taswira ya nchi kwa wageni kuibiwa ni airport. Wageni wengi wanashauriwa wachukue only registered taxi. Na kweli karibia taxi drivers wote pale airport ni waaminifu kwa sababu hapo ndipo ofisi ilipo.
Unamaana Uber siyo waaminifu ???????
 
Uber kwa sasa inatumika Mimi niliitumia ilikuja mpaka kwenye parking E
Screenshot_20180810-115414.jpg
 
UBBER ZINWVIBAOO VYARANGI YA BIASHARA...RAHISIIKUJUAA..HAPAASHIDAA ZILETAX ZAWAH PALENDANI KYRUHUSU N KULAZAWATOTO NA CHOOKILAINI EBO..JIPANGENI
Kwani kii bodi yako haina sehemu ya kugonga space ili kutengenisha maneno?!!!!!!😡😡😡😡😡
 
Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.

Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.

Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?

Airport kuna taxi za pale kwa ajili ya abiria na wanalipia ushuru JKNIA, wakiruhusu uber madereva wa pale airport hawatafanya kazi coz uber hawalipi ushuru na wanaingia na kutoka
 
Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.

Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.

Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?
Mzee Airport kuna mambo ya Parking fees.Ila wapo wanaoingia inategemea na uzoefu wa mtu
 
Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.

Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.

Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?
Juzi kati nimeitisha Uber kutoka hapo JNIA na aliingia hadi ndani kunichukua.... Seems sasa hivi hali imetulia, wanaingia. Mr. MTUI
 
Kulingana na vigezo na mashart, wanatakiwa kuwa na plate number za biashara. Pia nyinyi hamjaongelea suala la parking fee ambayo dereva Uber huingia kwa kuingia hapo Airport. Unaeweza mpata ni yule ameleta mtu anabuzi buzi kidogo (chini ya saa moja) kama kuna kichwa ndio safari. Either mkubaliane kuwa utalipa parking fee ndio aje kukubeba else tukutune Filling Station pale.
Ningependa sana kupata uhakika kwenye maneno ya rangi nyekundu. Ni kweli Uber wana plate namba za biashara? Mbona nimepanda Uber ambazo hazina? Msaada kwa mwenye uhakika tafadhali!
 
!!!!!!!!!!!?????????
Lugha nyingine ni kiboko
mm namuelewa asemavyo
Gari zote za UBER zina Plate no nyeupe (za biashara wanazolipa TRA km TAXI nyingine, ila wao hawana mistari ya ubavuni au nembo za makampuni mudguard ya ubavuni kulia.
Hivyo ukiita Uber popote mtandao unakupeleka kwa aliye karibu.
sasa kwa Airport huenda wamechongeana kuwa TAXI zisizojulikana zinaenda kuwadhuru wateja kwani hawatarudi tena hapo maskani. Kwa usalama huo uongozi wa Uwanja unaweza weka sharti hilo km vijiwe vyovyotena hata vya Bodaboda
cc Mr. MTUI
 
Back
Top Bottom