Kwanini Uber haziruhusiwi kuchukua abiria Mwalimu Julius Nyerere International Airport?

Kwanini Uber haziruhusiwi kuchukua abiria Mwalimu Julius Nyerere International Airport?

Kwani madereva taxi wakawaida hawaruhusiwi kujiunga uber??
Wanaruhusiwa kujiunga ila wanaona watakosa mapato,mfano anatokea abiria kutoka pale anaweza akampiga elfu 50 lakini kwa uba inaweza soma elfu 20 kwaiyo wanaona kama wanapunjika
 
Airport kuna taxi za pale kwa ajili ya abiria na wanalipia ushuru JKNIA, wakiruhusu uber madereva wa pale airport hawatafanya kazi coz uber hawalipi ushuru na wanaingia na kutoka
USHURU UNA MAANA GANI
HUJUI KILA GARI.IKIINGIA INALIPIÀ LIKEWISE BODA NA PIKPIK LAZIMA WABALIPIA WE UNAONGELEA USHURU UPIUSITAKE NIANDIKE KICONGO ZAIDI BACHOKA BAENDEZAOO
 
Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.

Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.

Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?
USHAJIULIZA KWANN AWAKO ZNZ
 
Screenshot_20191105-113114.png
Screenshot_20191105-113042.png
kwann awapo ZNZ kunaniii
 
Back
Top Bottom