Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mwaka ripoti ya CAG inatoka na taarifa mbaya za ufisadi unaofanywa katika nchi hii lkn hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.Ufaransa,Belgium, Canada na USA ndio chanzo cha umasikini wa afrika.wanafadhili ugaidi na kuwafadhili viongozi mbumbumbu wenye kuitikia ndio ndio ndio mkuu ili wapore vyema rasilimali...
Wanaofadhili ugaidi ni waarabu na ndio maana wanawatumia waumini wa dini yao ambao nao katika kutekeleza majukumu yao ya kigaidi wanasema wazi tena bila kuficha kwamba wao wanampigania mungu wao anayeitwa "allah."Ufaransa,Belgium, Canada na USA ndio chanzo cha umasikini wa afrika.wanafadhili ugaidi na kuwafadhili viongozi mbumbumbu wenye kuitikia ndio ndio ndio mkuu ili wapore vyema rasilimali...
Kwa hiyo Umasikini wa Tz una mkono wa nchi gani?Ufaransa,Belgium, Canada na USA ndio chanzo cha umasikini wa afrika.wanafadhili ugaidi na kuwafadhili viongozi mbumbumbu wenye kuitikia ndio ndio ndio mkuu ili wapore vyema rasilimali...
Unalima wewe Ila soko la dunia la mazao yako ni lao na wanapanga Bei,unachimba gesi na kutaka kuisafirisha toka visimani kwa kutumia mabomba yenye dimensions chanya kwako kibiashara,wanakwambia hawatokupa mkopo wa kutandaza Bomba hizo Bali za chini yake ambazo hazina tija kwako...na wewe uchumi wako ni WA kuuza rasilimali na si manufacturing...kasomesome neo colonialism na sababu za ukoloni ili upate upate walau kidogo sababu za ukoloni(malighafi)Kwa hiyo Umasikini wa Tz una mkono wa nchi gani?
Hayo Mambo huwa yanatokea sana kwa nchi nyingine kuichoka nchi nyingine.Nchi ya Mali na burka Faso wamefukuza mambassada pamoja na majeshi ya Ufaransa nchini mwao na kuwambia hawataki mausiano ya kideplomasia na nchi hiyo.
Hii ina sura gani kwa Afrika?
Na kwanini Ufaransa anafukuzwa Afrika?
NonsenseHayo Mambo huwa yanatokea sana kwa nchi nyingine kuichoka nchi nyingine.
Hata Urusi ameshachokwa na washirika wake wa Zamani wa USSR. Urusi imeshafukuzwa huko Ulaya Mashariki na badala yake anaamua kuzivamia kijeshi. Nchi Kama Goergia,Moldova,Ukraine,Latvia,Estonia,Lithuania,Poland nk wameshaifukuza Urusi mpaka wengine kufikia kujiunga na NATO. Urusi imebaki kulaumu eti NATO EXPANSION bila kugundua kwamba imeshachokwa huko Ulaya Mashariki.
Vilevile,Ufaransa imekaa Afrika tangu enzi za Ukoloni na hivyo mpaka Sasa imeshaanza kuchokwa kwasababu wamegundua kwamba Uhusiano na Ufaransa hauna faida kwahiyo acha wajaribu Mahusiano na Urusi. Uzuri Ufaransa ikifukuzwa inaondoka tofauti na Urusi ambayo ukiifukuza nchini mwako Basi jua kwamba utavamiwa kijeshi Kama jeshi lako Ni dhaifu.
Nchi ya Mali na burka Faso wamefukuza mambassada pamoja na majeshi ya Ufaransa nchini mwao na kuwambia hawataki mausiano ya kideplomasia na nchi hiyo.
Hii ina sura gani kwa Afrika?
Na kwanini Ufaransa anafukuzwa Afrika?
Unachekesha sana, tukiondoa madini ni kitu gani twauza marekani?Unalima wewe Ila soko la dunia la mazao yako ni lao na wanapanga Bei,unachimba gesi na kutaka kuisafirisha toka visimani kwa kutumia mabomba yenye dimensions chanya kwako kibiashara,wanakwambia hawatokupa mkopo wa kutandaza Bomba hizo Bali za chini yake ambazo hazina tija kwako...na wewe uchumi wako ni WA kuuza rasilimali na si manufacturing...kasomesome neo colonialism na sababu za ukoloni ili upate upate walau kidogo sababu za ukoloni(malighafi)
Bichwa lako ni Bustani ya nywele tu,walimu wako walipata shida Sana!!Bichwahekesha sana, tukiondoa madini ni kitu gani twauza marekani?
Hiyo gesi si tulikopa kujenga bomba
Nchi ya Mali na burka Faso wamefukuza mambassada pamoja na majeshi ya Ufaransa nchini mwao na kuwambia hawataki mausiano ya kideplomasia na nchi hiyo.
Hii ina sura gani kwa Afrika?
Na kwanini Ufaransa anafukuzwa Afrika?
Mwlimu wako kapata kazi sana kukufundisha unaonekana hiko kichwa kina shida mada inazungumzia ufaransa ww umetoka huko unaleta mada ya waarabu kwahyo unataka kuniambia wazungu hawafadhili ugaidi?Wanaofadhili ugaidi ni waarabu na ndio maana wanawatumia waumini wa dini yao ambao nao katika kutekeleza majukumu yao ya kigaidi wanasema wazi tena bila kuficha kwamba wao wanampigania mungu wao anayeitwa "allah."
Sasa utatudanganyaje kwamba hayo mataifa ya magharibi ndio yanafadhili ugaidi na kama ni hivyo kwa nini waislam ndio wakubali kutumiwa na "Makafir" kufanya uovu huo kwa nini wasiwambie wawatumie wakristo basi.