Kwanini Uganda na Egypt hawana mgao wa umeme na wanategemea maji kuzalisha umeme?

Kwanini Uganda na Egypt hawana mgao wa umeme na wanategemea maji kuzalisha umeme?

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Wanatumia bongo zao, wenzetu tumeamua kuzitumia kwenye siasa chafu pekee.
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Mkuu ni kwa sababu huko hakuna CCM [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uganda umeme wao kiufupi unatokana na maji ya ziwa Victoria, the river is among the few outgoing from lake Victoria, so labda ziwa Victoria likauke. Lakini , ukame c kitu endelevu huwa unatokana toka yangu natangu, so mvua zitarudi
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.

Kwani huyu huko nako ni MP?

IMG_20211118_181728_474.jpg
 
Ukame upo tangu Enzi za akina Ibrahimu , Isaka na Yakobo , upo tangu Enzi za nabii Eliya , Leo hii mtu anakuja na visababu et mabadriko ya tabia ya nchi aisee hii inchi ina viongozi vilaza Sana , Enzi za kikwete bwawa la mtera halikutumika Enzi za jiwe likatumika , few months baada ya kifo cha jiwe tunaambiwa Bwawa lipo out of range , mara crane ,mara mitambo yaan bla bla kibao, ili watu wafanye biashara huu uongozi Mungu anatakiwa auondoe madarakani mara moja pamoja na Wazir husika...sometime tuombeane Vifo tu
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Unaishi Uganda na misri?huo mgao uko wapi mbona ninapoishi hakuna mgao wala maji
 
Hilo swala CCM haliwahusu wao wanajua UPINZANI umesababisha ukame

Nchi ipo kwenye matatizo wao wako Zanzibar kupongezana kwa mwenye akili angekuwa na wataalam wanakuna bongo namna ya kutanzua tatizo lililopo

Huu ukame hauwahusuntanesco TU hata wakulima nao itakuwaje hapo baadae Kama nchi ilitakiwa waje na blue print ambayo itaelekeza namna tutakavyo kabili mabadiliko haya ya Hal ya hewa
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Hawana January, February and the likes.
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Waziri wao wa Nishati siyo Januari Makamba. Wapo mainjinia wakiongoza mashirika.
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Pamoja na swali lako kuwa zuri, lakini huwezi kulinganisha mto Nile na hivi vijimito vyetu hapa. Ukame wa kuathiri ujazo wa maji mto Nile ukitokea, basi sisi huku tayari rutakuwa kwenye hali mbaya zaidi, siyo kwenye umeme pekee, bali hata kwenye mambo mengine, hasa chakula.

Lakini kumbuka kwa nini Egypt yupo tayari kwenda vitani na yeyote anayetumia maji hayo ya Nile. Hujasikia akipiga kelele juu ya mradi wa Ethiopia?

Uganda wao wana tatizo jingine. Mabwawa yao yanasababisha mafuriko katika maeneo kama ya Kisumu na kwingine mvua zinapozidi kuwa nyingi. Kwa hiyo usidhani kwamba hata wao hawana matatizo.
 
Back
Top Bottom