AAAAIIISEEEE!Ukame upo tangu Enzi za akina Ibrahimu , Isaka na Yakobo , upo tangu Enzi za nabii Eliya , Leo hii mtu anakuja na visababu et mabadriko ya tabia ya nchi aisee hii inchi ina viongozi vilaza Sana , Enzi za kikwete bwawa la mtera halikutumika Enzi za jiwe likatumika , few months baada ya kifo cha jiwe tunaambiwa Bwawa lipo out of range , mara crane ,mara mitambo yaan bla bla kibao, ili watu wafanye biashara huu uongozi Mungu anatakiwa auondoe madarakani mara moja pamoja na Wazir husika...sometime tuombeane Vifo tu
Labda Misri, huko sijui, lakini Uganda? Uganda ndiko kwenye mijizi sugu huko.viongozi wao hawana hisa kwenye makampuni ya kutengenezea na kuagiza majenereta.
Kweli wewe Ni hamnazo,unaongea kila linalokuja kinywani tu.Pamoja na swali lako kuwa zuri, lakini huwezi kulinganisha mto Nile na hivi vijimito vyetu hapa. Ukame wa kuathiri ujazo wa maji mto Nile ukitokea, basi sisi huku tayari rutakuwa kwenye hali mbaya zaidi, siyo kwenye umeme pekee, bali hata kwenye mambo mengine, hasa chakula.
Lakini kumbuka kwa nini Egypt yupo tayari kwenda vitani na yeyote anayetumia maji hayo ya Nile. Hujasikia akipiga kelele juu ya mradi wa Ethiopia?
Uganda wao wana tatizo jingine. Mabwawa yao yanasababisha mafuriko katika maeneo kama ya Kisumu na kwingine mvua zinapozidi kuwa nyingi. Kwa hiyo usidhani kwamba hata wao hawana matatizo.
EeeenHeeeee!Kweli wewe Ni hamnazo,unaongea kila linalokuja kinywani tu.
Aliyekwambia KISUMU iko Uganda Ni Nani? KISUMU iko Nchini Kenya. Acha kukurupuka Kijana.
Mimi Niko Njombe Tena Makete Ndanindani kabisa,Umeme haujawahi kukata tangu mwezi wa 9.Wewe upo mkoa wapi mkuu?
Kwani wakati wa Magufuli ulikuwepo mgao wa umeme Tanzania?? Je wakati wa Mwalimu Nyerereu ulikuwepo mgao wa umeme?Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.
Tukajifunze.
Me mwenyewe nasikia tu habari za mgao lakini sijaona huo mgao huku ninapoishi.Unaishi Uganda na misri?huo mgao uko wapi mbona ninapoishi hakuna mgao wala maji
Mgao uko wapi ? Mbona wengine hatuoni huo mgao au sukuma gang pekee?Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.
Tukajifunze.
πππ Nilipoanza kusoma comments za watu nkakuta hii ya kwako ilibidi nirudie kuisoma thread vizuri kwamba mtoa thread katolea mfano Uganda???.... au nilimuelewa vibaya. Nilivyorudia nikakuta ni Uganda kweli. Siriaz kabisa demokrasia na uhuru Uganda?demokrasia....wanafuata sana demokrasia na uhuru...
Yaani watu wanafiki sana umeme na maji vikikosekana dar tu basi wanahesabu nchi zima haina umeme wala majiMe mwenyewe nasikia tu habari za mgao lakini sijaona huo mgao huku ninapoishi.
Waulize timu .........FebruaryNafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.
Tukajifunze.
Me nipo Dar na huo mgao sijauona bado.Yaani watu wanafiki sana umeme na maji vikikosekana dar tu basi wanahesabu nchi zima haina umeme wala maji
Acha kuleta ujuaji, hata Uganda huwa wanapata changamoto za uhaba wa umeme na kukatikakatika kwa umeme na kipindi cha ukame wa maji huwa ni changamoto zaidiNafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.
Tukajifunze.
Niwaambieni jambo,Ukame upo tangu Enzi za akina Ibrahimu , Isaka na Yakobo , upo tangu Enzi za nabii Eliya , Leo hii mtu anakuja na visababu et mabadriko ya tabia ya nchi aisee hii inchi ina viongozi vilaza Sana , Enzi za kikwete bwawa la mtera halikutumika Enzi za jiwe likatumika , few months baada ya kifo cha jiwe tunaambiwa Bwawa lipo out of range , mara crane ,mara mitambo yaan bla bla kibao, ili watu wafanye biashara huu uongozi Mungu anatakiwa auondoe madarakani mara moja pamoja na Wazir husika...sometime tuombeane Vifo tu
Niwaambieni jambo,
Moja ya issue iliomtesa JPM ni mkataba wa Dowans na Symbion ambao JK alikuwa ameingia wakati wake,
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke,
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi,maisha yote...
JPM alipouona akamteua Mkurugenzi DR Mwinuka Clean , Procurement clean man na wanasheria kadhaa ili wachambue waangalie weakness ilipo ili wauvunje,
Walipokaa walifanikiwa kupata vipengele vya kuwakamata Dowans/Symbion
1: Walipata Kuwa Dowans /Symbion hawakuwahi kulipa Kodi Miaka yote walikuwa wanadaiwa Trillion zaidi 40 ukwepaji kodi
2: Dowans/Symbion hawakuwa na Mitambo ya kuzalishia ,Kumbe walikuwa wanatumia Mitambo ya serikali kww Hiyo ikawa point Muhimu kuwa hawakuleta Mitambo mipya kama mkataba unavyo sema.
Matokeo yake:
JPM akawa amwakamata pabaya Dowans na Symbion ya JK Kikwete na Obama....
Wakaingia kwenye mazungumzo Symbion wakaona kwa vigezo hivyo hawachomoki
Bahati Mbaya Jpm akafariki wakiwa katikati kutaka kukimbia na kuachana kudai Serikali
Baadae Team Msoga ,Akiwemo Rostam na wenzake wakabuni mkakati wa namna ya kurudisha fedha ile
Wakajifanya kumzunguka Mama na kudanganya kuwa amteue Makamba,Mama bila kujua akamteua,
Makamba alipofika ili utekelezaji wa malipo Symbion ufanyinikiwe Makamba akaivunja Team yote ya Tanesco, akamtimua DR Mwinuka na team yake yote akamteua jamaa aliekuwepo DStv ambae hata calculation ya umeme hana uzoefu,
Akateua board ya Tanesco mpya wote wakiwemo wamiliki / CEO wa Dowans na Symbion na kubadilisha baadhi ya watalaamu ambao wamekutanishwa na wamiliki wa Dowans na Symbion Kule Dubai,JK Kikwete nadhani mmeona picha zile Kule Dubai wako pamoja linalojadiliwa hata Mama Samia hajui hata sisi wananchi hatujui
3: Lakini kubwa ni kuhakikisha Umeme wa Rufiji wanaletwa watu nyuma ya Pazia kununua Share na watajifanya wanaleta mitaji,watajifanya wanakuja kiwekeza lengo ni kuwa mradi Dowans na Symbion wapate cha kufanya
4: Mkakati mzima iliopo wametengeneza kumhujumu mama Samia 2025 watahakikisha hagombei na plan zao wanazopanga sasa hivi hatari lengo ili Makamba apate nafasi waendelee na Upigaji na utekelezaji
4 : Jambo mbaya mkakati mbaya uliopo ni Kuihujumu serikali ya Mama Samia
Nini kifanyike,
1: Mama Ondoa Makamba na team yote Nishati,
2: Mama asiruhusu uwekezaji wowote kwenye umeme ni bora tujenge Taratibu tutamaliza mradi umeme itarudi tena kawaida
3: Mama aangalie vizuri team yake ndani ya ofisi yake na Chama kww sababu JK anazidi kupandia mizizi
4: Mama asikubali kupangiwa na mtu yeyote na mama aache ushauri nje ya Idara ya Tiss ingawa na kwenye kunahitaji reshafle
5: Mama arudishe zile taskforce zilizowekwa na JPM kudhibiti maovu ikiwemo ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa mizigo Bandarini
6: Kuna watu wanauza Risiti za EFD kariakoo imepelekea kushuka kwa mapato,
7: Mama Ahakikishe vituo vya Mizani iwe ni sehemu ya kukagulia Kodi na Risiti za EFD atabaini mengi.
8: Symbion /Dowans wapelekwe Mahakamani kwa kukwepa kodi na uhujumu Uchumi.
9: JK Kikwete apunguziwe safari za nje maana wananchi wanahoji why mkwere kila siku safari budget anatoa wapi?
10: Mama atengue mkuu wa Mkoa Dar essalaam halafu Ras wa Dar awe mkuu wa Mkoa
11: Maeneo ya wazo wapewe Machinga na Mama Ntilie kwa muda wakati huo yanajengwa Majengo kwa ajili ya wamachinga...zoezi hili ni kwa Dar es salaam Kariakoo na Posts,
Walioko mbezi waachwe waendelee
12: Mama aende kwenye Mafuta kuna hujuma huko nyingi sana ....
13: Mama aachwe afanye kazi kww uhuru bila kuingiliwa na JK maana hamtakii mema.