Kwanini ukimsifia Rais Magufuli CHADEMA wananuna na kutoa dhihaka - Wanahitaji Elimu?

Kwanini ukimsifia Rais Magufuli CHADEMA wananuna na kutoa dhihaka - Wanahitaji Elimu?

Stupid idiot, huu umbea mngekuwa mnapeleka kule fb na Insta, hapa jamvini watu wana discuss issues za muhimu sio kusifia utopolo
 
Mimi nafikiri wanachadema wanaomsifia Tundu Lisu kwa nyimbo, mapambio na mashairi, na kupinga mikakati ya raisi JPM ya kuua tabia ya kutegemea misaada toka nje, wanahitaji kusoma historia ya wazungu jinsi walivyokuja Africa miaka iliyopita walivyowatenda babu zetu nk.

Wanachadema wakasome historia ya maisha ya watu weusi waliyokua wakiishi kabla na baada ya wazungu kuingia Africa, wakimaliza kusoma wafanye tathmini kwa kina, huenda itawasaidia kuelewa kuwa wazungu ni watu wa aina gani, na ni kwann wanatawala karibia dunia nzima.
Shida ya watu wengine ni pale wanapojaribu kudanganga wengine ,ilhali hawajui haha kuutengeneza uongo wenyewe.
 
Siyo wizi wa kura "miaka nenda rudi" kwa sababu magufuli alisimama mwaka 2015 tu, na CHADEAM wakaanza kununa tangu hapo; haya matokeo ya 2020 ni muendelezo ule wa kununa.

Sababu kubwa ni kuwa Magufuli aliwafutia sera zao zote. Sera kuu za Chadema zilikuwa ni kulaumu kuwa serikali haifanyi mambo ya muhimu ikiwa ni pamoja na kuendeleza huduma za afya na elimu vijijini, kupigana na ufisadai, kufufua ATCL, kufufua reli na kuondoa ukiritimba serikalini, kueneza umeme vijinini, barabara vijijini. Jamaa akafanya yote hayo na kuwaacha CHADEMA hawana la kusema, ndiyo maana wakamchukuia na kuanza kuzipinga sera hizo hizwmo walizokuwa wakijidai kusimamia.
Narudia mr. Mhandisi mkufunzi wa wanasheria hata na hili bandiko lako linaonyesha unajua hesabu hujui hisabati!
 
Stupid idiot, huu umbea mngekuwa mnapeleka kule fb na Insta, hapa jamvini watu wana discuss issues za muhimu sio kusifia utopolo
Duuuu! Coaster2015 mbn unakuwa as if umeshuka toka sayari nyingine? Kama waliokuzunguka ni wapumbavu - kama jirani zako ni wapumbavu - kama uliosoma nao ni wapumbavu, na iwapo unaabudu nao ni wapumbavu SASA wewe ni nani?

Heshimu mawazo ya wenzako wakati ukijifunza lugha za staha
 
Sababu kubwa ni kuwa Magufuli aliwafutia sera zao zote. Sera kuu za Chadema zilikuwa ni kulaumu kuwa serikali haifanyi mambo ya muhimu ikiwa ni pamoja na kuendeleza huduma za afya na elimu vijijini, kupigana na ufisadai, kufufua ATCL, kufufua reli na kuondoa ukiritimba serikalini, kueneza umeme vijinini, barabara vijijini. Jamaa akafanya yote hayo na kuwaacha CHADEMA hawana la kusema, ndiyo maana wakamchukuia na kuanza kuzipinga sera hizo hizo walizokuwa wakijidai kusimamia.
Tundu lissu (aka msaliti) ndiye aliasisi hiyo sera ya kupinga kila kitu baada ya kumchukia Magufuli, kwa hiyo jambo la kushangaza wafuasi wake kununa na kupinga kila kitu, hata wasivyovielewa!
 
Duuuu! Coaster2015 mbn unakuwa as if umeshuka toka sayari nyingine? Kama waliokuzunguka ni wapumbavu - kama jirani zako ni wapumbavu - kama uliosoma nao ni wapumbavu, na iwapo unaabudu nao ni wapumbavu SASA wewe ni nani?

Heshimu mawazo ya wenzako wakati ukijifunza lugha za staha
Unataka nijifunze nini wewe zoba ?.
 
Unataka nijifunze nini wewe zoba ?.
Unaweza kuita jina lolote, tusi lolote na dhihaka yoyote - lkn hutanitoa kwenye hoja ya msingi. Sitashughulikia athari ulizosababishiwa na utapiamulo na udumavu, makuzi na malezi, urithi wa vinasaba na koo.
 
Yule siyo Rais wa kuchaguliwa bali aliiba urais ndomana tuna hasira na ipo siku tutamziungua we ngoja ajilengeshe tu
 
Ukisifia wewe na wenzio mnatosha siyo lazima chadema waunge mkono kusifia.
 
Ukisifia wewe na wenzio mnatosha siyo lazima chadema waunge mkono kusifia.
Zuri lisemwe, baya likosolewe - hatuwezi kuwa wakosoaji kwa kila kitu as if hakuna mema na mazuri - umeme unapata, maji unapata, lami unatembea, ndege unapanda, mitandao unapata - why tuwe walalamishi hivyo?
 
Zuri lisemwe, baya likosolewe - hatuwezi kuwa wakosoaji kwa kila kitu as if hakuna mema na mazuri - umeme unapata, maji unapata, lami unatembea, ndege unapanda, mitandao unapata - why tuwe walalamishi hivyo?
Kipi kipya hapo? Au ni kiongozi gani hakufanya hayo?
 
Hivi unafahamu maana ya utafiti au maana ya utafiti imebadilika ndani ya hiyo miaka 6 unayoizungumzia !?
Ulichoandika hapo ni shudu tupu, hakuna proof kuwa wote wanaokosoa ni CDM. Kuna wasio na vyama, kuna wanaCCM na kuna wanachama wa upinzani ikiwemo CDM yenyewe.

Na kama kwa miaka 6 hujaona hoja ya msingi ktk hao waliokosoa na hujaona mapungufu kwa waunga juhudi, hujaona mapungufu ya serikali, uongozi, michakato. Utakuwa kizibo sana na unajiona much know
 
Kwa ujinga na upumbavu wa namna fulani, inatosha kuwa ni elimu.
 
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.
Ccm na vibaraka wenu mna la kujifunza.
 
Unfortunately kuna kikundi cha watu haswa upinzani hua wanajiona wamepatia maisha na kuita wengine wajinga! wao wanadhan sku CCM itatoka CCM basi yaisha yao yataboreka, wapuuzi wa mwisho kabisa hawa!

Mtu anasema chanzo cha umaskini tanzania ni ccm kuwepo madarkani apo apo hajiamini kama anaweza kwenda kufanya kazi nje ya nchi yeye serikali ndo mwisho wa kilio chake, WTF!
Kwani wanasema uongo jamani?
Kama wakoloni waliweza tuletea maendeleo ccm wameshindwa nn,soon tutasherekea miaka 100 ya uhuru Bado tunategemea misaada ya kujengewa vyoo na mabeberu.
 
Asifiaye mvua imemnyea,mbona kange, bashite, nkamia,musiba, Kessy atuwasikii wakisifia mvua siku hizi kulikoni?
 
Back
Top Bottom