Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Nilivyoona umeandika Kigoma nikajua tayari ni mteja mzuri wa CCM
Harakati za wanasiasa watokao kigoma uishia tumboni,hata Sheik Ponda ajakaribishwa mezani tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilivyoona umeandika Kigoma nikajua tayari ni mteja mzuri wa CCM
Shehe Ponda kauli ipi chafu keshawahi toa?Siyo sahihi - hata kama itakuwa sahihi basi huenda mkosoaji hatumii busara ktk kufikisha ujumbe
Magufuli hupenda kushauriwa - ndiyo maana mmeona maridhiano Zanzibar
Chadema wanalia sana, Trump analia , tuungane na Trump na Robert Armsterdam tuumalize huu mchezo wa kuibiwa kura kuanzia Amerika hadi Tanzania.Kabende Msakila
Ndugu yangu, hivi Umekwisha jiuliza chanzo chake kwa miaka yote hiyo sita au uliamua tu kupotezea? Chanzo chake ni Wizi wa kura miaka nenda rudi.
Wenye nchi- wananchi wanajua kwamba adhabu ya vibaka na wezi ni kuwamwagiliwa madumu ya petrol na kuchomwa, wezi wa kukwapua heleni za akina mama wanapigwa kipigo cha mbwa mwizi , wanaobomoa nyumba kwa fatuma wanajua adhabu yao wakikamatwa.
Sasa , achilia mbali Chadema, watu wamechoshwa na wizi wa aina yeyote ile... na huu wizi wa kura hawajajua tu namna bora ya kuukomesha, siku wakijua, watakiwasha nchi nzima... inasadika na wengi kwamba ccm na system wanashirikiana kuiba au kufanya magumashi kwenye uchaguzi (ni dhana iliyo tapakaa kila sehemu) halafu wanataka watu wake kimya tu... watu wana hasira sana mioyoni mwao isipokuwa tu hawajapata njia ya kukomesha huu umagumashi wa wizi wa kura na kuchakachua matokeo... hivyo chochote kinachotoka na wizi huo hakipendwi achilia mbali hizi habari za kusifia mtu anayetokana na wizi...hata yeye sio kosa lake... ni basi tu labda hajui...
Ipo siku wenye nchi wakijua namna bora ya kukomesha wizi wa kura, mziki wake watausikia tu hata wakiwa makaburini....
Kwakuwa wanafahamu waimba mapambio ni wasaka tonge la siku ya pambio.WanaJF, Salaam!
Nimefuatilia kwa takriban miaka sita (6) hivi humu kwenye jamvi huru la siasa. Ukijitokeza kusifia, kuunga mkono jitihada za Serikali inapofanya jambo zuri i.e Ujenzi wa vivuko Busisi - Sengerema, ujenzi wa barabara za lami, ujenzi wa vituo vya afya, uteuzi wa wapinzani, maridhiano ya kitaifa Zanzibar nk nk.
Kwa hayo na mengine mengi ukitokea hadharani na kuyasifia ukweli ni kwamba hawa jamaa wa CDM wanaudhika kweli - wanajaa gesi na hapo unashushiwa dhihaka kibao kama:
(i). Lumumba buku saba - sasa Je, wao wanaposifia Tundu Lissu au Mbowe huwa mmepewa Ufipa kiloba?
(ii). Weka namba ya simu chini ili uteuliwe (as if Serikali ina nafasi ya kuteua kila mtanzania mwenye hisia na mawazo chanya) - Je, ninyi mnaposifia CHADEMA huwa mnafanya hivyo ili chama cha Mbowe kiwateue?
(iii). Wauaji, watekaji na wakandamizaji wa haki za binadamu - hivi huwa mnasahau kwamba ukandamizaji mmeuasisi huko CHADEMA - CCM tumebadili wenyeviti wa taifa mara kadhaa, CHADEMA mmebadili mara ngapi? Mmeshajiuliza kwa nini Silinde, Waitara, Katambi, Dkt Kaburou, Zitto, Dkt. Slaa, Dkt Mashinji, Lijualikali na wengine wengi waliamua kuwaacha?
Nihitimishe kwa kusema kwamba si kwamba Paskali Mayyala, Msakila Kabende nk kuunga mkono jitihada za Serikali ni kutaka teuzi "NO". Things are always clear kwamba Serikali ya JPM iko makini sehemu zote na imeweza kujibu maswali mengi ya upinzani kama dhana ya ufisadi, uwajibikaji, matumizi ya fedha za umma nk
Asubuhi njema wanachadema, ACT-Wazalendo, CUF, NLD, UDP, NCCR nk.
2
Msakila M Kabende
Kigoma
Tanzania
Njaa tupuHarakati za wanasiasa watokao kigoma uishia tumboni,hata Sheik Ponda ajakaribishwa mezani tu.
Now days wanakuita MATAGA pasipo kujua hata wao wanaweza kuasisi kauli mbiu hiyo pasipo kuelewa ilmrad tu wapo ktk fikra chanyaWanaJF, Salaam!
Nimefuatilia kwa takriban miaka sita (6) hivi humu kwenye jamvi huru la siasa. Ukijitokeza kusifia, kuunga mkono jitihada za Serikali inapofanya jambo zuri i.e Ujenzi wa vivuko Busisi - Sengerema, ujenzi wa barabara za lami, ujenzi wa vituo vya afya, uteuzi wa wapinzani, maridhiano ya kitaifa Zanzibar nk nk.
Kwa hayo na mengine mengi ukitokea hadharani na kuyasifia ukweli ni kwamba hawa jamaa wa CDM wanaudhika kweli - wanajaa gesi na hapo unashushiwa dhihaka kibao kama:
(i). Lumumba buku saba - sasa Je, wao wanaposifia Tundu Lissu au Mbowe huwa mmepewa Ufipa kiloba?
(ii). Weka namba ya simu chini ili uteuliwe (as if Serikali ina nafasi ya kuteua kila mtanzania mwenye hisia na mawazo chanya) - Je, ninyi mnaposifia CHADEMA huwa mnafanya hivyo ili chama cha Mbowe kiwateue?
(iii). Wauaji, watekaji na wakandamizaji wa haki za binadamu - hivi huwa mnasahau kwamba ukandamizaji mmeuasisi huko CHADEMA - CCM tumebadili wenyeviti wa taifa mara kadhaa, CHADEMA mmebadili mara ngapi? Mmeshajiuliza kwa nini Silinde, Waitara, Katambi, Dkt Kaburou, Zitto, Dkt. Slaa, Dkt Mashinji, Lijualikali na wengine wengi waliamua kuwaacha?
Nihitimishe kwa kusema kwamba si kwamba Paskali Mayyala, Msakila Kabende nk kuunga mkono jitihada za Serikali ni kutaka teuzi "NO". Things are always clear kwamba Serikali ya JPM iko makini sehemu zote na imeweza kujibu maswali mengi ya upinzani kama dhana ya ufisadi, uwajibikaji, matumizi ya fedha za umma nk
Asubuhi njema wanachadema, ACT-Wazalendo, CUF, NLD, UDP, NCCR nk.
Msakila M Kabende
Kigoma
Tanzania
DuhWapumbavu huwa wanamsifia MPUMBAVU MWENZAO.
MTU HANA UWEZO WA KUTUNGA HATA SENTENSI MOJA YA KIINGEREZA ALAFU NIMSIFIE.
# umesahau namba yako ya simu
shame.
Kujua kiingereza umefuta ujinga?Wapumbavu huwa wanamsifia MPUMBAVU MWENZAO.
MTU HANA UWEZO WA KUTUNGA HATA SENTENSI MOJA YA KIINGEREZA ALAFU NIMSIFIE.
# umesahau namba yako ya simu
shame.
Huo ni mtizamo wako - kila mara CDM mnashauriwa sana lkn kutosikiliza ni chanzo cha anguko lenu - huwezi kuongelea upinzani nchini afu Kigoma ukaiweka pembeni - utakosana nao ukitaka kuwafanya makuriNjaa tupu
mkuu nafasi za uteuzi zimeisha hahahaha ...jokesWanaJF, Salaam!
Nimefuatilia kwa takriban miaka sita (6) hivi humu kwenye jamvi huru la siasa. Ukijitokeza kusifia, kuunga mkono jitihada za Serikali inapofanya jambo zuri i.e Ujenzi wa vivuko Busisi - Sengerema, ujenzi wa barabara za lami, ujenzi wa vituo vya afya, uteuzi wa wapinzani, maridhiano ya kitaifa Zanzibar nk nk.
Kwa hayo na mengine mengi ukitokea hadharani na kuyasifia ukweli ni kwamba hawa jamaa wa CDM wanaudhika kweli - wanajaa gesi na hapo unashushiwa dhihaka kibao kama:
(i). Lumumba buku saba - sasa Je, wao wanaposifia Tundu Lissu au Mbowe huwa mmepewa Ufipa kiloba?
(ii). Weka namba ya simu chini ili uteuliwe (as if Serikali ina nafasi ya kuteua kila mtanzania mwenye hisia na mawazo chanya) - Je, ninyi mnaposifia CHADEMA huwa mnafanya hivyo ili chama cha Mbowe kiwateue?
(iii). Wauaji, watekaji na wakandamizaji wa haki za binadamu - hivi huwa mnasahau kwamba ukandamizaji mmeuasisi huko CHADEMA - CCM tumebadili wenyeviti wa taifa mara kadhaa, CHADEMA mmebadili mara ngapi? Mmeshajiuliza kwa nini Silinde, Waitara, Katambi, Dkt Kaburou, Zitto, Dkt. Slaa, Dkt Mashinji, Lijualikali na wengine wengi waliamua kuwaacha?
Nihitimishe kwa kusema kwamba si kwamba Paskali Mayyala, Msakila Kabende nk kuunga mkono jitihada za Serikali ni kutaka teuzi "NO". Things are always clear kwamba Serikali ya JPM iko makini sehemu zote na imeweza kujibu maswali mengi ya upinzani kama dhana ya ufisadi, uwajibikaji, matumizi ya fedha za umma nk
Asubuhi njema wanachadema, ACT-Wazalendo, CUF, NLD, UDP, NCCR nk.
Msakila M Kabende
Kigoma
Tanzania
Huwezi kukosa kuteuliwa afu ukashindwa kutumikia nafasi yako ya raia mwema - utaugua sonona kwa kufikiria uteuzi!!mkuu nafasi za uteuzi zimeisha hahahaha ...jokes
Sasa unasifiaje mwuaji?WanaJF, Salaam!
Nimefuatilia kwa takriban miaka sita (6) hivi humu kwenye jamvi huru la siasa. Ukijitokeza kusifia, kuunga mkono jitihada za Serikali inapofanya jambo zuri i.e Ujenzi wa vivuko Busisi - Sengerema, ujenzi wa barabara za lami, ujenzi wa vituo vya afya, uteuzi wa wapinzani, maridhiano ya kitaifa Zanzibar nk nk.
Kwa hayo na mengine mengi ukitokea hadharani na kuyasifia ukweli ni kwamba hawa jamaa wa CDM wanaudhika kweli - wanajaa gesi na hapo unashushiwa dhihaka kibao kama:
(i). Lumumba buku saba - sasa Je, wao wanaposifia Tundu Lissu au Mbowe huwa mmepewa Ufipa kiloba?
(ii). Weka namba ya simu chini ili uteuliwe (as if Serikali ina nafasi ya kuteua kila mtanzania mwenye hisia na mawazo chanya) - Je, ninyi mnaposifia CHADEMA huwa mnafanya hivyo ili chama cha Mbowe kiwateue?
(iii). Wauaji, watekaji na wakandamizaji wa haki za binadamu - hivi huwa mnasahau kwamba ukandamizaji mmeuasisi huko CHADEMA - CCM tumebadili wenyeviti wa taifa mara kadhaa, CHADEMA mmebadili mara ngapi? Mmeshajiuliza kwa nini Silinde, Waitara, Katambi, Dkt Kaburou, Zitto, Dkt. Slaa, Dkt Mashinji, Lijualikali na wengine wengi waliamua kuwaacha?
Nihitimishe kwa kusema kwamba si kwamba Paskali Mayyala, Msakila Kabende nk kuunga mkono jitihada za Serikali ni kutaka teuzi "NO". Things are always clear kwamba Serikali ya JPM iko makini sehemu zote na imeweza kujibu maswali mengi ya upinzani kama dhana ya ufisadi, uwajibikaji, matumizi ya fedha za umma nk
Asubuhi njema wanachadema, ACT-Wazalendo, CUF, NLD, UDP, NCCR nk.
Msakila M Kabende
Kigoma
Tanzania
duniani hakuna asie na kasoro hivyo heshimu wote wanaomsifu na wasiomsifu hata majambazi na wachawi sugu wanamarafiki na maaskofu wanamaadui itakuwa yeye ka mwanasiasa .kama kuna mtu kachagua mazuri yake ni kweli yapo na tunahesghimu,kama kachagua kukomaana mapungufu nikweli yapo na anastahili heshima ya maoni yake .Huwezi kukosa kuteuliwa afu ukashindwa kutumikia nafasi yako ya raia mwema - utaugua sonona kwa kufikiria uteuzi!!
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUATrump ni bogus alipewa tu sababu aligombea na mwanamke.Kuongoza biashara sio kuongoza watu.
Niliwaambia watu hawezi Rudi kipindi cha pili labda tu Kama angesimamishwa na hilary clinton
Wote wapo CCMHuo ni mtizamo wako - kila mara CDM mnashauriwa sana lkn kutosikiliza ni chanzo cha anguko lenu - huwezi kuongelea upinzani nchini afu Kigoma ukaiweka pembeni - utakosana nao ukitaka kuwafanya makuri
ProbablyWote wapo CCM
Atapigia mstari na kukuza maandishi saa ngapi ili uwepo na kazi na juhudi zake zionekane.Mimi nakushangaa wewe ambaye unahangaika na mawazo ya watu ambao unawajua uwezo wao kifikra.
Nakushauri usihangaike na comment za watu wajinga jinga kama wewe sio mjinga!
Kukwazwa na comment za watu wajinga hata wewe utaonekana ni mjinga!
Wewe weka mada yako, acha wachangiaji wachangie wanavyotaka/kupenda. Kwa kufanya hivyo utakuwa umetimiza waiibu wako!
Mawazo ya kila mtu yafaa kuheshimiwa ila sii ya mpumbavu,wanasema wahenga.Mimi nafikiri wanachadema wanaomsifia Tundu Lisu kwa nyimbo, mapambio na mashairi, na kupinga mikakati ya raisi JPM ya kuua tabia ya kutegemea misaada toka nje, wanahitaji kusoma historia ya wazungu jinsi walivyokuja Africa miaka iliyopita walivyowatenda babu zetu nk.
Wanachadema wakasome historia ya maisha ya watu weusi waliyokua wakiishi kabla na baada ya wazungu kuingia Africa, wakimaliza kusoma wafanye tathmini kwa kina, huenda itawasaidia kuelewa kuwa wazungu ni watu wa aina gani, na ni kwann wanatawala karibia dunia nzima.
SawaProbably