Kwanini ukimsifia Rais Magufuli CHADEMA wananuna na kutoa dhihaka - Wanahitaji Elimu?

Siyo sahihi - hata kama itakuwa sahihi basi huenda mkosoaji hatumii busara ktk kufikisha ujumbe

Magufuli hupenda kushauriwa - ndiyo maana mmeona maridhiano Zanzibar
Shehe Ponda kauli ipi chafu keshawahi toa?
Anaeshaurika atembei gizani, anaeshaurika aharibikiwi na Jambo.
 
Chadema wanalia sana, Trump analia , tuungane na Trump na Robert Armsterdam tuumalize huu mchezo wa kuibiwa kura kuanzia Amerika hadi Tanzania.

Bob Amsterdam tumsaidie Trump na Lissu kuwapeleka Democratic Party, CCM, Magufuli na Biden mahakama ya The Haque. Naona 2025 tuta washinda tuu hao wezi wa kura.
 
Kwakuwa wanafahamu waimba mapambio ni wasaka tonge la siku ya pambio.
 
Now days wanakuita MATAGA pasipo kujua hata wao wanaweza kuasisi kauli mbiu hiyo pasipo kuelewa ilmrad tu wapo ktk fikra chanya
 
Wapumbavu huwa wanamsifia MPUMBAVU MWENZAO.

MTU HANA UWEZO WA KUTUNGA HATA SENTENSI MOJA YA KIINGEREZA ALAFU NIMSIFIE.

# umesahau namba yako ya simu
shame.
Kujua kiingereza umefuta ujinga?
 
Njaa tupu
Huo ni mtizamo wako - kila mara CDM mnashauriwa sana lkn kutosikiliza ni chanzo cha anguko lenu - huwezi kuongelea upinzani nchini afu Kigoma ukaiweka pembeni - utakosana nao ukitaka kuwafanya makuri
 
mkuu nafasi za uteuzi zimeisha hahahaha ...jokes
 
Sasa unasifiaje mwuaji?
 
Huwezi kukosa kuteuliwa afu ukashindwa kutumikia nafasi yako ya raia mwema - utaugua sonona kwa kufikiria uteuzi!!
duniani hakuna asie na kasoro hivyo heshimu wote wanaomsifu na wasiomsifu hata majambazi na wachawi sugu wanamarafiki na maaskofu wanamaadui itakuwa yeye ka mwanasiasa .kama kuna mtu kachagua mazuri yake ni kweli yapo na tunahesghimu,kama kachagua kukomaana mapungufu nikweli yapo na anastahili heshima ya maoni yake .
Chadema ni chama halali kikatiba na kazi yao ambayo magufuli aliapia katiba inayowatambua mbele yake na mungu wake ,kazi yao kuu ni kukosoa japo hawakatazwi kusifia na nia yao kwa mujibu wa katiba inatakiwa wawaze kuingia madarakani sio kushirikiana na serikali
 
Trump ni bogus alipewa tu sababu aligombea na mwanamke.Kuongoza biashara sio kuongoza watu.
Niliwaambia watu hawezi Rudi kipindi cha pili labda tu Kama angesimamishwa na hilary clinton
Donald Trump ndiye aliwashawishi watu waandamane, huku akiwaita ni watu mhimu sana. Siku hii ya jana katika hotuba yake anasisitiza kuwa Marekani inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na Katiba, na watu wote waliofanya maandamano na kusababisha MADHARA watachukuliwa HATUA


Trump akili zake sometime kama za Bashiru wa ccm
 
Atapigia mstari na kukuza maandishi saa ngapi ili uwepo na kazi na juhudi zake zionekane.
 
Mawazo ya kila mtu yafaa kuheshimiwa ila sii ya mpumbavu,wanasema wahenga.
 
Lissu ameshajaza fomu na kurudisha za kugombea ukatibu mkuu UN ...anajibu maombi X1000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…